new generation
JF-Expert Member
- Mar 14, 2012
- 817
- 1,687
Ili bidi nikae kimya nisije haribu biashara za watu.Hizi transmission Universal siyo nzuri sana.
Tafuta Standalone.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili bidi nikae kimya nisije haribu biashara za watu.Hizi transmission Universal siyo nzuri sana.
Tafuta Standalone.
Hizi gar changamoto sana, ni bora ukiwa unanunua ujue kabisa hautaliuza maana ni hasara tuAtalia na kusaga meno, hio gari haina muda mrefu ikitangazwa inauzwa hata million 8 itakuwa ishu kuipata
Siyo kweli, acha kuongopea watu.Soon na wakata bima watazikataa hizi dualis, kama Kenya kuna baadhi ya magari bima wamekataa kabisa mfano, Succeed, probox, subaru n.k. Bima ni biashara
Hata mm si zani kama inaweza kufikia hukoSiyo kweli, acha kuongopea watu.
Nimepata elimu kubwa kupitia maelezo yako. Hii inaonyesha ni jinsi gani ulivyo na moyo wa kutoa kile ulichojaliwa kuwa nacho. Nilikuwa sina idea juu ya Transmission Fluid lkn sasa nimekuwa Mwl kwa wengine kupitia maelezo yako. Asante Sana. Stay Blessed.Imagine.. people dont know kwamba gearbox inafanya kazi kwa njia ya friction (ambapo kupitia clutches ambazo ndo zina friction materials kwa ajili ya iu transfer power to wheels..sasa with time hizi frictional materials huenda zinaisha but zikiisha zile debris za frictional materials zitabaki kwenye mzunguko wa hydraulic so kama hydraulic haibadilishwi so frequent zile debris zitasidia kutengeneza friction between clutches surfaces na kusaida ku re enforce clutches ziweze kusafirisha power ya engine to wheels but uki replace tu fluid (transmission fluid) unaweza jikuta unaleta tatizo la transmission slippage unaangaaa gari unakanyaga mafuta haiendi...why transmission ina slip..na ndo maana manufacturer wanakuambia under normal driving conditions usibadilishe kabisa transmission fluid. But under extreme conditions hizi transmission fluid hu oxide kwa kuungizwa na joto kali matokeo yake density yake hushuka na kushindwa kutengeneza pressure ya kutosha kusukuma clutches au ku-hold friction(kwa gari za cvt) hivo kwa case hii inakubidi ubadili transfer fluid...na sio haya mambo fundi anakuambia badili gearbox oil(transmission fluid) kila ya service 3. HaTari sana..(na mtu akibadili anatia Lubex au unamsikia nimeweka transmission fluid ya Castrol mara Total unabaki una mshangaa kawekaje hizo fluid kwa gari ina taka T-iv, cvt fluid or Ws, DSG....
Mie kimeo changu nilibadili transmission fluid wakati kina km 110,000 sasa hivi kina km 230,000 (kinatumia CVT-TC) (by the way napenda sana gari yenye transmission ya CVT)
Imagine.. people dont know kwamba gearbox inafanya kazi kwa njia ya friction (ambapo kupitia clutches ambazo ndo zina friction materials kwa ajili ya iu transfer power to wheels..sasa with time hizi frictional materials huenda zinaisha but zikiisha zile debris za frictional materials zitabaki kwenye mzunguko wa hydraulic so kama hydraulic haibadilishwi so frequent zile debris zitasidia kutengeneza friction between clutches surfaces na kusaida ku re enforce clutches ziweze kusafirisha power ya engine to wheels but uki replace tu fluid (transmission fluid) unaweza jikuta unaleta tatizo la transmission slippage unaangaaa gari unakanyaga mafuta haiendi...why transmission ina slip..na ndo maana manufacturer wanakuambia under normal driving conditions usibadilishe kabisa transmission fluid. But under extreme conditions hizi transmission fluid hu oxide kwa kuungizwa na joto kali matokeo yake density yake hushuka na kushindwa kutengeneza pressure ya kutosha kusukuma clutches au ku-hold friction(kwa gari za cvt) hivo kwa case hii inakubidi ubadili transfer fluid...na sio haya mambo fundi anakuambia badili gearbox oil(transmission fluid) kila ya service 3. HaTari sana..(na mtu akibadili anatia Lubex au unamsikia nimeweka transmission fluid ya Castrol mara Total unabaki una mshangaa kawekaje hizo fluid kwa gari ina taka T-iv, cvt fluid or Ws, DSG....
Mie kimeo changu nilibadili transmission fluid wakati kina km 110,000 sasa hivi kina km 230,000 (kinatumia CVT-TC) (by the way napenda sana gari yenye transmission ya CVT)
Hahahaha 😆😅😂🤣🤣Fundi Chidi anakwambia ukibadili oil ya engine mara 3 ya 4 ndio unabadili oil ya gearbox tena. 😀
Ukiangalia kwa makini utagundua kuwa kila baada ya kilometre 10,000 unabadilisha transmission fluid. Ni ukichaa
Dah[emoji23]Mshaanza mafundi maiko.
Teknolojia muwezi mnaaishia Kubahatisha tu. Kuna fundi kakorofisha Alphad mpaka ijitambui nikiwasha inafungua vioo.
Kesho namdamkia tumalizane hajui uchungu wa kununua gari
Mafundi wetu ambao wanafanya vitu bila logic. Nawaza tu maisha yangekuwa kama ilivyokuwa mwaka 1998 leo gari zingekuwa zinakufa vibaya mno.Hahahaha 😆😅😂🤣🤣
Nimecheka Sana, umenikumbusha fundi wangu mitaa gerezani aliniambia hivyohivyo nilicheka Sana ikabidi Mimi niwe fundi wake nakuanza kumpa elimu juu ya gearbox oil
Kwani hayo mamiziki na mataa inafungwa dualis peke yakee, kwa x trail haifungwi, w kama unalo komaa nalo maana hata ukisema uliuze utakula tu hasara.Dualis gari nzuri sana, acheni kutisha watu!
Story nyingi za magari humu ni za kuokota okota tu vijiweni.
Mkuu new generation hapo juu ameelezea kitaalam sana, ila watu (mafundi maiko/ Nisssn haters) wanajifanya hawamuoni! [emoji1][emoji23]
Hebu fikiria, gari imetoka Japan imekuja imetumika makumi elfu ya kilometa, nyingine hadi malaki kabisa... na umeipokea kama mpya, haina changamoto yoyote...!!!
Halafu wewe Mndengereko unafanya uharibifu wako kwa kufunga mataa na mamiziki yenu ya hovyo, gari inapiga shoti barabarani... unalialia unaleta visingizio!
Mliosema Nissan gari mbovu wote MBWA! [emoji41]
Ndiyo mkuu, ninalo.Kwani hayo mamiziki na mataa inafungwa dualis peke yakee, kwa x trail haifungwi, w kama unalo komaa nalo maana hata ukisema uliuze utakula tu hasara.
Acha tuu kaka.Usijali ndugu, m niliona kuna jamaa ana namba B na inatembea na haija ungua, sio zote zinazoungua ila zinachangamoto sana kwenye gearbox na hazitaki kabisa rough road, utabadili sna mabush ya kifua yapo manne na bei yake kuanzia laki na nu hadi laki mbili bado fundi hapo hyo ni service ndogo tu ila angalia gharama yake na bado kuna mabush mengine hapo sijayataja. Kwa hela hiyo kwa toyota utafanya service kubwa sana.
Hivyo kuwa makini sana kwenye kuitumia, haitaki uendeshaji wa hovyo hovyo, utaitaja majina yake mawili kwa usahihi.
Mbaya zaidi hata useme uiuze leo ambapo ina wiki mbili itakukata hata milion 2 au 3.
Mil. Moja kwa laki naneAcha tuu kaka.
Hiyo Gear box ni shingap nijipange mapema tuu.
Maana kila mwana Jf kilio ni Gear box
Nilitaka kutoka na Nissan Bluebird Sylphy, ila sasa hii post imeniweka njia panda 🤔Nissan mbovu sana. Nimeshatumia matoleo yake manne sina hamu nazo
Bluebird
Primera
Serena
Navara
Kiegemeo cha kichwa. Kichomoe. Kule chini kuna tuvyuma ambato unaweza jaribu kugongea kioo chako ukiwa kwa ndani. Jaribu uone kama umeweza kufanikiwa. Chomoa. Gonga kioo chako kwa juu. Kimeshuka?bado? Gonga tena mpaka kishuke.hapo utakuwa umefanikiwa.Head rest ni hiki kiegemeo au ni kifaa gani?
Broo hujachangia maada kitaalam tupo gereji tunaona mafundi wanachofanya kwa hiio Benz,Audi,rover,jeep, na other american and Europe brand wanatengeneza gari mbovu swali linakuja gar nyingi in mtumba na inafika nzima changamoto inaanzia wap utagunduaHatuna ufahamu wa kutosha kuhusu magari! Hata hivyo model nyingi za Nissan ni VIMEO
Ndio matatizo yake hiyo.Mshaanza mafundi maiko.
Teknolojia muwezi mnaaishia Kubahatisha tu. Kuna fundi kakorofisha Alphad mpaka ijitambui nikiwasha inafungua vioo.
Kesho namdamkia tumalizane hajui uchungu wa kununua gari
Sio toleo ambalo walipatia bali Patrool ni workhorse. Imetengenezwa kwa ajili ya kazi hasa ile Nissan Y60! Mle hamna urembo zaidi ni basic functions tu, redio, ac, taa, wiper!Nissan patrol ndio toleo ambalo walipatia hayo mengine ni kichefuchefu tupu