Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chukua MuhaNtashukuru
Umenena mtaalam.kuna jamaa flani alimpenda mkewe akiwa mwembamba ,mkewe akanenepa akiwa kwenye ndoa.jamaa kaanza kuchepuka kutafuta wembamba Sasa ndoa yamtesa.Ndio maana ndoa nyingi zinavunjika.. Maana baada ya miaka mitano hatakuwa hivyo
Kunguru hafugikiAkishaingia Mikononi mwangu ndo basi tena
Mke kutoka Ulaya akha si watamu nikwambie ukweli sipati feelings nazotamani kutoka kitu blackMkuu kwa nini umefikia maamuzi ya kuoa nyumbani? kuna sababu zipi zimekufanya usitafute mwanamke wa huko ulaya?
Sasa mkuu na sifa zote ulizo nazo umeshindwa ata kumshawishi mmoja hapo pichani umuoe?Kwa kuanza Kabila langu Mnyakyusa!
Elimu Masters of science in Finance
Shughuli mwajiriwa wa Kampuni binafsi ya Kimataifa (Ulaya Magharibi)
Umri 33 sina mtoto
Umbo : Mrefu Mweusi si mwembamba sana wastani meter 1.65
Uzito Kg 73.
Kipato Monthly income 2300-3000$
natafta Mke wa Kuoa ambaye atakuwa na sifa zifuatazo
1. Mwonekano uwe namna hii Kama sivyo usiendelee
2. Mkristo
3. Umri 23-30 basi
4. Uwe tiyari kusafiri
5. Usiwe na mtoto hata ukificha ntagundua
6. Elimu Usiwe chini ya Form four
7. Usiwe mfupi
8. Kabila lolote lile ila ningependa makabila yafuatayo Nina sababu zangu
A. Mnyakyusa : mtu wa nyumbani
B. Mchanganyiko wa muhaya na wanyarwanda kidogo au Muhaya wa karagwe
C. Msukuma
9.Uwe una shughuli yeyote ya kukuingizia kipato
10.uwe tayari kwa ndoa!!
nitajibiwa ooo Umba wako !! Mimi lazima niseme Chenye roho inapenda sitaki kumcheat Mke wangu!!! Mke ni pambo lazima tuoe wazuri
ntaambiwa hujawa tiyari kuoa niko tiyari tena ndoa nataka iwe February ndo ntakuwa Tanzania
DM Kwa mazungumzo zaidi
View attachment 1937485
View attachment 1937486
View attachment 1937487
Kwani nimekwambia nimeshindwa kushawishi wa picha? Hao ni wa picha tu hata sijui wako wapiSasa mkuu na sifa zote ulizo nazo umeshindwa ata kumshawishi mmoja hapo pichani umuoe?
Huko uliko hakuna wanawake weusi warembo? samahani lakini kwa maswali.Mke kutoka Ulaya akha si watamu nikwambie ukweli sipati feelings nazotamani kutoka kitu black
Mmmm ngumu kabda upate wanaojiuza maana wengi wana watu waoHuko uliko hakuna wanawake weusi warembo? samahani lakini kwa maswali.
Nipitishie na mimi mmoja mkuuNjoo pm nina pisi za kinyambo mixer wanyarwanda si mbaya nikakupa moja ambayo sijaipitia
Wewe hujui gharama ya kukaa na mhaya mwenye asiri ya ki-nyarwanda ya (kua the host) hilo wenge na vi $ uta vi enjoye, na wanyekusa walio kusomesha hawata enjoye jasho lao lakukusomesha kwa sababu ya rural-urban axcitement yakoKwa kuanza Kabila langu Mnyakyusa!
Elimu Masters of science in Finance
Shughuli mwajiriwa wa Kampuni binafsi ya Kimataifa (Ulaya Magharibi)
Umri 33 sina mtoto
Umbo : Mrefu Mweusi si mwembamba sana wastani meter 1.65
Uzito Kg 73.
Kipato Monthly income 2300-3000$
natafta Mke wa Kuoa ambaye atakuwa na sifa zifuatazo
1. Mwonekano uwe namna hii Kama sivyo usiendelee
2. Mkristo
3. Umri 23-30 basi
4. Uwe tiyari kusafiri
5. Usiwe na mtoto hata ukificha ntagundua
6. Elimu Usiwe chini ya Form four
7. Usiwe mfupi
8. Kabila lolote lile ila ningependa makabila yafuatayo Nina sababu zangu
A. Mnyakyusa : mtu wa nyumbani
B. Mchanganyiko wa muhaya na wanyarwanda kidogo au Muhaya wa karagwe
C. Msukuma
9.Uwe una shughuli yeyote ya kukuingizia kipato
10.uwe tayari kwa ndoa!!
nitajibiwa ooo Umba wako !! Mimi lazima niseme Chenye roho inapenda sitaki kumcheat Mke wangu!!! Mke ni pambo lazima tuoe wazuri
ntaambiwa hujawa tiyari kuoa niko tiyari tena ndoa nataka iwe February ndo ntakuwa Tanzania
DM Kwa mazungumzo zaidi
View attachment 1937485
View attachment 1937486
View attachment 1937487
🤣🤣🤣Huyu anakuletea x wake aliyetaka kumuuaNina namba kibao za connectio za hao madada wa karagwe sema nikupe connection
😂🤣🤣🤣Huyu anakuletea x wake aliyetaka kumuua
Teh!!Eng’waaash