Nissan Dualis zitajiondoa zenyewe sokoni

Nissan Dualis zitajiondoa zenyewe sokoni

Mshana Jr umesahau na jeshi la polisi waliingizwa chaka kununua Hyundai Saloon za polisi vilijifia mapema sana vile vigari
Si ndio hizi Sonata!?😀View attachment 3088302
Shida sio Nissan, tatizo ni uwezo wetu mdogo katika maintenance ya vyombo vya moto hasa mafundi. Ni kweli kuna cases kadhaa kwa Nissan ku-malfunction na units kadhaa kurudishwa kiwandani, ila matatizo hayo hata kwa baadhi ya models za toyota yalishatokea.

Kuna ndinga hazitaki mbwembwe, mbona nasikia hata BMW haitaki mbwembwe.
Mnyama BM mpaka umpindue ama alipuke tu mwenyewe ujue umefanya Kazi kubwa mno.. Lakini DUALIS chap kwa haraka kama kumsukuma tena🤣
Juke gari kali sana
Engine nyanya halafu haina nguvu
 
Mshana Jr umesahau na jeshi la polisi waliingizwa chaka kununua Hyundai Saloon za polisi vilijifia mapema sana vile vigari
Si ndio hizi Sonata!?😀View attachment 3088302
Shida sio Nissan, tatizo ni uwezo wetu mdogo katika maintenance ya vyombo vya moto hasa mafundi. Ni kweli kuna cases kadhaa kwa Nissan ku-malfunction na units kadhaa kurudishwa kiwandani, ila matatizo hayo hata kwa baadhi ya models za toyota yalishatokea.

Kuna ndinga hazitaki mbwembwe, mbona nasikia hata BMW haitaki mbwembwe.
Mnyama BM mpaka umpindue ama alipuke tu mwenyewe ujue umefanya Kazi kubwa mno.. Lakini DUALIS chap kwa haraka kama kumsukuma tena🤣
Juke gari kali sana
Engine nyanya halafu haina nguvu
Hahaha ndiyo hivi mkuu, oyaa hamna gari humo
Hii nchi tumepigwa na vingi mno😭
 
Mwaka 95 serikali ilipigwana kitu kuzito ilipinunua Beijing Jeep kwa ajili ya uchaguzi.
Hawakuishia hapo, Mahita alipoingia madarakani wakakolpa Hyundai kwa ajili ya polisi, ndani ya miaka miwili hazikuonekana barabarani.
Kuna kipindi tukinunua engine za treni kutoka India miaka Ile Mshana Jr ulikua fomfoo, ikibidi zifungwe mbili ili ziweze kuhimili mzigo.
Bado hatukomi tu.
Food for thought: Mbona sioni gari ndogo za kichina kwenye barabara zetu?
 

Inasemekana baadhi ya BM tatizo ni chassis
Ila hakuna mifano hai kama jiko la gesi
Mwaka 95 serikali ilipigwana kitu kuzito ilipinunua Beijing Jeep kwa ajili ya uchaguzi.
Hawakuishia hapo, Mahita alipoingia madarakani wakakolpa Hyundai kwa ajili ya polisi, ndani ya miaka miwili hazikuonekana barabarani.
Kuna kipindi tukinunua engine za treni kutoka India miaka Ile Mshana Jr ulikua fomfoo, ikibidi zifungwe mbili ili ziweze kuhimili mzigo.
Bado hatukomi tu.
Food for thought: Mbona sioni gari ndogo za kichina kwenye barabara zetu?
Mjep bado kalikamata Soko tena kwa mikono yote miwili na miguu mitatu😀😀
Food for thought: Mbona sioni gari ndogo za kichina kwenye barabara zetu?
 
yote miwili na miguu mitatu😀😀
Food for thought: Mbona sioni gari ndogo za kichina kwenye barabara zetu
Unajua miaka ya 70s kurudi nyuma na miaka ya 80s gari za Ulaya zilikuwa nyingi kuliko Mjapan enzi za akina Volkswagen, Peugeot, Landrover

Nafikiri ni suala la muda gari ndogo za Mchina zitaanza kuhit our roads anakuja kwa kasi sana.

Ni kama akina Yutong na wenzake walivyoutoa ufalme wa Scania, Isuzu, Nissan Diesel, Volvo kwenye mabasi na akina FAW na HOWO kwenye trucks

Upande wa gari ndogo za Kichina tunasubiri second hand mana ndio uwezo wetu Wabongo
 
Sababu kubwa ya dualis kuwaka ni after market asilimia kubwa sana unakuta zimechezewa mifumo ya umeme kuweka redio za android au mataa ya kudamshi damshi hizi gari iko wazi hazitaki mbwembwe kama ni mpenda mbwembwe nunua tu Doyoda sasa tukiachana na dualis kuna hizi mazda CX5 nazo ni gari mbovu kishenzi

'Doyoda' naye ni Mjapani au?
 
Back
Top Bottom