Nissan Dualis yawaka moto. Hizi gari zina shida gani?

Nissan Dualis yawaka moto. Hizi gari zina shida gani?

Imagine.. people dont know kwamba gearbox inafanya kazi kwa njia ya friction (ambapo kupitia clutches ambazo ndo zina friction materials kwa ajili ya iu transfer power to wheels..sasa with time hizi frictional materials huenda zinaisha but zikiisha zile debris za frictional materials zitabaki kwenye mzunguko wa hydraulic so kama hydraulic haibadilishwi so frequent zile debris zitasidia kutengeneza friction between clutches surfaces na kusaida ku re enforce clutches ziweze kusafirisha power ya engine to wheels but uki replace tu fluid (transmission fluid) unaweza jikuta unaleta tatizo la transmission slippage unaangaaa gari unakanyaga mafuta haiendi...why transmission ina slip..na ndo maana manufacturer wanakuambia under normal driving conditions usibadilishe kabisa transmission fluid. But under extreme conditions hizi transmission fluid hu oxide kwa kuungizwa na joto kali matokeo yake density yake hushuka na kushindwa kutengeneza pressure ya kutosha kusukuma clutches au ku-hold friction(kwa gari za cvt) hivo kwa case hii inakubidi ubadili transfer fluid...na sio haya mambo fundi anakuambia badili gearbox oil(transmission fluid) kila ya service 3. HaTari sana..(na mtu akibadili anatia Lubex au unamsikia nimeweka transmission fluid ya Castrol mara Total unabaki una mshangaa kawekaje hizo fluid kwa gari ina taka T-iv, cvt fluid or Ws, DSG....

Mie kimeo changu nilibadili transmission fluid wakati kina km 110,000 sasa hivi kina km 230,000 (kinatumia CVT-TC) (by the way napenda sana gari yenye transmission ya CVT)
Kwani kuna tofauti gani ya CVT gearbox oil ya Castrol na hiyo usemayo? Pia je unaweza weka picha yake hapa?
 
Bro umesema safi sanaa.
Watu kama nyie ndo tuna wahitaji humu.

Mi ndo gari yangu,Sijalala mpaka sasa hivi hapa tangu niione ile ilio waka moto.
Maana nimenunua na week 2 tu.
Na mkopo wenyewe una riba ndefu.

Yaani ni stupid things.
Kwakua ni loan..hiyo isikupe shida maana utakua umelipia bima comprehensive (only if kama umenunua gari under asset financing arrangements na financial service provider wako/banker wako) but kama umechukua personal loan then ndo ukachukua gari probably huna obligation ya kulipia comprehensive insurance but still ni muhimu kulipia comprehensive insurance tena uweke na excess buyback ili usipate majanga ya kua compensated huku waki less 300,000(+) na kumbuka ajali nyingi ndogo ndogo DSM costs zake zina range humo kwenye hiyo pesa, so ukiweka excess buyback kwenye insurance policy yako..basi uta claim compensation hata kitu cha elfu 10,000.
 
Maeneo ya mbezi beach tangi bovu, Nissan Dualis imekutwa inawaka moto yan imelipuka. Mimi binafsi hii ni dualis ya 4 kupata taarifa imewaka moto. Hizi gari zina shida gani? Halafu hizi ndo sababu nyingine zinazochangia hata bei yake kushuka.
Mkuu! Huwa hatutamani vitu vya kufanana kabisa hata viwe vizuri kiasi gani lazima tutavitoa kasoro hivyo huwa tunatamani kuwa ni lazima viwe SIMILAR BUT DIFFERENCE, sasa nikuulize hiyo duallis inakuja na mapungufu gani a part 4rm manufacture!!? Aya tuseme umetaka smart screen na mziki, sio kesi ila unakuta jitu lime badili taa na hata huo mziki umefungwa na cheap wire kama zote na bado kuna modification za headlamp na tail'lamp ila ukimwambia mtu vitu hivyo ndio vina7babisha kuungua gari aamini! Mchina analeta system zinazo fanana na original kwa rangi ila c uhalisia! Mfano wire_ ili iwe origina iwe copper sasa unauziwa za aluminium kama za copper ila huwezi tofautisha rangi na matatizo ndio hua yanaanzia hapa! Kusahihishwa ruksa kama kuna mahala nimeteleza ila ndivyo ninavyo jua[emoji848]
 
Kwakua ni loan..hiyo isikupe shida maana utakua umelipia bima comprehensive (only if kama umenunua gari under asset financing arrangements na final service provider wako/banker wako) but kama umechukua personal loan then ndo ukachukua gari probably huna obligation ya kulipia comprehensive insurance but still ni muhimu kulipia comprehensive insurance tena uweke na excess buyback ili usipate majanga ya kua compensated huku waki less 300,000(+) na kumbuka ajali nyingi ndogo ndogo DSM costs zake zina range humo kwenye hiyo pesa, so ukiweka excess buyback kwenye insurance policy yako..basi uta claim compensation hata kitu cha elfu 10,000.
Hapa ni pa muhimu, inabidi unitandike darasa, yaani ufafanue vizuri kama upo unatoa somo darasani ili niinyake!
 
Kwani kuna tofauti gani ya CVT gearbox oil ya Castrol na hiyo usemayo? Pia je unaweza weka picha yake hapa?
Sina uhakika kama nimelielewa swali but..kila gear box ya automatic ipo na specific fluid za kutumia ambazo zipo recommended na manufacturer, sasa kwa gear box ya Cvt unaweka cvt transmission fluid ambayo manufacturer kasema. Sasa kuna CVT za honda, Toyota, Nissan, Mitsubishi. Etc, kila mmoja anafluid yake, but kwa case ya Toyota yeye kwenye cvt ana CVT-TC na nyingine jina limentoka but i think ni WS inayotumika kwenye gari kama crown... Sasa sijawahi kuona transmission fluid ya Castrol unayofanya kazi kwenye any cvt transmission application ya Any manufacturer except nimeona tu kwenye normal ATF cars (na kwenyewe inawekwa kimakosa)

Sasa endapo utaweka Castrol transmission fluid kwenye cvt applications basi ni swala la muda tu lazima gearbox yako ife.
 
Imagine.. people dont know kwamba gearbox inafanya kazi kwa njia ya friction (ambapo kupitia clutches ambazo ndo zina friction materials kwa ajili ya iu transfer power to wheels..sasa with time hizi frictional materials huenda zinaisha but zikiisha zile debris za frictional materials zitabaki kwenye mzunguko wa hydraulic so kama hydraulic haibadilishwi so frequent zile debris zitasidia kutengeneza friction between clutches surfaces na kusaida ku re enforce clutches ziweze kusafirisha power ya engine to wheels but uki replace tu fluid (transmission fluid) unaweza jikuta unaleta tatizo la transmission slippage unaangaaa gari unakanyaga mafuta haiendi...why transmission ina slip..na ndo maana manufacturer wanakuambia under normal driving conditions usibadilishe kabisa transmission fluid. But under extreme conditions hizi transmission fluid hu oxide kwa kuungizwa na joto kali matokeo yake density yake hushuka na kushindwa kutengeneza pressure ya kutosha kusukuma clutches au ku-hold friction(kwa gari za cvt) hivo kwa case hii inakubidi ubadili transfer fluid...na sio haya mambo fundi anakuambia badili gearbox oil(transmission fluid) kila ya service 3. HaTari sana..(na mtu akibadili anatia Lubex au unamsikia nimeweka transmission fluid ya Castrol mara Total unabaki una mshangaa kawekaje hizo fluid kwa gari ina taka T-iv, cvt fluid or Ws, DSG....

Mie kimeo changu nilibadili transmission fluid wakati kina km 110,000 sasa hivi kina km 230,000 (kinatumia CVT-TC) (by the way napenda sana gari yenye transmission ya CVT)
Kaka mi Dualis yangu niliagiza kutoka Japan ikiwa na Kilomita 62k na sikubadili Transmission fluid mpaka sasa ina Read 92k kilomita.

Vipi una nishauri vipi.
Na week ijayo nampango wa kumwaga Engine Oil.
Na Engine oil huwa na mwaga kila baada ya kilomita 5000. Natumia Nisan Oil.
 
Sina uhakika kama nimelielewa swali but..kila gear box ya automatic ipo na specific fluid za kutumia ambazo zipo recommended na manufacturer, sasa kwa gear box ya Cvt unaweka cvt transmission fluid ambayo manufacturer kasema. Sasa kuna CVT za honda, Toyota, Nissan, Mitsubishi. Etc, kila mmoja anafluid yake, but kwa case ya Toyota yeye kwenye cvt ana CVT-TC na nyingine jina limentoka but i think ni WS inayotumika kwenye gari kama crown... Sasa sijawahi kuona transmission fluid ya Castrol unayofanya kazi kwenye any cvt transmission application ya Any manufacturer except nimeona tu kwenye normal ATF cars (na kwenyewe inawekwa kimakosa)

Sasa endapo utaweka Castrol transmission fluid kwenye cvt applications basi ni swala la muda tu lazima gearbox yako ife.
Ok. Ndo nlitaka nione hiyo CVT- TC na CVT-WS kama una picha zake. Au unanunua wapi ili tusinunue fake.
 
Kaka mi Dualis yangu niliagiza kutoka Japan ikiwa na Kilomita 62k na sikubadili Transmission fluid mpaka sasa ina Read 92k kilomita.

Vipi una nishauri vipi.
Na week ijayo nampango wa kumwaga Engine Oil.
Na Engine oil huwa na mwaga kila baada ya kilomita 5000. Natumia Nisan Oil.
Sina uhakika na mazingira ya uendeshaji wako but kama ni uendeshaji wa kawaida badili ukifika hata 110,000km ila tu wakati wa kumwaga pima fluid itayotoka kwenye gearbox then uweke amount hiyohiyo iliyotoka...(vitaingia vikopo viwili vya transmission fluid,kimoja kitaisha kingine utatumia kama lita moja).

Kuhusu engine, sina shida na engine ya MR 20 5000 km ni interval nzuri ya kuchange oil..asije mtu akakushika masikio na kukuambia kuna oil za engine zinatembea km 10,000....usije jaribu..
 
Maeneo ya mbezi beach tangi bovu, Nissan Dualis imekutwa inawaka moto yan imelipuka. Mimi binafsi hii ni dualis ya 4 kupata taarifa imewaka moto. Hizi gari zina shida gani? Halafu hizi ndo sababu nyingine zinazochangia hata bei yake kushuka.
Hatuna ufahamu wa kutosha kuhusu magari! Hata hivyo model nyingi za Nissan ni VIMEO
 
Maeneo ya mbezi beach tangi bovu, Nissan Dualis imekutwa inawaka moto yan imelipuka. Mimi binafsi hii ni dualis ya 4 kupata taarifa imewaka moto. Hizi gari zina shida gani? Halafu hizi ndo sababu nyingine zinazochangia hata bei yake kushuka.
Hatuna ufahamu wa kutosha kuhusu magari! Hata hivyo model nyingi za Nissan ni VIMEO
 
Gari hii na Nissan nyingi za kisasa zinakuja na electrical system ya IPDM yaan (An intelligent electronic power distributor module with a cut-off function that ensures and manages the power supply for a scalable number of connected loads in the vehicle)..hii module ipo kwenye fuse box ya hizi gari, sasa mafundi umeme wa kibongo wengi hawajui how IPDM power distribution module works, sasa wanaishia ku-loop mawaya kizembe na ku-bypass system ambayo inaji self diagnose yenye na kuji regulate yenye for optimal power distribution kwa kuzingatia electric load za module mbalimbali za gari...sasa mbongo/fundi wa Chini ya muende anaetumia tester kufanya kazi ya umeme akisha fanya yake basi utakuta system inashindwa ku detect power load kwenye system ambayo imeguswa matokeo yake ina over power or underpower..but iki overpower system ambayo waya / njia zake zipo designed kubeba umeme mdogo basi resistance inakua kubwa na kutengeneza joto kali ambalo eventually inapelekea cheche/moto andapo tu ignition itakutana na mafuta..kumbuka kama system ingekua inafanya kazi inavotakiwa ina maana yenyewe automatically ina detect na ku regulate power output iendane na load (ndo maan system inaitwa intelligent power distribution module)

System hii haipo kwenye Toyota..ukifungua fuse box ya Toyota nyingi utakuta ni relays na fuse but hakuna card (printed circuit with chips, diodes etc..) kumbuka IPDM ni system nzuri sana ikiwa inafanya kazi.short za kipuuzi puuzi upati.
Umeeleza vizuri, fundi maiko atapita hapa kimya kama hajaona.

Hivi hatuwezi kuwa ma ma specialist kwenye gari? Kwamba gari aina fulani zinatengenezewa gereji fulani, na hiyo gereji hawapokei gari aina nyingine?

Hospital ukiwa unaumwa lazima uonane na dr husika, ila kwenye hizi gereji za kibongo wanapokea kila aina ya gari mimi nadhani shida inaanzia hapo.
 
Alafu Kingine Wajapan Wanaweza toa model za Gari ata 8 au zaidi Engine ni aina moja. Wanaweka tofauti kidogo sana! Sisi huku ni Jalala Tunaletewa tu no quality no Support
Hapo tuwalaumu mababu zetu ndio waliotuuza na kupelekea hadi leo mtu mweusi anadhaulika kwa watu weupe wote. Ukiwa na msimamo hata weusi wenzako wanakugeka na kuwa upande wa wazungu. Ndio maana unaona huku Afika mwenye uwezo wa kununua gari jupya ni tajiri tu, wakat kwa wazungu mtu ananunua gari jipya tena bei chee.

Hata kiwanda cha gari kiwe hapa amini hutaweza kununua gari jipya taka usitake labda uwe tajiri
 
Chukua million 13 yako haraka kabla wabongo hatujaziua kama ilivyo kwa honda. Gari za hovyo za Japan kwa ishu za umeme ni Honda na Nissan.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]....tena awahi mapema sana
 
Aisee changamoto sana, mzee ana nissan patrol bwna linapiga mzigo hadi leo gari alinunua mwaka 2004, hizi dualis ni mfumo wake tu wenyewe ndo mbovu au mafundi nao ndo hawaelewi namna yakutengeneza hizi gari?
Zamani Design, Tests zilikuwa zinafanywa manual so makosa yalikuwa hayapo. Sasa hivi kila kitu ni Computer Aided Design, Computer Aided Manufacturing. Sio Gari tu , Madawa ya Binadamu tatizo, Iphone 14 Zenyewe zinakutwa na matatizo kila kukicha. Ulaya na USA wapo makini sana na ishu za usalama wa Watu wao so wantest na kufuatilia ishu za hizi gari. Sisi huku kwanza tunatumia mitumba so akuna anaejali. Tunaishi kwa Kudra za Mwenyezi Mungu
 
Umeeleza vizuri, fundi maiko atapita hapa kimya kama hajaona.

Hivi hatuwezi kuwa ma ma specialist kwenye gari? Kwamba gari aina fulani zinatengenezewa gereji fulani, na hiyo gereji hawapokei gari aina nyingine?

Hospital ukiwa unaumwa lazima uonane na dr husika, ila kwenye hizi gereji za kibongo wanapokea kila aina ya gari mimi nadhani shida inaanzia hapo.
Wapo Mafundi wanaojua ata jinisi ya Kurekebisha hizo tatizo na hapa JF tuna Fundi mzuri mbobezi wa hizi ishu, worry not , ukimwitaji ni PM nikupe ID yake umcheck ana Gereji yake Mwenge na habahatishi yupo vizuri sana
 
Back
Top Bottom