Car4Sale Nissan Patrol Bei Poa

Car4Sale Nissan Patrol Bei Poa

Usijali. Huyo Bi Zainab, mimi na yeye ni dam dam.

She is an amazing woman ana amazing product, umeiona? She is a very hard working woman, she has all my respect and I love he so much.

Bi Zainab ni mfano wa kuigwa kwa akina mama, kwa age yake na jinsi anavyojituma, she is simply amazing.

I LOVE HE SO MUCH?.
Huwa unapenda sana kukosoa wenzako!!
 
Achaga urongo!! kwani hapo ilipo imeshushwa kwa ndege? tena kuna mdau kasema ni Buguruni kabisa!

Ukisoma huelewi basi ta picha huoni?

Nenda kanunuwe showroom.

Wewe inaonesha hata baiskeli huna wacha gari, hata lugha za magari huelewi.

Punguani wahed.
 
Tatizo lako ni elimu duni.
Wewe Bibi hata kama una elimu basi haijakusaidia, kwa taarifa yako nina drive gari kali kuliko hii inayouzwa kama huelewi na sina gari moja.
Na ukitaka league nipo free kukufuata popote ulipo na chakula nikununulie punguani mkubwa we!!
 
Wewe Bibi hata kama una elimu basi haijakusaidia, kwa taarifa yako nina drive gari kali kuliko hii inayouzwa kama huelewi na sina gari moja.
Na ukitaka league nipo free kukufuata popote ulipo na chakula nikununulie punguani mkubwa we!!

= courtesy FaizaFoxy

Wewe huna hata baiskeli. Wacha porojo. Mwenye gari anaongea kijinga hivyo?

Punguani wahed.
 
Last edited by a moderator:
= courtesy FaizaFoxy

Wewe huna hata baiskeli. Wacha porojo. Mwenye gari anaongea kijinga hivyo?

Punguani wahed.

Wewe ajuza angalia hata points unazojenga halafu unajinasibu kwamba wewe ni msomi? Daaah, no wonder we have this kind of nation!! Nimekuambia if u need, nikufuate popote ulipo (kama upo Tanzania) ujue natembelea usafiri gani taahira wewe!
 
Wewe ajuza angalia hata points unazojenga halafu unajinasibu kwamba wewe ni msomi? Daaah, no wonder we have this kind of nation!! Nimekuambia if u need, nikufuate popote ulipo (kama upo Tanzania) ujue natembelea usafiri gani taahira wewe!

Wewe point yako ni ipi?una uwezo wa kununuwa gari?

Nissan Patrol ya mwaka huo uliowekwa, swafi haina tatizo kwa million 23 inakushinda> iliobaki unaleta porojo?

Wewe tembea tu, hata baiskeli huna.
 
Mnfssssss Hela ya ugoro inakushinda utanunua gari weye??

Acha kujitutumua fukara tu wewe....

Wewe muimba kwaya wa Kisabato leo una jeuri ya kuita watu Mafukara?

Nini ulichonacho we Kelbu?
Au zile senti unazolipwa kuimbia wasabato ka bi kidude?
Mtoto kukuza makalio kidogo tu tayari umeshaanza kukashifu wazee wako.
Ndio maana kichefchef hakikuishi wewe mwezi wa 10 huu.

Vumilia tu Soon utazaaa mapacha.
 
kwa lusungo?, labda kama ulianza kununua ukiwa tumboni!

We Shangazi huna habari Huyo bi lusungo mamake kamzaa sisi ndio tumemtoa pale Mirembe tukampeleka Hospitali mwaka 1990?
Toto la juzi tu hili. Usiogope kuona hayo makalio yake makubwa. Huo ni utapiamlo umekosea Njia ukahamia huko Nyuma.

Km amekudanganya ye mkubwa mtazame huko chini. Makalio yake bado yana Vinyweleo vya utotoni.

Teh teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
Wewe ajuza angalia hata points unazojenga halafu unajinasibu kwamba wewe ni msomi? Daaah, no wonder we have this kind of nation!! Nimekuambia if u need, nikufuate popote ulipo (kama upo Tanzania) ujue natembelea usafiri gani taahira wewe!

Mwenye kazi ya maana hawezi kutoa kauli ya kusema kwamba atamfuata mtu mahala popote TANZANIA.
We unaonekana ni wale wazembe na wazururaji.
Bambafff.
Ngoja tukutie mkononi tukakutupe keko km yule Mzembe mwenzako lusungo.
Kazi kuomba watu tu hela ya kula.
 
Last edited by a moderator:
We Shangazi huna habari Huyo bi lusungo mamake kamzaa sisi ndio tumemtoa pale Mirembe tukampeleka Hospitali mwaka 1990?
Toto la juzi tu hili. Usiogope kuona hayo makalio yake makubwa. Huo ni utapiamlo umekosea Njia ukahamia huko Nyuma.

Km amekudanganya ye mkubwa mtazame huko chini. Makalio yake bado yana Vinyweleo vya utotoni.

Teh teh teh teh
Leo nimecheka sana Ahahahaha.
 
Last edited by a moderator:
Nissan patrol, Manual Gear, Diesel, TD - F intercooler, engine RD 28 Model. Year 1999

Leather seats, very good condition.

Bei 23M Only.

Very Good Condition. Haijatumika Tanzania.

Call Mzee Abdul 0756803528.

Must Go. Bei Poa Kabisa.

View attachment 269660View attachment 269661View attachment 269662View attachment 269663View attachment 269664View attachment 269707View attachment 269708View attachment 269709View attachment 269710

Niuzie hiyo gari itanifaa sana huku mikoani
 
Mnfssssss Hela ya ugoro inakushinda utanunua gari weye??

Acha kujitutumua fukara tu wewe....

Halafu ktk vitu vyooote vya maana we umeona UGORO TU!
Teh teh teh teh.
Mitoto iliozaliwa na kukulia kwenye nyumba za miti balaa sana.
We huku mjini wenzako ugoro tunauona kwa wamasai tu. Hapo nyumbani kwenu inaoneka Ndo dili kweli kutembea na kapochi kalikojaa ugoro.

Nyie ndio mnaotuchafulia mabasi yetu. Ukute meno meusiii ka umekula Mjusikafiri mbichi.

Teh teh teh teh.

Cc Ritz
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom