Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,873
- 6,821
Nilikua chalii hizi gari tulikua tunaziita "vigofu"Si ndio hizi Sonata!?😀View attachment 3088302
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikua chalii hizi gari tulikua tunaziita "vigofu"Si ndio hizi Sonata!?😀View attachment 3088302
Hapana aisee kwa Juke ni umamaHata wanaume
sikia unachoambiwa wewe sisi huku mtaani tunaona anachosema Mshana JrYaani mjapani atengeneze gari mwaka 2008 aitumie miaka 16 akuuzie leo wewe ukampelekee fundi maiko wa yombo dovya akatengeneze shoti kwa kuvuruga system ya umeme uje umlaumu mjapani kweli??
Unakuwaga mbishi wewe kwahiyo mume wangu ni mmama sioHapana aisee kwa Juke ni umama
Hii dash ya Mitsubishi outlander, au nasema uongo ndugu zangu
[emoji2][emoji2][emoji2]Ngoja nisiongee maneno mengi,kuna mdada mmoja siku hizi hapa kazini hata salamu hanipi tokea anunue Dualis yake namba E,halafu naona pia speed yake ya kutembea kama imeongezeka ghafla,kawa kama vile mdada wa kizungu step za harakaharaka...
Chukua IST...case closedNataka ninunue Kigari cha kuanzia maisha, itakuwa gari yangu ya kwanza na kwa uchumi wa kawaida bei isizidi 10M
Iwe juu kidogo na cc isiwe kubwa
Natanguliza shukran
Si taasis zote, kuna ambazo zina marcopolo scania latest, na ni gov. Itadepend na uwezo wa taasisi na mahitajiNaona siku hizi taasisi za serikali upande wa mabasi zimehamia kwenye Yutong
Unalizungumziaje hili Mshana Jr
Kutoka Ashok Lelyand kwenda Uchinani?
Nilikua chalii hizi gari tulikua tunaziita "vigofu"
Ila hakuna mifano hai kama jiko la gesiInasemekana baadhi ya BM tatizo ni chassis
Mjep bado kalikamata Soko tena kwa mikono yote miwili na miguu mitatu😀😀Mwaka 95 serikali ilipigwana kitu kuzito ilipinunua Beijing Jeep kwa ajili ya uchaguzi.
Hawakuishia hapo, Mahita alipoingia madarakani wakakolpa Hyundai kwa ajili ya polisi, ndani ya miaka miwili hazikuonekana barabarani.
Kuna kipindi tukinunua engine za treni kutoka India miaka Ile Mshana Jr ulikua fomfoo, ikibidi zifungwe mbili ili ziweze kuhimili mzigo.
Bado hatukomi tu.
Food for thought: Mbona sioni gari ndogo za kichina kwenye barabara zetu?
😂😂😂😂😂Terois KidNataka ninunue Kigari cha kuanzia maisha, itakuwa gari yangu ya kwanza na kwa uchumi wa kawaida bei isizidi 10M
Iwe juu kidogo na cc isiwe kubwa
Natanguliza shukran
Ngoja nisiongee maneno mengi,kuna mdada mmoja siku hizi hapa kazini hata salamu hanipi tokea anunue Dualis yake namba E,halafu naona pia speed yake ya kutembea kama imeongezeka ghafla,kawa kama vile mdada wa kizungu step za harakaharaka...
Roho ya paka mafuta inanusa💪🏿View attachment 3088390
Vigofu zilikuwa ni hizi, Volkswagen Golf,Polisi ndio walikuwa wanazitumia ktk kazi zao. Sonata sio golf
Mwambie kafeli sana gari la kike hilo🤣Unakuwaga mbishi wewe kwahiyo mume wangu ni mmama sio
Sawa taasisi ipi wana Scania?Si taasis zote, kuna ambazo zina marcopolo scania latest, na ni gov. Itadepend na uwezo wa taasisi na mahitaji
Aiseee ni majonzi sana