Nissan Dualis zitajiondoa zenyewe sokoni

Nissan Dualis zitajiondoa zenyewe sokoni

Unasema nyingi zimeweka moto je mliagiza mpya je mmenunua kwa wakala wa nissani au used japan au singapore

Je zikifika mnaweka spair sahihi

La mwisho nunua gari jipya kwa nissani uke kulalamika watakuja jipya nissani wenyewe...... sasa umenunua magari ya kajamba nani beforwad unalalamika mkuu
Najua unajaribu kutetea kiberiti chako, tht will be my last advice to you….

Ukiwa unaendesha dualis usibebe familia. Ungua peke yako
 
Tumia akili kiduchu, bongo asilimia kubwa tunatumia used, kina dualis, patrol, ist, outlander, alphard na ndugu zao wengine, wote wametoka japan hawajaungua, lakini kuja bongo mmoja anaungua, na ukizingatia mafundi wa dualis ndio wa alphard,probox ndio wa patrol na gari nyinginezo..
Kumuelimisha chizi unajipa kazi
 
ni sawa ww unaona unachokiona uko mtaani gri linawaka moto lakini je,chanzo cha gari kuwaka moto unakijua? au unafikiri gari liwake moto tu bila chanzo ndio huyo mwenzio anakwambia nissan hazitaki kuchezewa mfumo wake wa umeme kwa kufunga adroid radio,taa za booster na yote yanayohusu wiring ya umeme mafundi wengi wanakata na kuunga nyaya sehemu sio sahihi lazima gari ilete short
Tuthibitishie kuwa gari unayoiona kwny picha ilifungwa android au kuungwa ungwa wire.
 
Moto

Sanahani sijawahi kumiliki au kununua au kutumia gari inaitwa NISSAN DUALIS.. Ila mimi ni mdau kwenye hiyo sekta na nilichoandika ndio uhalisia kwa ground
Ishu ya kununua mpya au used sheria ya nchi yetu imeruhusu kwa masharti ya gari kufanyiwa ukaguzi
Nadhani umechangia kwa kusoma heading na si maudhui

Huko behind ninini Hicho🥺🤣

Mimi ni mdau mkubwa wa nagati

Tulikuwa tushaingizwa cha kike kuhusu umeme
Hakikisha fire extinguisher yako ipo in place and up to date
 
Ww ni mjinga… mbona toyota tunanunua 20 years back from manufacturing na hatuexperience hayo matatizo?

Nissan kimeo
Mjinga mwenyewe, tena mpuuzi. Think about muda wa matumizi tangu kutengenezwa hadi kuja kuungulia yombo, mafundi maiko hawajaujulia vzr mfumo wa umeme wa dualis, mbona hazijaanza kuungulia huko Japani miaka yote??
 
Mjinga mwenyewe, tena mpuuzi. Think about muda wa matumizi tangu kutengenezwa hadi kuja kuungulia yombo, mafundi maiko hawajaujulia vzr mfumo wa umeme wa dualis, mbona hazijaanza kuungulia huko Japani miaka yote??
Ww inaonyesha hujawai kumiliki gari…..

So ucnipigie kelele…. Km haina shida why ilirudshwa kiwandani kufanyiwa marekebisho y mfumo wa umeme? Imekuwa recalled 2 time kuanzia 2009 to 2012…. Au smartphones huna?
 
TATIZO KUBWA NA WA KUTUPIWA LAWAMA ni VETA, NIT na DIT na wengineo (Serikali)!! Why?? Miaka ya 60,70 na 80 taasisi zetu za elimu zilikuwa zinaenda na Wakati. Ila ni miaka zaidi ya 20 sasa Taasisi zetu za Elimu na mamlaka za ufundi zimekuwa vipofu na avina ubunifu wa kwenda na wakati[emoji24]
1. Mpaka leo Mitaala ya Ufundi magali katika vyuo vetu vyote ni ya mwaka 47!, Veta mpaka miaka ya 2000 awakuwa na mitahala ata ya Computer repair. Ata mitahala ya Jinsi ya kurepea simu za mkononi - baada ya kusaidiwa na wasio wafanyakazi wa VETA ndo kidogo wakaweza anza fundisha. Kule South Africa Makampuni yote ya magari, simu na TV hutoa kwa Vyuo vya ufundi bure sample za product zao na service manuals ili vijana wawe wabobezi kwenye hizo products zao, hapa atuna coordination ata kidogo kwenye taasisi na viwanda husika! TCRA pia walitakiwa kusimamia hili kwenye vifaa vya mawasiliano( Watanzania wengi watakubaliana na mimi kuwa atuna mafundi simu wabobezi hapa nchini 80% ni makanjanja tu- unapeleka simu inawaka fundi anakurudishia aiwaki[emoji1787])Mpaka leo AKUNA CHUO TANZANIA KINA FUNDISHA AUTOMOTIVE electronics- vijana wanajifunza tu umeme magari unaousu jinsi ya kuunga taa na wa kwenye plug system- huyu atawezaje kusoma na kuprogram ECU, ABS systems? Ambazo ni part ya magari yote ya sasa??? Ukweli Vyuo vetu vinazalisha vijana wasio na stadi zinazotakiwa kwa miaka hii na pia mamlaka husika azisimamii majukumu yake. TCRA walikuja na program ya kufundisha &kucertfy mafundi Simu! Wajanja wakapiga hela now imekufa[emoji24] . Magari mbali na kuwaka zikiwa Bara barani , maelfu zipo garage kwa ukosefu wa Technical know how za mafundi wetu!! Tuna mamia ya buses za kichina why azipo njingi kwenye magereji??? Kwa sababu Mchina amemwaga mafundi wabobezi wa hizi bus nchi nzima. Taasisi husika za Serikali kwenye ishu ya technogia zinatakiwa zije na mikakati madhubuti ili kusaidia taifa kuondokana na hizi shida na haibu- waje tuwasaidie kama wanataka msaada
Sikulifahamu hili la mchina kumwaga mafundi nchi nzima

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
Yaani mjapani atengeneze gari mwaka 2008 aitumie miaka 16 akuuzie leo wewe ukampelekee fundi maiko wa yombo dovya akatengeneze shoti kwa kuvuruga system ya umeme uje umlaumu mjapani kweli??
Zinalalamikiwa nissan sio mjapan kwa ujumla wake, Toyota ni mjapan pia ila gari zake huwa zina uhakika regardless ya umri.
 
Hapana boss sijawahiona.
Nahitaji kufahamu hao mafundi wamemwagwa wapi? Yaani kuna karakana za wachina mikoani kwa ajili ya hizo bus au wapo kwenye hizi gereji bubu za mitaani?

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Wapo kwenye mabaa na glosaries nchi nzima wakielekeza vijana wetu jinsi ya kucheza Kamari kwenye zile mashine zinazoitwa MADUBU.
 
Duals mara nyingi huu ungua kwasabab kule kwenye sehem ya exhaust mandord kuna kama linguo hiv kwa juu kuzuia joto lisipige directly kwenye ac pipes, so lile linguo hua linashuka kwenye exhaust manford kama likipigwa pressure wakat unaogsha gari, kwahyo likishuka likilalia pale kwenye exhaust manford linapata joto na linaanza kuungua na moto unaaza,,,,, kwenye inshu ya vitu after market ambavyo ni fake inaweza pia ikawasha gari moto sio Nissan pekee bali kila gari,,,, juz kati mwezi huu **** BMWX1 iliwaka motokwa tatizo la wireling mbovu, so jitahid kwenye kila maungio weka fuse,,,,, kuna watu wana duals no B mpaka leo wanazo,,, kila kitu ni matunzo na elimu pia,,, kwahyo ukitaka kuzuia moto uongeze pin kwenye lile li nguo au ulitoe kabisa hapo issue inakua sorved
 
Back
Top Bottom