Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada zenu nu "Power monger"😂 unaanza utani
WanaharakatiDada zenu nu "Power monger"
Utakufa ww fala chagua chagua mwisho wake utaangukia kwa bar maidKwa kuanza Kabila langu Mnyakyusa!!
Elimu Masters of science in Finance
Shughuli mwajiriwa wa Kampuni binafsi ya Kimataifa (Ulaya Magharibi)
Umri 33 sina mtoto
Umbo : Mrefu Mweusi si mwembamba sana wastani meter 1.65
Uzito Kg 73.
Kipato Monthly income 2300-3000$
natafta Mke wa Kuoa ambaye atakuwa na sifa zifuatazo
1. Mwonekano uwe namna hii Kama sivyo usiendelee
2. Mkristo
3. Umri 23-30 basi
4. Uwe tiyari kusafiri
5. Usiwe na mtoto hata ukificha ntagundua
6. Elimu Usiwe chini ya Form four
7. Usiwe mfupi
8. Kabila lolote lile ila ningependa makabila yafuatayo Nina sababu zangu
A. Mnyakyusa : mtu wa nyumbani
B. Mchanganyiko wa muhaya na wanyarwanda kidogo au Muhaya wa karagwe
C. Msukuma
9.Uwe una shughuli yeyote ya kukuingizia kipato
10.uwe tayari kwa ndoa!!
nitajibiwa ooo Umba wako !! Mimi lazima niseme Chenye roho inapenda sitaki kumcheat Mke wangu!!! Mke ni pambo lazima tuoe wazuri
ntaambiwa hujawa tiyari kuoa niko tiyari tena ndoa nataka iwe February ndo ntakuwa Tanzania
DM Kwa mazungumzo zaidi
View attachment 1937485
View attachment 1937486
View attachment 1937487
Ila Wezere Ni balaa na kazi kitandani wanajijua. Niliwahi kula Kama watatu aisee usiposhiba unaweza kuzima.Wanaharakati
Mzilankende ndo wa wapiTafuta Mzilankende Utanishukuru Kwa Ushauri
😀 😀 😀 kishaumba tayari, we hujaona hapo juuUmba wako
😀 😀 😀 kishaumba tayari, we hujaona hapo juu
☝️☝️☝️
Karagwe Huko Mpakani Na RwandaMzilankende ndo wa wapi
Hao hao hao ndo nataka nasikia wanyakyusa wenzangu ni sura za Baba zetuKaragwe Huko Mpakani Na Rwanda
KhaaahChukua waifu matirio huyo.
View attachment 1937538
Haa Haa HaaHao hao hao ndo nataka nasikia wanyakyusa wenzangu ni sura za Baba zetu
Kwakuwa kaona Migomba kwa pembeni ndo kaleta hii kuwa ni wife materialKhaaah
Eeh wapo wazur ila ndo kisima cha woteKwani bar maid si wazuri lakin
NtashukuruHaa Haa Haa
Tanzania Ni Tajiri
Ukiweza Njoo Nzega Hapa Kuna Waburushi Wengi Wanaongea Kisukuma Safi Labda Changamoto Ni Dini HHawa Wengi Ni Dini Ya Mudi
Akishaingia Mikononi mwangu ndo basi tenaEeh wapo wazur ila ndo kisima cha wote
Weka akiba ya maneno mtaalam.Akishaingia Mikononi mwangu ndo basi tena