Nitafurahi kuona/kusikia serikali imeweka muundo wa kiutumishi kwenye master degree

Nitafurahi kuona/kusikia serikali imeweka muundo wa kiutumishi kwenye master degree

Leo Tar. 15/06/2023, Dr. Mwigulu (WFM)anasoma Bajeti ya Serikali 2023/2024, Nimatumaini yangu bajeti yetu itajibu kilio Cha miaka mingi Cha watumishi kuomba kuwekewa muundo wa kiutumishi kwenye Elimu ya masters. Isipotokea Inshallah siku nyingine.

KAZI IENDELEE
Mjinga mwingine kazini.
 
Duuuuuu!!!!! We jamaaa ni muongo hatari sijui hayo umeyapata wapi,hakuna muundo wa masters.Sisi tupo kwenye field muda mrefu tunayafaham.Ukiwa na shahada ya ualimu unachoenda nacho ni hiyo promotion ya madaraja basi mpaka I .Hata ukiwa na shahada ya pili bado hali ni hiyo.
Kilimbatz
 
Pomole we!
Watu wanawaza kukuza maarifa ww unawaza miundo tu mtu mweusi ni mweusi hadi kwenye ubongo,unasoma masters kwa ajili ya mshahara ndio maana unashinda kwenye Tv kumsikiliza Mwigulu jiongeze mjomba you are so outdated.
 
Watu wanawaza kukuza maarifa ww unawaza miundo tu mtu mweusi ni mweusi hadi kwenye ubongo,unasoma masters kwa ajili ya mshahara ndio maana unashinda kwenye Tv kumsikiliza Mwigulu jiongeze mjomba you are so outdated.
Hapana nasoma masters ili niwajengee ofs pale ufipa
 
Hawa hawa wanaotusainia mikataba na dpworld[emoji24][emoji24][emoji24].
Hapana mkuu ss tutaipitia katiba ya chadema tuone ukomo wa madaraka we mwenyekiti na kutoa azimio la kumuondoa madarakani
 
Mpuuzi mkubwa na masters yako, kabla ya kudai maslahi timizeni wajibu wenu kwa manufaa ya watanzania na siyo kukimbilia mishahara mikubwa
Mkuu mbona umekuwa na makasiriko ghafla kwa wasomi? waache wadai mambo yao bhana hizo shahada hazipatikani kirahisi kama unavyotaka kuaminisha watu na ukifanikiwa kuhitimu tayari unayo maarifa ya kiwango cha juu zaidi cha uelewa, namna utakavyoenda kuyatumia hayo maarifa ndo linakuwa jambo jingine.​
 
Mkuu mbona umekuwa na makasiriko ghafla kwa wasomi? waache wadai mambo yao bhana hizo shahada hazipatikani kirahisi kama unavyotaka kuaminisha watu na ukifanikiwa kuhitimu tayari unayo maarifa ya kiwango cha juu zaidi cha uelewa, namna utakavyoenda kuyatumia hayo maarifa ndo linakuwa jambo jingine.​
Hakuna anayepiga kusoma tatizo watu wanasoma ajili ya nini? 99% ni kupandishwa mishahara na siyo kuleta tija kazini, watu wakiwa ofisini kazi kubwa ni kubishana mambo ya mipira na bongo fleva sijui
 
Mkuu mbona umekuwa na makasiriko ghafla kwa wasomi? waache wadai mambo yao bhana hizo shahada hazipatikani kirahisi kama unavyotaka kuaminisha watu na ukifanikiwa kuhitimu tayari unayo maarifa ya kiwango cha juu zaidi cha uelewa, namna utakavyoenda kuyatumia hayo maarifa ndo linakuwa jambo jingine.​
Hakuna anayepiga kusoma tatizo watu wanasoma ajili ya nini? 99% ni kupandishwa mishahara na siyo kuleta tija kazini, watu wakiwa ofisini kazi kubwa ni kubishana mambo ya mipira na bongo fleva sijui
 
Umri wa kustaafu upunguzwe, iwe miaka 55 kustaafu kwa lazima na 50 iwe hiyari. hii itasaidia vijana kupata ajira.

wazee ni wengi sana kwenye ajira, wanazuia nafasi za kundi kubwa la vijana.
 
Hakuna anayepiga kusoma tatizo watu wanasoma ajili ya nini? 99% ni kupandishwa mishahara na siyo kuleta tija kazini, watu wakiwa ofisini kazi kubwa ni kubishana mambo ya mipira na bongo fleva sijui
Hao workload zao zinakuwaje mkuu, mfano daktari bingwa anayesubiriwa na msururu wa wagonjwa hapo nje anapataje muda wa kubishana mpira, au mtafiti wa mbegu bora mwenye Masters atabishana mambo ya mpira hadi saa ngapi wakati huo wakulima wanahitaji mbegu bora msimu ujao wa kilimo, siyo rahisi kufikiri utakaa kubishana mpira siku nzima kukiwa na mashinikizo ya mwajiri na jamii kukutaka uwape huduma wanayohitaji kwa wakati.​
 
Mkuu ebu jibu swali,huyo mmteule yupo sahihi!!?
Mkuuu mara zote huwa sibishani na mtu mwenye hulka ya kupenda ligi. Hapa JF hakuna tuzo wala mshahara. SIYO KILA KAZI, WORKLOAD YAKE INAHITAJI MASTERS DEGREE! Dereva, Mfagizi wa Ofisi, Mlinzi Getini, Mwalimu wa Msingi, Nursery and the like ziko classfied kwamba nature yake na ukubwa wa Majukumu yake hayaitaji Masters lkn wapo wale Vichwa ngumu analazimisha kujisomea hukooo baadae anapeleka cheti. Sasa hicho cheti kitaishia kufungia maandazi tu maaana ukubwa wa kazi haukihitaji. Bali unahitaji mafunzo mafupi ya kuongeza Ujuzi, morali ya kazi, kutumia vitendea kazi vya kisasa nk. Over.

Lkn kwa zile kazi zilizoclassfied kuhitaji Masters wanapewa nyongeza za Pesa wakihitimu masomo. achana naye kama anaendelea kubishana.
 
Mkuuu mara zote huwa sibishani na mtu mwenye hulka ya kupenda ligi. Hapa JF hakuna tuzo wala mshahara. SIYO KILA KAZI, WORKLOAD YAKE INAHITAJI MASTERS DEGREE! Dereva, Mfagizi wa Ofisi, Mlinzi Getini, Mwalimu wa Msingi, Nursery and the like ziko classfied kwamba nature yake na ukubwa wa Majukumu yake hayaitaji Masters lkn wapo wale Vichwa ngumu analazimisha kujisomea hukooo baadae anapeleka cheti. Sasa hicho cheti kitaishia kufungia maandazi tu maaana ukubwa wa kazi haukihitaji. Bali unahitaji mafunzo mafupi ya kuongeza Ujuzi, morali ya kazi, kutumia vitendea kazi vya kisasa nk. Over.

Lkn kwa zile kazi zilizoclassfied kuhitaji Masters wanapewa nyongeza za Pesa wakihitimu masomo. achana naye kama anaendelea kubishana.
Mwenyewe tu hujielewi anza kujielewa wewe kwanza
 
Mkuuu mara zote huwa sibishani na mtu mwenye hulka ya kupenda ligi. Hapa JF hakuna tuzo wala mshahara. SIYO KILA KAZI, WORKLOAD YAKE INAHITAJI MASTERS DEGREE! Dereva, Mfagizi wa Ofisi, Mlinzi Getini, Mwalimu wa Msingi, Nursery and the like ziko classfied kwamba nature yake na ukubwa wa Majukumu yake hayaitaji Masters lkn wapo wale Vichwa ngumu analazimisha kujisomea hukooo baadae anapeleka cheti. Sasa hicho cheti kitaishia kufungia maandazi tu maaana ukubwa wa kazi haukihitaji. Bali unahitaji mafunzo mafupi ya kuongeza Ujuzi, morali ya kazi, kutumia vitendea kazi vya kisasa nk. Over.

Lkn kwa zile kazi zilizoclassfied kuhitaji Masters wanapewa nyongeza za Pesa wakihitimu masomo. achana naye kama anaendelea kubishana.
Kama kitu hukifaham na huna taarifa nacho kamili tulia kimya syo unajifanya unajua kumbe ni kilaza mmoja hatari kwahyo hao Walimu wa secondary wenye Masters wanalipwa mshahara wa masters? Naww usiwe Kama kunguru
 
Leo Tar. 15/06/2023, Dr. Mwigulu (WFM)anasoma Bajeti ya Serikali 2023/2024, Nimatumaini yangu bajeti yetu itajibu kilio Cha miaka mingi Cha watumishi kuomba kuwekewa muundo wa kiutumishi kwenye Elimu ya masters. Isipotokea Inshallah siku nyingine.

KAZI IENDELEE
Trillion 41
 
Back
Top Bottom