Nissan Dualis yawaka moto. Hizi gari zina shida gani?

Nissan Dualis yawaka moto. Hizi gari zina shida gani?

Imagine.. people dont know kwamba gearbox inafanya kazi kwa njia ya friction (ambapo kupitia clutches ambazo ndo zina friction materials kwa ajili ya iu transfer power to wheels..sasa with time hizi frictional materials huenda zinaisha but zikiisha zile debris za frictional materials zitabaki kwenye mzunguko wa hydraulic so kama hydraulic haibadilishwi so frequent zile debris zitasidia kutengeneza friction between clutches surfaces na kusaida ku re enforce clutches ziweze kusafirisha power ya engine to wheels but uki replace tu fluid (transmission fluid) unaweza jikuta unaleta tatizo la transmission slippage unaangaaa gari unakanyaga mafuta haiendi...why transmission ina slip..na ndo maana manufacturer wanakuambia under normal driving conditions usibadilishe kabisa transmission fluid. But under extreme conditions hizi transmission fluid hu oxide kwa kuungizwa na joto kali matokeo yake density yake hushuka na kushindwa kutengeneza pressure ya kutosha kusukuma clutches au ku-hold friction(kwa gari za cvt) hivo kwa case hii inakubidi ubadili transfer fluid...na sio haya mambo fundi anakuambia badili gearbox oil(transmission fluid) kila ya service 3. HaTari sana..(na mtu akibadili anatia Lubex au unamsikia nimeweka transmission fluid ya Castrol mara Total unabaki una mshangaa kawekaje hizo fluid kwa gari ina taka T-iv, cvt fluid or Ws, DSG....

Mie kimeo changu nilibadili transmission fluid wakati kina km 110,000 sasa hivi kina km 230,000 (kinatumia CVT-TC) (by the way napenda sana gari yenye transmission ya CVT)
Nimepata elimu kubwa kupitia maelezo yako. Hii inaonyesha ni jinsi gani ulivyo na moyo wa kutoa kile ulichojaliwa kuwa nacho. Nilikuwa sina idea juu ya Transmission Fluid lkn sasa nimekuwa Mwl kwa wengine kupitia maelezo yako. Asante Sana. Stay Blessed.
 
Imagine.. people dont know kwamba gearbox inafanya kazi kwa njia ya friction (ambapo kupitia clutches ambazo ndo zina friction materials kwa ajili ya iu transfer power to wheels..sasa with time hizi frictional materials huenda zinaisha but zikiisha zile debris za frictional materials zitabaki kwenye mzunguko wa hydraulic so kama hydraulic haibadilishwi so frequent zile debris zitasidia kutengeneza friction between clutches surfaces na kusaida ku re enforce clutches ziweze kusafirisha power ya engine to wheels but uki replace tu fluid (transmission fluid) unaweza jikuta unaleta tatizo la transmission slippage unaangaaa gari unakanyaga mafuta haiendi...why transmission ina slip..na ndo maana manufacturer wanakuambia under normal driving conditions usibadilishe kabisa transmission fluid. But under extreme conditions hizi transmission fluid hu oxide kwa kuungizwa na joto kali matokeo yake density yake hushuka na kushindwa kutengeneza pressure ya kutosha kusukuma clutches au ku-hold friction(kwa gari za cvt) hivo kwa case hii inakubidi ubadili transfer fluid...na sio haya mambo fundi anakuambia badili gearbox oil(transmission fluid) kila ya service 3. HaTari sana..(na mtu akibadili anatia Lubex au unamsikia nimeweka transmission fluid ya Castrol mara Total unabaki una mshangaa kawekaje hizo fluid kwa gari ina taka T-iv, cvt fluid or Ws, DSG....

Mie kimeo changu nilibadili transmission fluid wakati kina km 110,000 sasa hivi kina km 230,000 (kinatumia CVT-TC) (by the way napenda sana gari yenye transmission ya CVT)

Under normal driving conditions do not change ATF. Hii sentensi huwaga watu hawaelewi, fundi anakwambia ukimwaga engine oil mara ya pili ya tatu mwaga na gearbox oil. Ovyo kabisa sisi wabongo. Bro ume elezea point zako vzuri sana na huu ndo ukweli.
 
Fundi Chidi anakwambia ukibadili oil ya engine mara 3 ya 4 ndio unabadili oil ya gearbox tena. 😀

Ukiangalia kwa makini utagundua kuwa kila baada ya kilometre 10,000 unabadilisha transmission fluid. Ni ukichaa
Hahahaha 😆😅😂🤣🤣
Nimecheka Sana, umenikumbusha fundi wangu mitaa gerezani aliniambia hivyohivyo nilicheka Sana ikabidi Mimi niwe fundi wake nakuanza kumpa elimu juu ya gearbox oil
 
Mshaanza mafundi maiko.
Teknolojia muwezi mnaaishia Kubahatisha tu. Kuna fundi kakorofisha Alphad mpaka ijitambui nikiwasha inafungua vioo.
Kesho namdamkia tumalizane hajui uchungu wa kununua gari
Dah[emoji23]
 
Hahahaha 😆😅😂🤣🤣
Nimecheka Sana, umenikumbusha fundi wangu mitaa gerezani aliniambia hivyohivyo nilicheka Sana ikabidi Mimi niwe fundi wake nakuanza kumpa elimu juu ya gearbox oil
Mafundi wetu ambao wanafanya vitu bila logic. Nawaza tu maisha yangekuwa kama ilivyokuwa mwaka 1998 leo gari zingekuwa zinakufa vibaya mno.

Internet inasaidia sana.
 
Dualis gari nzuri sana, acheni kutisha watu!

Story nyingi za magari humu ni za kuokota okota tu vijiweni.

Mkuu new generation hapo juu ameelezea kitaalam sana, ila watu (mafundi maiko/ Nisssn haters) wanajifanya hawamuoni! [emoji1][emoji23]

Hebu fikiria, gari imetoka Japan imekuja imetumika makumi elfu ya kilometa, nyingine hadi malaki kabisa... na umeipokea kama mpya, haina changamoto yoyote...!!!

Halafu wewe Mndengereko unafanya uharibifu wako kwa kufunga mataa na mamiziki yenu ya hovyo, gari inapiga shoti barabarani... unalialia unaleta visingizio!

Mliosema Nissan gari mbovu wote MBWA! [emoji41]
Kwani hayo mamiziki na mataa inafungwa dualis peke yakee, kwa x trail haifungwi, w kama unalo komaa nalo maana hata ukisema uliuze utakula tu hasara.
 
Kwani hayo mamiziki na mataa inafungwa dualis peke yakee, kwa x trail haifungwi, w kama unalo komaa nalo maana hata ukisema uliuze utakula tu hasara.
Ndiyo mkuu, ninalo.

Ila sikulinunua ili niliuze.

Nalipenda sana...

Ni gari zuri, tofauti na uongo linaozushiwa hapa!
 
Usijali ndugu, m niliona kuna jamaa ana namba B na inatembea na haija ungua, sio zote zinazoungua ila zinachangamoto sana kwenye gearbox na hazitaki kabisa rough road, utabadili sna mabush ya kifua yapo manne na bei yake kuanzia laki na nu hadi laki mbili bado fundi hapo hyo ni service ndogo tu ila angalia gharama yake na bado kuna mabush mengine hapo sijayataja. Kwa hela hiyo kwa toyota utafanya service kubwa sana.

Hivyo kuwa makini sana kwenye kuitumia, haitaki uendeshaji wa hovyo hovyo, utaitaja majina yake mawili kwa usahihi.

Mbaya zaidi hata useme uiuze leo ambapo ina wiki mbili itakukata hata milion 2 au 3.
Acha tuu kaka.
Hiyo Gear box ni shingap nijipange mapema tuu.
Maana kila mwana Jf kilio ni Gear box
 
Head rest ni hiki kiegemeo au ni kifaa gani?
Kiegemeo cha kichwa. Kichomoe. Kule chini kuna tuvyuma ambato unaweza jaribu kugongea kioo chako ukiwa kwa ndani. Jaribu uone kama umeweza kufanikiwa. Chomoa. Gonga kioo chako kwa juu. Kimeshuka?bado? Gonga tena mpaka kishuke.hapo utakuwa umefanikiwa.
 
Hatuna ufahamu wa kutosha kuhusu magari! Hata hivyo model nyingi za Nissan ni VIMEO
Broo hujachangia maada kitaalam tupo gereji tunaona mafundi wanachofanya kwa hiio Benz,Audi,rover,jeep, na other american and Europe brand wanatengeneza gari mbovu swali linakuja gar nyingi in mtumba na inafika nzima changamoto inaanzia wap utagundua
1.ushamba wa mtumiaji
2.mafundi
chunguza utanambia haiwezekani ukafany installation ya sound system ya watts 1000 kwa power supply ile ile
 
Nissan patrol ndio toleo ambalo walipatia hayo mengine ni kichefuchefu tupu
Sio toleo ambalo walipatia bali Patrool ni workhorse. Imetengenezwa kwa ajili ya kazi hasa ile Nissan Y60! Mle hamna urembo zaidi ni basic functions tu, redio, ac, taa, wiper!
Engine ni fuel injection tu, haina mbwembwe za sensor.

Ila haya matoleo mengine ya Nissan za kibishoo zenye airbags, sensor kibao ndio yenye balaa la kuungua ungua
 
Back
Top Bottom