Nitafurahi Kilimanjaro Stars wakipandishwa kwenye lori kurudi nyumbani baada ya mechi ya mwisho, wametuaibisha mno!

Kila kocha ana mbinu zake.w huwezi kumlaumu kocha wakati machezaji yetu yalishaletewa hadi akina maximo wakafeli...ttzo wachezaji wetu hawana uzalendo..
 
Huyo bwege hana cha kujitetea nikimkamata nakula ndogo,akitaka amani basi anipe cv yake hata kidogo tu,halafu mkuu unazidi kuamsha hasira zetu ujue.
Kweli ni kutuzidishia hasira tupu.
 
Zanzibar laiti kungekuwa na udhamin kama wa TFA au hata pengine wangekuwa wanapata lile fungu LA Fifa bas wangekuwa mbali mno
 
Naona umeshindwa kuficha "uTaifa" wako, badala ya kukubali ulichemka unafuatilia "typo"

Kila la Kheri
Nimekubali kwa marekebisho yake na nikashukuru na nikamrekebisha na yeye kuna sehemu slikosea ku type, kuna ubaya gni hapo sasa? Au unatafuta kick ya kubishana?
 
...leo ndo nadhani watarudi hebu tuone watarudije hawa watu, na nani atawapokea..
 
Wapandishwe lori? kwa mazuri gani waliofanyia nchi hii? hapo kenya tu? Watroti tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…