Nitaendelea Kusaka Mke hata Kama ntaambiwa umba wa kwako Vigezo ni hivi

.
 

Attachments

  • 2021_09_11_20.13.04.jpg
    14.9 KB · Views: 4
Oa kitu moyo unapenda hao wanaosema eti umba wako wasikutishie.

Vigezo kama vitatu sina ila ningekuwa navyo kwa mara ya kwanza ningemfata mwanaume wa jf pmπŸ˜‚

All the best utapata.
 
Oa kitu moyo unapenda hao wanaosema eti umba wako wasikutishie.

Vigezo kama vitatu sina ila ningekuwa navyo kwa mara ya kwanza ningemfata mwanaume wa jf pmπŸ˜‚

All the best utapata.
Wewe sasa njoo kwangu! Maana sisi wazee hatunaga vigezo! Yaani hata kama una watoto 7, na kila mtoto na baba yake!! Sisi tunaoa tu.
 
Wewe sasa njoo kwangu! Maana sisi wazee hatunaga vigezo! Yaani hata kama una watoto 7, na kila mtoto na baba yake!! Sisi tunaoa tu.
Weee mimi vigezo ninavyo mkuu hata kama mzee ila bado ninalipa, mimi sina mtoto nitakosaje vigezo ahaaaa. Kama unataka mbona hujaweka bango?

Mimi sijawahi mfata mtu pm nasubiria id kongwe ziweke hapa bango nichangamkie fursaπŸ˜‚
 
Weee mimi vigezo ninavyo mkuu hata kama mzee ila bado ninalipa, mimi sina mtoto nitakosaje vigezo ahaaaa. Kama unataka mbona hujaweka bango?

Mimi sijawahi mfata mtu pm nasubiria id kongwe ziweke hapa bango nichangamkie fursaπŸ˜‚
Nitakufuata pm wakati wowote ule kuanzia sasa! Na ujitahidi kuonesha ushirikiano kwa my husband wako mtarajiwa. Nipo kwenye uhitaji mkubwa wa mke mwema na ambaye ana vigezo vya kuitwa Pisi kali!
 
Maskini mimi nimechelewa wapi sijui fursa imenipita πŸ™‚ vigezo vyoteeee βœ…
 
Mchagua mbususu simchakataji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…