Nissan Xtrail: mafuta, spea?

Nissan Xtrail: mafuta, spea?

Acha uongo..
Ninamiliki hii nisswn mwaka wa nne huu...plug nne original kwa hapa arusha ni 140000...hii gari nimewahi kubadili plug mara moja tu kwa hiyo nlmiaka minne...angelikuwa ni mtu wa toyota anafunga plug za buku tano tano angeshabadili mara ngapi???

Oil ya gia boksi ya note ni NS 2 cvt kwa arusha ni 140000 na ukiweka ni mkataba wa kuanzia KM 10000.
Kumbukq hizi ni bei za arusha..ina maanq Dar bei itakuwa chininzaidi na spea zote hizi ni original.

Coil ya Nissan note ni ghali kwa sababu cylinder ina coil yake na nilichogundua watu wenye magari yenye coil kama hizi hatuchekani bei...iwe toyota suzuki ..nissan au kampuni zinginezo...

Hatabspea original zq toyota ni ghala kama hizo za nissan..
ndiyo maana watu wenye nissan ukifunga spea fundi analia coz anajua kurudi kwake si chini ya miaka miwili..
narudia Nissan hii nina miaka nayo minne plug nimebadili mara moja tu...
Muulize mtu wa corolla kama kwenye buti la gari hana kibegi kilichojaa maplug
Mwanaume huwa hamwiti mwanaume mwenzie mwongo. Hizo lugha ni za kina Dada. Usilazimishe ya Arusha yawe ya huku Kigoma.

Narudia tena upo Arusha. Arusha ni karibu na Nairobi. Nairobi plug nne za Nissan Note ni 140,000 tena Iridium.

Nipe jina la duka wanalouza hizo plug kwa bei hiyo Dar. Nipe duka tofauti na Kisanga pale Dar ambalo wanauza CVT fluid NS2 kwa hiyo bei.
 
Plug tu za Nissan Note ni pasua kichwa. Plug tu. Utapigwa mpaka 180,000 kwa plug nne.

Ukitaka kumwaga oil ya gear box oil lazima uwe na 190,000 au zaidi. Hizi sio hela ndogo.

Coil moja ya plug sio chini ya elfu 70.
Sasa mzee unalalamika mno, mimi nikiweka oil ya Nissan kwa gear box (Martic J) tsh 200,000, natembea zaidi ya km elfu ishirini, huoni raha!?
 
Sasa mzee unalalamika mno, mimi nikiweka oil ya Nissan kwa gear box (Martic J) tsh 200,000, natembea zaidi ya km elfu ishirini, huoni raha!?
Sijalalamika Mzee. Ni vizuri tuyaseme yaliyopo ili anayetaka kununua gari za Nissan aelewe kinachoendelea.
 
Sasa mzee unalalamika mno, mimi nikiweka oil ya Nissan kwa gear box (Martic J) tsh 200,000, natembea zaidi ya km elfu ishirini, huoni raha!?
Asante..
Kumiliki gari ni gharama...mtu ukiamua kumiliki gari la kampuni fulani uwe tayari kuendana na bei za spea zake...wabongo waoga sqna kununua spea original ndiyo maana wanakuwa conservative na matoyota
 
Boeing 747 ni bora ungaekaa kimya. Ukiwa na Nissan Arusha ukalalamika spea utakuwa mvivu wa kufikiri. Nissan Note zipo tele Nairobi na ndiyo maana hupati shida. No sawa sawa na familia kudai haina watoto wakati wewe unao. Usivimbirwe Mkuu.

Mkoani ni neno pana na kama wewe unajiona haupo mkoani tulia na Nissan Note.

Mkoani kwangu ni Kigoma, Tabora, Mtwara, Singida na kadhalika. Hebu tuelekeze maduka katika hayo maeneo.
Boss ukipima upatikanaji wa spare kwa mtindo huo basi gari kwako ni anasa sana! Kwa maana hiyo unataka kusema watu wa "mikoani" wasinunue V8, TX, AMAROK, BMW ETC! tuwe tunatumia Passo, Gx100, Vitara etc!
 
Sasa mzee unalalamika mno, mimi nikiweka oil ya Nissan kwa gear box (Martic J) tsh 200,000, natembea zaidi ya km elfu ishirini, huoni raha!?
Umemjibu vizuri sana..

Kuna mdau hapo juu ametushangaa watanzania tunaweza kununua gari ya Million 15 ila tunalalamikia service ya laki 5 tena ambayo unaweza kuifanya kwa miaka mitatu mara moja tu..

Ni aibu sana..
 
Mwanaume huwa hamwiti mwanaume mwenzie mwongo. Hizo lugha ni za kina Dada. Usilazimishe ya Arusha yawe ya huku Kigoma.

Narudia tena upo Arusha. Arusha ni karibu na Nairobi. Nairobi plug nne za Nissan Note ni 140,000 tena Iridium.

Nipe jina la duka wanalouza hizo plug kwa bei hiyo Dar. Nipe duka tofauti na Kisanga pale Dar ambalo wanauza CVT fluid NS2 kwa hiyo bei.
Sasa kumbe boss umeshataja iridium plugs ulitegemea za nissqn ziuzwe 5000/- kweli?

Anyway point yangu nilitaka kutokukubalianq na wewe kuwa nissan spea zake ni ghali...ni kweli ila ukifunga unasahau..

nimekupa mfano wa plugs kwa miaka minne nimebadili mara moja tu..

Jambo lingine nilitaka kusema siku hizi utandawazi umeenea...watu wanaagiza spea...kinachotakiwa ni uvumilivu...

Mwisho...
kama mtu ameamua kumiliki Nissan ajue kuwa hazitaki longolongo na hawa mafundi gonga nyundo...nissan haitaki mtu mbahili...nissan haitaki spea za mafungu..nissan inataka service kwa wakati na service yenyewe si oil za kupima kama mbege..

ukizingatia hayo hutojuta kumiliki nissan yoyote ile
 
Mkuu hivi kwanini mnanunua hiyo MATIC J kwa bei kubwa hivyo??
Bei halali ni 120,000
Mkuu hata BP kuna wanaouza 70 na kuna wanaouza 50!
BTW ningependa kujua hiyo MATIC J unaipata kwenye ujazo gani mkuu! Pengine nitahitaji!
 
Boeing 747 ni bora ungaekaa kimya. Ukiwa na Nissan Arusha ukalalamika spea utakuwa mvivu wa kufikiri. Nissan Note zipo tele Nairobi na ndiyo maana hupati shida. No sawa sawa na familia kudai haina watoto wakati wewe unao. Usivimbirwe Mkuu.

Mkoani ni neno pana na kama wewe unajiona haupo mkoani tulia na Nissan Note.

Mkoani kwangu ni Kigoma, Tabora, Mtwara, Singida na kadhalika. Hebu tuelekeze maduka katika hayo maeneo.
Daah...boss pole kama nimekukwaza..

Sasa turudi...sisi wwtanzania kwanza ni wavivubwa kufikiri....sawa mtu yupo singida ameagiza gari Japani limefika bandarini kaenda kulichukua...mtu huyo huyo anashindwa kuagiza spea kutoka Dar au miji mingine ya jirani kisha anabaki akilaumu kwamba baadhi yw magari hayana spea au spea ni ghali..

Sasa kama nissan watu wanalalamika..unataka kuniambia huko panapiitwa mikoani hakuna watu wanaomiliki benzi, audi au VW na BMW
 
xtrail.jpg
Nimenunua hii gari toka mwaka 2000 na sijajuta. Limekula kilometa za kutosha lkn bado linadai. Kutoka Dar kwenda Dodoma natumia lita 35 mpaka 40 kama spidi itakuwa wastani, yaani isizidi 120 km/h
Mkuu hebu nijuze maana nami najichanga niagizie hii gari maana haka kacorolla kangu sasa hakiendani tena na mahitaji yangu! Je nissan xtrail ni 4WD part time au full time? halafu hizo button hapo kwenye picha (ni xtrail hiyo) yaani 2WD, AUTO na LOCK zina kazi gani hasa na zinatumika wakati gani

Kingine vipi kuhusu kupita kwenye barabara zenye utelezi mkali na matope mazito Xtrail iko vizuri?
xtrail.jpg
 
15 m bei kubwa sana hyo kwa kuagiza! Njoo na 12m nakuagizia kutoka japan kila kitu ushuru na kodi plus tpa vimejumuishwa na gari inakuwa katika hali nzuri,karibu pm
Imetembea km ngapi? Hilo ndio lamuhimu kaka..
 
View attachment 766193
Mkuu hebu nijuze maana nami najichanga niagizie hii gari maana haka kacorolla kangu sasa hakiendani tena na mahitaji yangu! Je nissan xtrail ni 4WD part time au full time? halafu hizo button hapo kwenye picha (ni xtrail hiyo) yaani 2WD, AUTO na LOCK zina kazi gani hasa na zinatumika wakati gani

Kingine vipi kuhusu kupita kwenye barabara zenye utelezi mkali na matope mazito Xtrail iko vizuri?
View attachment 766193
2WD gari inakuwa moved na tairi za mbele tu!
AUTO gari inakuwa moved either na tairi za mbele au mbele na za nyuma kwa pamoja kutegemea na mazingira ya njia na speed!
LOCK gari inakuwa commanded kusukumwa na tairi zote muda wote!
 
Boeing 747 ni bora ungaekaa kimya. Ukiwa na Nissan Arusha ukalalamika spea utakuwa mvivu wa kufikiri. Nissan Note zipo tele Nairobi na ndiyo maana hupati shida. No sawa sawa na familia kudai haina watoto wakati wewe unao. Usivimbirwe Mkuu.

Mkoani ni neno pana na kama wewe unajiona haupo mkoani tulia na Nissan Note.

Mkoani kwangu ni Kigoma, Tabora, Mtwara, Singida na kadhalika. Hebu tuelekeze maduka katika hayo maeneo.
Hivi Mtwara kunakuwaje Mkoani kwa mfano? Sehemu yenye usafiri kila baada ya saa 1 kuna basi linatoka yaani saa 12,saa 1,2 3.... hadi saa 8! Unaagiza spea unapakiliwa, siku hiyo hiyo unaipata. Huko ni kupotosha.
Tukija kwenye mada kuu,Nissan spea zipo,bei imeshiba kidogo ila nyingi ni original. Kipekee baada ya kuchoka Toyota,sasa nafikiria magari matatu,ila sijaamua kati ya Forester Subaru(2005-2007), Ford Escape/Mazda Tribute(2005-2007) au Xtrail
 
Back
Top Bottom