Nissan Y60

Nissan Y60

MUBENDE

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2022
Posts
1,111
Reaction score
1,879
20240325_183650.jpg
Moja ya gari nayoiamini ktk utendaji wangu wa kila siku Nissan Y60
 
Kwanini ulitoa RD28 wakati ina ulaji mzuri wa mafuta na nguvu.

TD42 kwa body hiyo,hapo gari si imekuwa na nguvu sana
Nikweli unachokisema lakini nipo linunuwa ilikuwa imeshachokonolewa sana na turbo ikawa inasumbua kila siku nikapambana nayo nikachoka siku natoka Dodoma ikagonga Engine nikachukia nikaivua kabisa.
 
Nikweli unachokisema lakini nipo linunuwa ilikuwa imeshachokonolewa sana na turbo ikawa inasumbua kila siku nikapambana nayo nikachoka siku natoka Dodoma ikagonga Engine nikachukia nikaivua kabisa.
Ungepata Spare Genuine na Fundi mzuri ungekuwa unaifaidi RD28. Hiyo Td42 nguvu ipo ila mafuta ndio ugomvi
 
Kwa nini nissan civilian zikiwa na hii injini huwa zinachemsha zikipiga route ndefu tofauti na mshindani wake coaster 1hz?
Service mbovu, Nissan anapiga route ndefu bila shida. Saizi Nissan Civilian W41 zinakuja na engine aina 3, Zd30 kwa short base body, Td42 na 4M51 kwa long base body.

4M51 ya mitsubishi saizi inafungwa kwenye Nissan Civilian W41 kutoka kiwandani moja kwa moja.Hii inapambana kwa nguvu na mwendo na engine ya 1hd -fte
 
Back
Top Bottom