Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Ni kama mamlaka za ukaguzi na KUSIMAMIA UBORA wa vyombo vya moto vinavyoingizwa nchini zimeshindwa Kazi, ama kuna uzembe mahali ama rushwa.
Kwa modeli za magari yanayoingia nchini kwasasa NISSAN DUALIS zinaongoza kwa kuwaka moto.. Hivi mamlaka halilioni hili tatizo? Ama kwa vile nyingi hazijasababisha maafa makubwa?
NISSAN anaongoza kwa model nyingi mbovu ukiachana na NISSAN safari, Nissan Caravan nk. Jiulize ni kwanini kwa asilimia 95 hakuna NISSAN (IT) Wenzetu wamegutuka nini?
Hili taifa halijaanza kuingizwa mikenge leo Miaka ile ya 80 CCM ikanunua/ikapewa magari ya Korando SsangYong
kutoka Korea kusini nadhani... Zilikufa zote! Leo ukimuona mtu ana Korando hilo ni body tuu engine imeshawekwa ya Toyota
Hatukukoma tuu miaka ya tisini Mwanzoni Jeshi letu likapata magari ya Hyundai
SONATA toka hukohuko Korea.. Magari haya waliuziwa maofisa wa jeshi. Leo ukiiona Sonata Piga nayo picha.
Miaka ya 2000 tukaingizwa mkenge tena serikalini na serikali ya South tukaagiza Nissan Pickups (hardbody) kwa fujo sana kwenye vitengo vya serikali. Kama kuna magari yaliliingizia taifa hasara ni hayo. Baadae zikaja pickup NAVARA bei ghali kweli kweli lakini ni Mulemule.
Kuna Nissan SERENA😭nililiuza 1.5M, kuna Juke macho ya panzi, NISSAN Sunny ]
nknk.. Kwa kifupi NISSAN ni majanga
Serikali kuendelea kuruhusu kuagiza hizi gari ni uharamia na uhujumu mkubwa wa uchumi. Kuagiza gari Unahitaji dola, kuagiza vipuri unahitaji dola! Kuagiza madawa gari likiungua na kusababisha majeruhi kunahitaji dola
Kwa majanga yote hayo kwanini yasipigwe marufuku!?
Kwa modeli za magari yanayoingia nchini kwasasa NISSAN DUALIS zinaongoza kwa kuwaka moto.. Hivi mamlaka halilioni hili tatizo? Ama kwa vile nyingi hazijasababisha maafa makubwa?
NISSAN anaongoza kwa model nyingi mbovu ukiachana na NISSAN safari, Nissan Caravan nk. Jiulize ni kwanini kwa asilimia 95 hakuna NISSAN (IT) Wenzetu wamegutuka nini?
Hili taifa halijaanza kuingizwa mikenge leo Miaka ile ya 80 CCM ikanunua/ikapewa magari ya Korando SsangYong
Hatukukoma tuu miaka ya tisini Mwanzoni Jeshi letu likapata magari ya Hyundai
SONATA toka hukohuko Korea.. Magari haya waliuziwa maofisa wa jeshi. Leo ukiiona Sonata Piga nayo picha.
Miaka ya 2000 tukaingizwa mkenge tena serikalini na serikali ya South tukaagiza Nissan Pickups (hardbody) kwa fujo sana kwenye vitengo vya serikali. Kama kuna magari yaliliingizia taifa hasara ni hayo. Baadae zikaja pickup NAVARA bei ghali kweli kweli lakini ni Mulemule.
Kuna Nissan SERENA😭nililiuza 1.5M, kuna Juke macho ya panzi, NISSAN Sunny ]
Serikali kuendelea kuruhusu kuagiza hizi gari ni uharamia na uhujumu mkubwa wa uchumi. Kuagiza gari Unahitaji dola, kuagiza vipuri unahitaji dola! Kuagiza madawa gari likiungua na kusababisha majeruhi kunahitaji dola
Kwa majanga yote hayo kwanini yasipigwe marufuku!?