Nissan Dualis zitajiondoa zenyewe sokoni

Nissan Dualis zitajiondoa zenyewe sokoni

sikia unachoambiwa wewe sisi huku mtaani tunaona anachosema Mshana Jr
ni sawa ww unaona unachokiona uko mtaani gri linawaka moto lakini je,chanzo cha gari kuwaka moto unakijua? au unafikiri gari liwake moto tu bila chanzo ndio huyo mwenzio anakwambia nissan hazitaki kuchezewa mfumo wake wa umeme kwa kufunga adroid radio,taa za booster na yote yanayohusu wiring ya umeme mafundi wengi wanakata na kuunga nyaya sehemu sio sahihi lazima gari ilete short
 
Sababu kubwa ya dualis kuwaka ni after market asilimia kubwa sana unakuta zimechezewa mifumo ya umeme kuweka redio za android au mataa ya kudamshi damshi hizi gari iko wazi hazitaki mbwembwe kama ni mpenda mbwembwe nunua tu Doyoda sasa tukiachana na dualis kuna hizi mazda CX5 nazo ni gari mbovu kishenzi
Hiyo siyo sababu kwa sababu brand zote za magari zinachezewa kama unavyosema mbona haziungui kama dualis?
 
Yaani mjapani atengeneze gari mwaka 2008 aitumie miaka 16 akuuzie leo wewe ukampelekee fundi maiko wa yombo dovya akatengeneze shoti kwa kuvuruga system ya umeme uje umlaumu mjapani kweli??
Uko sahihi.

Mleta mada afanye utafiti kwa waliounguluwa na hayo magari atakuta mfumo wa umeme uliguswaa na mafundi wetu wasio na uelewa kwa kubadilisha radio ama kuweka alarm system.

Ungejiuliza gari limetembea zaidi ya kilomita elfu 50 hadi laki 2 halijawahi kuingua lije kuungua sasa.
 

Sawa taasisi ipi wana Scania?

Dualis a.k.a mtungi wa oryx
Moto
Unasema nyingi zimeweka moto je mliagiza mpya je mmenunua kwa wakala wa nissani au used japan au singapore

Je zikifika mnaweka spair sahihi

La mwisho nunua gari jipya kwa nissani uke kulalamika watakuja jipya nissani wenyewe...... sasa umenunua magari ya kajamba nani beforwad unalalamika mkuu
Sanahani sijawahi kumiliki au kununua au kutumia gari inaitwa NISSAN DUALIS.. Ila mimi ni mdau kwenye hiyo sekta na nilichoandika ndio uhalisia kwa ground
Ishu ya kununua mpya au used sheria ya nchi yetu imeruhusu kwa masharti ya gari kufanyiwa ukaguzi
Nadhani umechangia kwa kusoma heading na si maudhui
Unyama sana hii chuma..😊
Huko behind ninini Hicho🥺🤣
 

Sawa taasisi ipi wana Scania?

Dualis a.k.a mtungi wa oryx
Moto
Unasema nyingi zimeweka moto je mliagiza mpya je mmenunua kwa wakala wa nissani au used japan au singapore

Je zikifika mnaweka spair sahihi

La mwisho nunua gari jipya kwa nissani uke kulalamika watakuja jipya nissani wenyewe...... sasa umenunua magari ya kajamba nani beforwad unalalamika mkuu
Sanahani sijawahi kumiliki au kununua au kutumia gari inaitwa NISSAN DUALIS.. Ila mimi ni mdau kwenye hiyo sekta na nilichoandika ndio uhalisia kwa ground
Ishu ya kununua mpya au used sheria ya nchi yetu imeruhusu kwa masharti ya gari kufanyiwa ukaguzi
Nadhani umechangia kwa kusoma heading na si maudhui
Unyama sana hii chuma..😊
Huko behind ninini Hicho🥺🤣
Uko sahihi.

Mleta mada afanye utafiti kwa waliounguluwa na hayo magari atakuta mfumo wa umeme uliguswaa na mafundi wetu wasio na uelewa kwa kubadilisha radio ama kuweka alarm system.

Ungejiuliza gari limetembea zaidi ya kilomita elfu 50 hadi laki 2 halijawahi kuingua lije kuungua sasa.
Mimi ni mdau mkubwa wa magari na nimekaa garage miaka 10 na ushee
 
Tumia akili kiduchu, bongo asilimia kubwa tunatumia used, kina dualis, patrol, ist, outlander, alphard na ndugu zao wengine, wote wametoka japan hawajaungua, lakini kuja bongo mmoja anaungua, na ukizingatia mafundi wa dualis ndio wa alphard,probox ndio wa patrol na gari nyinginezo..
Nadhani ndio uelewe kua shida ni mafundi, sio gari dualis ni tofauti na pro box,waongeze ujuzi kwenye hayo magari,
 
Mkuu Dualis kuungua wala hakuna uhusiano wowote na umeme bali kuna cover ambalo limewekwa chini ya Engine kwa ajili ya kuzuia engine isipate tope. Lile cover likikauka huwa linadondokea kwenye excose na kusababisha gari kuwaka. Hakuna Dualis iliyoungua huku chanzo kikuu kikiwa ni umeme. Ndo maana unaona siku hizi rate ya kuungua imeshuka kwa sababu gari zinakuja zikiwa zimewekewa cover la chuma ili kuzuia cover kudondokea kwenye excose. Magari mengine siku hizi mafundi wanayatoa yale macover. Binafsi natumia Qashqai na sijawahi pata shida yoyote
 
Changamoto ya nchi yetu watu hawapendi kusoma na kufanya research...

Mafundi ingekuwa ni wasomi na wanajielewa na wanataka kuboroesha taaluma zao, basi wangefanya utafiti ni kwa nini hizi gari za Nissan Dualis zikifika tu Bongo, changamoto yake ni kuungua.....na ni kwanini haziungui zikiwa Japan na nchi nyingine..?
Mimi nadhani aidha wamiliki au mafundi kuna mahali wanazikosea hizi gari...

Kwa sababu nimeona Nissan Qashqai namba A na bado inafanya kazi Vizuri.., Nimeona Nissan Dualis na B...ipo safi tu .

Lakini pian Nimeona Toyota Crown ikiwaka moto, Nimeona Toyota Rav 4 Ikiwaka Moto, Nimeona IST toleo la Kwanza ikiwaka moto...

Na magari yote haya niliyoona yakiwaka moto, moto ulianzia maeneo ya Injini..

Banfsi ninaamini mafundi wasio na weledi haswa kwenye mifumo ya umeme ndiyo wanasababisha haya magari kulipuka..

Kuna haja ya watu wenye akili kufanya utafiti na kuja na nadiko, na si kuandika kishabiki.....Watanzania bado tuna safari ndefu...wenzetu Wakenya wametuacha mbali katika kufanya tafiti na kugundua chanzo cha tatizo
 
Sababu kubwa ya dualis kuwaka ni after market asilimia kubwa sana unakuta zimechezewa mifumo ya umeme kuweka redio za android au mataa ya kudamshi damshi hizi gari iko wazi hazitaki mbwembwe kama ni mpenda mbwembwe nunua tu Doyoda sasa tukiachana na dualis kuna hizi mazda CX5 nazo ni gari mbovu kishenzi
Mazda cx5 ubovu wake ni nini haswa?
 
Sababu kubwa ya dualis kuwaka ni after market asilimia kubwa sana unakuta zimechezewa mifumo ya umeme kuweka redio za android au mataa ya kudamshi damshi hizi gari iko wazi hazitaki mbwembwe kama ni mpenda mbwembwe nunua tu Doyoda sasa tukiachana na dualis kuna hizi mazda CX5 nazo ni gari mbovu kishenzi
Ubovu wa Mazda CX5 upo kwenye nn hembu fafanua bro maana ndizo zimeongoza kimauzo masoko ya Ulaya na Marekani
 

Sawa taasisi ipi wana Scania?

Dualis a.k.a mtungi wa oryx
Moto
Unasema nyingi zimeweka moto je mliagiza mpya je mmenunua kwa wakala wa nissani au used japan au singapore

Je zikifika mnaweka spair sahihi

La mwisho nunua gari jipya kwa nissani uke kulalamika watakuja jipya nissani wenyewe...... sasa umenunua magari ya kajamba nani beforwad unalalamika mkuu
Sanahani sijawahi kumiliki au kununua au kutumia gari inaitwa NISSAN DUALIS.. Ila mimi ni mdau kwenye hiyo sekta na nilichoandika ndio uhalisia kwa ground
Ishu ya kununua mpya au used sheria ya nchi yetu imeruhusu kwa masharti ya gari kufanyiwa ukaguzi
Nadhani umechangia kwa kusoma heading na si maudhui
Unyama sana hii chuma..😊
Huko behind ninini Hicho🥺🤣
Uko sahihi.

Mleta mada afanye utafiti kwa waliounguluwa na hayo magari atakuta mfumo wa umeme uliguswaa na mafundi wetu wasio na uelewa kwa kubadilisha radio ama kuweka alarm system.

Ungejiuliza gari limetembea zaidi ya kilomita elfu 50 hadi laki 2 halijawahi kuingua lije kuungua sasa.
Mimi ni mdau mkubwa wa nagati
Mkuu Dualis kuungua wala hakuna uhusiano wowote na umeme bali kuna cover ambalo limewekwa chini ya Engine kwa ajili ya kuzuia engine isipate tope. Lile cover likikauka huwa linadondokea kwenye excose na kusababisha gari kuwaka. Hakuna Dualis iliyoungua huku chanzo kikuu kikiwa ni umeme. Ndo maana unaona siku hizi rate ya kuungua imeshuka kwa sababu gari zinakuja zikiwa zimewekewa cover la chuma ili kuzuia cover kudondokea kwenye excose. Magari mengine siku hizi mafundi wanayatoa yale macover. Binafsi natumia Qashqai na sijawahi pata shida yoyote
Tulikuwa tushaingizwa cha kike kuhusu umeme
 
Uko sahihi.

Mleta mada afanye utafiti kwa waliounguluwa na hayo magari atakuta mfumo wa umeme uliguswaa na mafundi wetu wasio na uelewa kwa kubadilisha radio ama kuweka alarm system.

Ungejiuliza gari limetembea zaidi ya kilomita elfu 50 hadi laki 2 halijawahi kuingua lije kuungua sasa.
Mdau mwingine hapo anasema ni insulating cover kwenye engine bay, wengine mnasema ni umeme kuchezewa. Ukweli ni upi?
 
Back
Top Bottom