Nitafurahi kuona/kusikia serikali imeweka muundo wa kiutumishi kwenye master degree

Nitafurahi kuona/kusikia serikali imeweka muundo wa kiutumishi kwenye master degree

Kama kitu hukifaham na huna taarifa nacho kamili tulia kimya syo unajifanya unajua kumbe ni kilaza mmoja hatari kwahyo hao Walimu wa secondary wenye Masters wanalipwa mshahara wa masters? Naww usiwe Kama kunguru
Sawa Msomi Kipanga.
Njoo Namanyere tuvune Karanga, Mkuu achana na mambo ya kuajiriwa utaishia kufa kwa stress ukistaafu tu presha inakumaliza. Huku huitaji Degree wala Master au PhD
 
Sawa Msomi Kipanga.
Njoo Namanyere tuvune Karanga, Mkuu achana na mambo ya kuajiriwa utaishia kufa kwa stress ukistaafu tu presha inakumaliza. Huku huitaji Degree wala Master au PhD
Unakula mno karanga mkuu ndo maana una ufkri mdogo, we endelea kupanua familia kamanda
 
Mwenyewe tu hujielewi anza kujielewa wewe kwanza
Maisha yanachanganya Mkuu. Hapa tayari nishazimua kwa Kvant kupotezea ugumu wa life nitajielewa kweli? Lkn zingatia ushauri wa post yangu na.1 pamoja na kwamba sijielewi. Kazi njema mkuu acha mie niendelee kupukuchua mahindi yangu niweke stoo maaana wanunuzi toka Rwanda mmewazuia kusafirisha mazao. Hayo mambo yenu ya kusoma endeleeni nyie
 
Sawa Msomi Kipanga.
Njoo Namanyere tuvune Karanga, Mkuu achana na mambo ya kuajiriwa utaishia kufa kwa stress ukistaafu tu presha inakumaliza. Huku huitaji Degree wala Master au PhD
Ila we jamaa ni mwongo sana, naona shida itakuwa ni hayo mafuta ya karanga.
 
Maisha yanachanganya Mkuu. Hapa tayari nishazimua kwa Kvant kupotezea ugumu wa life nitajielewa kweli? Lkn zingatia ushauri wa post yangu na.1 pamoja na kwamba sijielewi. Kazi njema mkuu acha mie niendelee kupukuchua mahindi yangu niweke stoo maaana wanunuzi toka Rwanda mmewazuia kusafirisha mazao. Hayo mambo yenu ya kusoma endeleeni nyie
We endelea kulewa Ila punguza uongo basi.
 
Sawa Mkuu wewe endelea kula Chipusii Mayai kisasa na kupaka Mkongo. Lkn tambua Wazee pori tunacheza mechi za Kibabe sana na shemeji maana tunakula vya asili.
Hongera sana, Subri mwakani uende ukatuwakilishe kwenye kombe la dunia naskia mwakani linaanza
 
Ila we jamaa ni mwongo sana, naona shida itakuwa ni hayo mafuta ya karanga.
Kwenye Bandiko langu Onyesha Aya moja tu yenye Uongo nitaifuta au kurekebisha kutia Uhalisi utakaouleta wewe na niko tayari kujifunza nje ya hicho ninachokijua.
SEMA HAPA WEWE UNACHOKIJUA KUHUSU MUUNDO WA UTUMISHI SERIKALINI NA SHAHADA ZA UZAMILI.
Nasubiri nondo zako kwa heshima kubwa.
 
Kwenye Bandiko langu Onyesha Aya moja tu yenye Uongo nitaifuta au kurekebisha kutia Uhalisi utakaouleta wewe na niko tayari kujifunza nje ya hicho ninachokijua.
SEMA HAPA WEWE UNACHOKIJUA KUHUSU MUUNDO WA UTUMISHI SERIKALINI NA SHAHADA ZA UZAMILI.
Nasubiri nondo zako kwa heshima kubwa.
We endelea kula karanga mkuu
 
Kwani Masters haipo kwenye Muundo?? Rudi kasome vizuri Scheme ya Serikali. Tatizo watumishi mnaenda kusoma Masters nje ya Kozi zenu za Bachelor Degree hapo Masters yako itakua zero tu. Mfano, wewe ni Mwalimu una Degree ya BAED halafu Masters unakuta ameenda kusoma MBA, HR, Sociology hapo cheti chako hakina mantiki maana hakitaongeza tija na Ufanisi kwenye Kazi yako ya Ualimu uliyopewa.

Mind You ukija na Masters ya Math, saikoloj, masters of History, kemia, Fizia ukileta cheti unaongezewa mshahara. Shida tu Watumishi Hamsomi Miongozo, Nyaraka na Sheria za Utumishi wa Umma na hii ipo tangu mwaka 2004 sasa sijui leo 2023 unataka muuundo upi wenye masters labda ufafanue.
You know nothing.


Nyamaza.
 
Halafu nawewe unajiita GT wa JF wakati upstair ni empty set, weka hoja siyo viroja otherwise futa kauli kwamba nimetoa hoja ya Uongo. Anyway tutemane.
Naona k- vant ishakupanda tayar🤣 unakunywa k - vant na karanga ulisikia wapi ona Sasa ushaanza kuwewuka
 
Wenzio hawawazi elimu,wanawaza pesa,posho na maruprupu
Kuumbe😅😅😂😂😂😂😂😌
Mie nilifikiri wanataka waje watambuliwe kisheria na kuwa na muundo wa aina ya li thinki tanki ili waje watoe michango yao na ushauri wao uchukuliwe kwa uzito wa kisheria!....kumbe wanataka marupurupu na mazagazaga mengine, ebo!

......Bandari imegawiwa!
 
Leo Tar. 15/06/2023, Dr. Mwigulu (WFM)anasoma Bajeti ya Serikali 2023/2024, Nimatumaini yangu bajeti yetu itajibu kilio Cha miaka mingi Cha watumishi kuomba kuwekewa muundo wa kiutumishi kwenye Elimu ya masters. Isipotokea Inshallah siku nyingine.

KAZI IENDELEE
Wengi mnaolilia kutambuliwa kwa hizo masters ni wale wa mchongo. Mtu ume-graduate BSc in Engineering au BSc in Geology au hata MD halafu unakwenda kusoma MBA unataka uonekane una masters? Bull shit! Kwa nini hukusomea masters katika fani yako?
 
Kwani Masters haipo kwenye Muundo?? Rudi kasome vizuri Scheme ya Serikali. Tatizo watumishi mnaenda kusoma Masters nje ya Kozi zenu za Bachelor Degree hapo Masters yako itakua zero tu. Mfano, wewe ni Mwalimu una Degree ya BAED halafu Masters unakuta ameenda kusoma MBA, HR, Sociology hapo cheti chako hakina mantiki maana hakitaongeza tija na Ufanisi kwenye Kazi yako ya Ualimu uliyopewa.

Mind You ukija na Masters ya Math, saikoloj, masters of History, kemia, Fizia ukileta cheti unaongezewa mshahara. Shida tu Watumishi Hamsomi Miongozo, Nyaraka na Sheria za Utumishi wa Umma na hii ipo tangu mwaka 2004 sasa sijui leo 2023 unataka muuundo upi wenye masters labda ufafanue.

Ok Vema,
Mawazo yangu ni Mtu asiwe limit kusonea alichosoma Bachelor!
Tunataka Mtu multskilled!
Hivi Mfano Mtu amesoma Bachelor ya IT!Kwa aende kusoma Masters ya IT???
Kumbuka Bachelor ndio inafanya kazi kama degree ya awali!
Masters kulingana na Eneo inakuwa kwa kiwango kikubwa na Management ya Jambo fulani/Au Ubobezi!
Nadhani Ingekuwa hivi:
1.Kama mtu ameingia kazini na Bachelor,Then akaifanyia kazi hiyo bachelor for more than 5 or 10years!
Huyu anaweza soma Masters yeyote ya Uongozi Management.
Eti Mfano umesoma Bachelor ya Electrical Engineering,Unataka kujiendeleza halafu Usome master ya Electrical,Hakuna kipya za ziada,Tena mfano umefanya Electrical For 10yrs,
Hutakiwa kusoma tena Electrical sababu wewe tayari ni Mbobezi,Tunataka usome Management.
Haya ni Mawazo yangu.
 
Ok Vema,
Mawazo yangu ni Mtu asiwe limit kusonea alichosoma Bachelor!
Tunataka Mtu multskilled!
Hivi Mfano Mtu amesoma Bachelor ya IT!Kwa aende kusoma Masters ya IT???
Kumbuka Bachelor ndio inafanya kazi kama degree ya awali!
Masters kulingana na Eneo inakuwa kwa kiwango kikubwa na Management ya Jambo fulani/Au Ubobezi!
Nadhani Ingekuwa hivi:
1.Kama mtu ameingia kazini na Bachelor,Then akaifanyia kazi hiyo bachelor for more than 5 or 10years!
Huyu anaweza soma Masters yeyote ya Uongozi Management.
Eti Mfano umesoma Bachelor ya Electrical Engineering,Unataka kujiendeleza halafu Usome master ya Electrical,Hakuna kipya za ziada,Tena mfano umefanya Electrical For 10yrs,
Hutakiwa kusoma tena Electrical sababu wewe tayari ni Mbobezi,Tunataka usome Management.
Haya ni Mawazo yangu.
Vijana wengi akimaliza hiyo Bachelor anaunganisha masters ya kitu tofauti na Bachelor yake bila kupata hiyo experience ya miaka 10 kwa sababu kusoma hivi sasa ni pesa zako tu!
 
Leo Tar. 15/06/2023, Dr. Mwigulu (WFM)anasoma Bajeti ya Serikali 2023/2024, Nimatumaini yangu bajeti yetu itajibu kilio Cha miaka mingi Cha watumishi kuomba kuwekewa muundo wa kiutumishi kwenye Elimu ya masters. Isipotokea Inshallah siku nyingine.

KAZI IENDELEE
 
Watu wanadhani kusoma na kupata Masters degree unapata na cheo na marupurupu wakati utendaji kazi ni zero, weledi uzingatiwe na sio degrees. WELEDI. Private sector inaendelea sio kwasababu ya 'masters degree' tujifunze huko!
 
Back
Top Bottom