Nitaendelea Kusaka Mke hata Kama ntaambiwa umba wa kwako Vigezo ni hivi

Nitaendelea Kusaka Mke hata Kama ntaambiwa umba wa kwako Vigezo ni hivi

.
 

Attachments

  • 2021_09_11_20.13.04.jpg
    2021_09_11_20.13.04.jpg
    14.9 KB · Views: 4
Oa kitu moyo unapenda hao wanaosema eti umba wako wasikutishie.

Vigezo kama vitatu sina ila ningekuwa navyo kwa mara ya kwanza ningemfata mwanaume wa jf pm😂

All the best utapata.
 
Oa kitu moyo unapenda hao wanaosema eti umba wako wasikutishie.

Vigezo kama vitatu sina ila ningekuwa navyo kwa mara ya kwanza ningemfata mwanaume wa jf pm😂

All the best utapata.
Wewe sasa njoo kwangu! Maana sisi wazee hatunaga vigezo! Yaani hata kama una watoto 7, na kila mtoto na baba yake!! Sisi tunaoa tu.
 
Wewe sasa njoo kwangu! Maana sisi wazee hatunaga vigezo! Yaani hata kama una watoto 7, na kila mtoto na baba yake!! Sisi tunaoa tu.
Weee mimi vigezo ninavyo mkuu hata kama mzee ila bado ninalipa, mimi sina mtoto nitakosaje vigezo ahaaaa. Kama unataka mbona hujaweka bango?

Mimi sijawahi mfata mtu pm nasubiria id kongwe ziweke hapa bango nichangamkie fursa😂
 
Weee mimi vigezo ninavyo mkuu hata kama mzee ila bado ninalipa, mimi sina mtoto nitakosaje vigezo ahaaaa. Kama unataka mbona hujaweka bango?

Mimi sijawahi mfata mtu pm nasubiria id kongwe ziweke hapa bango nichangamkie fursa😂
Nitakufuata pm wakati wowote ule kuanzia sasa! Na ujitahidi kuonesha ushirikiano kwa my husband wako mtarajiwa. Nipo kwenye uhitaji mkubwa wa mke mwema na ambaye ana vigezo vya kuitwa Pisi kali!
 
Maskini mimi nimechelewa wapi sijui fursa imenipita 🙂 vigezo vyoteeee ✅
 
Back
Top Bottom