Nissan na Honda kuungana kufuatia ushindani mkubwa kutoka China katika utengenezaji wa magari

Nissan na Honda kuungana kufuatia ushindani mkubwa kutoka China katika utengenezaji wa magari

Kitu cha kwanza ni kufikiri kama Mchina. Anachofanya Mchina ni kuangalia kila fiction science movie kutoka kwa Wamarekani (zamani) halafu anazifanyia kazi katika maisha halisi, hiyo inaitwa trial and error (a problem-solving method that involves trying different solutions until one works). Unatakiwe ujue kuwa kila unachokiona kwenye science fiction movie kama future cars n.k. basi ujue hiyo concept iko maabara inafanyiwa kazi na Wamarekani. Kwahiyo Wachina wanachukua wazo la Wamarekani na kulifanyia kazi kabla kitu kakijatoka maabara. Mwanzo walianza kuiga (copy and paste) sasa hivi wanatumia wasomi wao waliosoma Marekani na nchi zingine kufanya research and development (R&D) yao wenyewe.

1734526416442.png


1734526508637.png


1734526564493.png


1734526596353.png


So judge for yourself.
 
Kitu cha kwanza ni kufikiri kama Mchina. Anachofanya Mchina ni kuangalia kila fiction science movie kutoka kwa Wamarekani (zamani) halafu anazifanyia kazi katika maisha halisi, hiyo inaitwa trial and error (a problem-solving method that involves trying different solutions until one works). Unatakiwe ujue kuwa kila unachokiona kwenye science fiction movie kama future cars n.k. basi ujue hiyo concept iko maabara inafanyiwa kazi na Wamarekani. Kwahiyo Wachina wanachukua wazo la Wamarekani na kulifanyia kazi kabla kitu kakijatoka maabara. Mwanzo walianza kuiga (copy and paste) sasa hivi wanatumia wasomi wao waliosoma Marekani na nchi zingine kufanya research and development (R&D) yao wenyewe.

View attachment 3179574

View attachment 3179576

View attachment 3179577

View attachment 3179578

So judge for yourself.
Umeshakuwa brainwashed na Sci-fi movies za Hollywood. Mchina anafanya vitu ambavyo hata kampuni kubwa katika U.S auto industry hawafanyi. Wanabaki tu kushangaa
 
Magari mazur ya umeme niya elonmusk only. sio huo uchafu wa china
Elon Musk ana kiwanda kikubwa sana Shanghai cha kutengeneza magari ya Tesla

Components za magari hayo kwa zaidi ya 90% zinatengenezwa na Chinese suppliers, Tesla wanafanya kuzinunua kutoka kwa hao suppliers

Ukinunua Tesla kutoka China ujue kwa zaidi ya 90% umenunua gari iliyotengenezwa na Wachina ila ina logo tu ya Tesla

Na kwa sasa BYD inafanya vizuri katika global market kuliko Tesla

 
Mchina anakimbiza
Mpaka Mjapan kanyoosha mikono inabidi wapige colabo.

Mchina alianza ku-outcompete Mjapan kwenye soko la vifaa vya electron, ship building industry, machinery, high speed railway, now EV

Imebaki tu kwenye high end semiconductors, kufikia 2027 baada ya China kukamilisha China made EUV lithography machine itakuwa it's game over for Japan
 
Kwa hiyo hapa mnataka kumaanisha nini Kwa waarabu na mafuta
Mafuta hayataisha demand bado mitambo itahitaji diesel na end products nyingine za crude oil kama oil, jet fuel, LPG n.k

Demand itapungua mpaka pale duniani kote mataifa yatakapokuwa yamehamia kwenye NEV na green energy kama source of power for domestic and industrial uses
 
Elon Musk ana kiwanda kikubwa sana Shanghai cha kutengeneza magari ya Tesla

Components za magari hayo kwa zaidi ya 90% zinatengenezwa na Chinese suppliers, Tesla wanafanya kuzinunua kutoka kwa hao suppliers

Ukinunua Tesla kutoka China ujue kwa zaidi ya 90% umenunua gari iliyotengenezwa na Wachina ila ina logo tu ya Tesla

Na kwa sasa BYD inafanya vizuri katika global market kuliko Tesla

Nimekuelewa mkuu
 
Mpaka Mjapan kanyoosha mikono inabidi wapige colabo.

Mchina alianza ku-outcompete Mjapan kwenye soko la vifaa vya electron, ship building industry, machinery, high speed railway, now EV

Imebaki tu kwenye high end semiconductors, kufikia 2027 baada ya China kukamilisha China made EUV lithography machine itakuwa it's game over for Japan
Sema vitu vyake havidumu
 
Miundombinu ya hydrogen ni ghali zaidi na safety ni ndogo

Hasa upande wa hydrogen leak inaweza kusababisha moto ni sawa na kucheza na bomu maana storage tanks, pipeline na valves zikivujisha tu tunazungumzia mengine au ikila mzinga

Hydrogen ilishafeli kitambo EVs won a long time ago

Toyota wabadilike waingie mazima kwenye EV na aendelee na ICE, najua Mjapan huwa anachukia kubadilika

Kila mwaka tangu 2010s Toyota kwenye media they say all types of things to keep the masses entertained kuhusu magari yao ya hydrogen na wamezindua matoleo kadhaa ya hydrogen lakini hayahuziki

Hiv hamna namna watagundua gari ya kuweka maji tu mvuke uendeshe gari? Ningekuwa na uwezo hii ndo sehemu ya kuinvest, maana gharama ya uendeshaji ni almost zero
 
Hizi EV watu wanazisifia tu hata hazita kuwa na soko kama gari za Mafuta. Wangapi wata weza kumudu gharama za kuzimiliki? Maintenance yake ni ghali sana, Charging station bado shida huko ziliko anzia , sasa huku kwetu sijui zitakuwaje.

Sitashangaa watu wakijaribu kuvuta umeme kutoka kwenye hizi charging statio kufanyia shughuli tofauti na ku charge magari. Kwa usalama tutaziweka wapi nchi hii?

Nimeona SGR watu wana kata nyaya za copper wana piga pesa, Afrika tutabaki kushabikia tu magari haya.
 
Kwasasa ukiikataa ku apply tekinolojia mpya,outomaticaly unatupwa nje ya soko,na unaweza toweka kabisaaa,mfano ni kutoweka kwa NOKIA sokoni,.kwakuwa walidharau touch screen.
 
Hizi EV watu wanazisifia tu hata hazita kuwa na soko kama gari za Mafuta. Wangapi wata weza kumudu gharama za kuzimiliki? Maintenance yake ni ghali sana, Charging station bado shida huko ziliko anzia , sasa huku kwetu sijui zitakuwaje.

Sitashangaa watu wakijaribu kuvuta umeme kutoka kwenye hizi charging statio kufanyia shughuli tofauti na ku charge magari. Kwa usalama tutaziweka wapi nchi hii?

Nimeona SGR watu wana kata nyaya za copper wana piga pesa, Afrika tutabaki kushabikia tu magari haya.
Mkuu, EVs zinazidi kusambaa duniani kama moto wa nyika. Subiri kwanza Dunia ya kwanza na pili wawe fully EV, then ya tatu huku tutafuata.
 
Back
Top Bottom