Sawa Msomi Kipanga.Kama kitu hukifaham na huna taarifa nacho kamili tulia kimya syo unajifanya unajua kumbe ni kilaza mmoja hatari kwahyo hao Walimu wa secondary wenye Masters wanalipwa mshahara wa masters? Naww usiwe Kama kunguru
Njoo Namanyere tuvune Karanga, Mkuu achana na mambo ya kuajiriwa utaishia kufa kwa stress ukistaafu tu presha inakumaliza. Huku huitaji Degree wala Master au PhD