Tozo ya September, October, November na December ni kiasi gani na zimefanya nini?We bogus kweli, kwani wanaogiza magari kwa USD na kuuza kwa Tanzania shillings huwa wanafanyaje? Aisee mataahira mtaisha lini?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tozo ya September, October, November na December ni kiasi gani na zimefanya nini?We bogus kweli, kwani wanaogiza magari kwa USD na kuuza kwa Tanzania shillings huwa wanafanyaje? Aisee mataahira mtaisha lini?!
Hawataki kusema, halafu wamekopa Trillion 8 kwa ajili ya madarasa na madawati, ambazo ndio hizo hizo walisema ndio tunakatwa tozo, mambo ya hovyo, vurugu vurugu tu, miradi imesimama kwa kukosa pesa, tozo tunakatwa, mikopo wanakopa bila ruhusa ya bunge, hili litaondoka na mtu kwa kweliTozo ya September, October, November na December ni kiasi gani na zimefanya nini?
Hahaha mzee ukisema ufatilie mambo nchi hiiHawataki kusema, halafu wamekopa Trillion 8 kwa ajili ya madarasa na madawati, ambazo ndio hizo hizo walisema ndio tunakatwa tozo, mambo ya hovyo, vurugu vurugu tu, miradi imesimama kwa kukosa pesa, tozo tunakatwa, mikopo wanakopa bila ruhusa ya bunge, hili litaondoka na mtu kwa kweli
Sawa mkuuDah.. Aisee..
Hakuna mpuuzi kama wewe..
Sawa lakini sina hakika kama unajua kuwa nchi ikiwa haina foreign reserve wewe mtu wa kawaida hata ukitaka kununua gari nje huwezi kufanya hivyo. Unajua hilo? Kumbuka yule mtu wa nje anapewa USD sio TZS ingawa wewe unaona umelipa TZS. Kama uelewa wako ni mdogo au huna ABC ya uchumi na finance kwenye hili suala hutaelewa kwakuwa niliyoyasema ni makubwa kuliko maarifa uliyonayoWe bogus kweli, kwani wanaogiza magari kwa USD na kuuza kwa Tanzania shillings huwa wanafanyaje? Aisee mataahira mtaisha lini?!
Ndugai akiongea wanaibuka makundi kwa makundi kumjibu ila ukiuliza tozo ilipoenda no majibuHawataki kusema, halafu wamekopa Trillion 8 kwa ajili ya madarasa na madawati, ambazo ndio hizo hizo walisema ndio tunakatwa tozo, mambo ya hovyo, vurugu vurugu tu, miradi imesimama kwa kukosa pesa, tozo tunakatwa, mikopo wanakopa bila ruhusa ya bunge, hili litaondoka na mtu kwa kweli
Kiazi tu wewe, nimekuuliza, wanao nunua magari nje kwa USD na kuuza nchini kwa Tshs. huwa wanafanyaje?Sawa lakini sina hakika kama unajua kuwa nchi ikiwa haina foreign reserve wewe mtu wa kawaida hata ukitaka kununua gari nje huwezi kufanya hivyo. Unajua hilo? Kumbuka yule mtu wa nje anapewa USD sio TZS ingawa wewe unaona umelipa TZS. Kama uelewa wako ni mdogo au huna ABC ya uchumi na finance kwenye hili suala hutaelewa kwakuwa niliyoyasema ni makubwa kuliko maarifa uliyonayo
Ni bora ukakaa kimya mkuu. Wanaoelewa concept za balance of payments wanakuona mjinga. Huwa sibishani na watu wasio jua halafu wanajifanya wanajua.Kiazi tu wewe, nimekuuliza, wanao nunua magari nje kwa USD na kuuza nchini kwa Tshs. huwa wanafanyaje?
Sio concept, nakuuliza tu, hao wanaonunua kwa USD nje na kuuza kwa Tshs. nchini wanafanyaje, utaahira tu unaleta hapaNi bora ukakaa kimya mkuu. Wanaoelewa concept za balance of payments wanakuona mjinga. Huwa sibishani na watu wasio jua halafu wanajifanya wanajua.