πππSasa si umuoe huyo uliyeweka picha yake?
Kila la heri mkuu ila wanawake wa JF wote sura mgumu jaribu Instagram maana
Wewe sasa njoo kwangu! Maana sisi wazee hatunaga vigezo! Yaani hata kama una watoto 7, na kila mtoto na baba yake!! Sisi tunaoa tu.Oa kitu moyo unapenda hao wanaosema eti umba wako wasikutishie.
Vigezo kama vitatu sina ila ningekuwa navyo kwa mara ya kwanza ningemfata mwanaume wa jf pmπ
All the best utapata.
Weee mimi vigezo ninavyo mkuu hata kama mzee ila bado ninalipa, mimi sina mtoto nitakosaje vigezo ahaaaa. Kama unataka mbona hujaweka bango?Wewe sasa njoo kwangu! Maana sisi wazee hatunaga vigezo! Yaani hata kama una watoto 7, na kila mtoto na baba yake!! Sisi tunaoa tu.
Nitakufuata pm wakati wowote ule kuanzia sasa! Na ujitahidi kuonesha ushirikiano kwa my husband wako mtarajiwa. Nipo kwenye uhitaji mkubwa wa mke mwema na ambaye ana vigezo vya kuitwa Pisi kali!Weee mimi vigezo ninavyo mkuu hata kama mzee ila bado ninalipa, mimi sina mtoto nitakosaje vigezo ahaaaa. Kama unataka mbona hujaweka bango?
Mimi sijawahi mfata mtu pm nasubiria id kongwe ziweke hapa bango nichangamkie fursaπ