Njia za kujuwa nyota yako Njia ya kwanza ni jina lako herufi yako ya mwanzo ndipo utajuwa nyota yako kwa kutumia herufi ya mwanzo wa jina lako. Njia ya pili ya Kwa Kujuwa nyota yako unachukuwa Tarehe yako ya kuzaliwa na mwezi uliozaliwa ndipo utakapoweza kujuwa nyota yako ni ipi? Na Njia ya 3 Njia ya mwisho kujuwa nyota yako kwa kuchukuwa jina lako na jina la mama yako kwa idadi ya herufi za Abjadi unajumlisha herufi za jina lako na jina la mama yako.Kisha una gawa kwa 12%12 itakayobaki ndio itakuwani nyota yako. Kwa Mfano imebaki namba 1: nyota yako ni nyota punda ikibaki namba 2: nyota yako ni nyota ng'ombe ikibaki namba 3: nyota yako ni nyota ya mapacha. Ikibaki namba 4: nyota yako ni nyota ya kaa. Ikibaki namba 5: nyota yako ni nyota ya Simba.Ikibaki namba 6: nyota yako ni nyota ya mashuke ikibaki namba 7: nyota yako ni nyota ya mizani ikibaki namba 8: nyota yako ni nyota ya nge. Ikibaki namba 9: nyota yako ni nyota ya Mshale .Ikibaki namba 10: nyota yako ni nyota mbuzi. Ikibaki namba 11: nyota yako ni nyota ndoo. Na ikibaki namba 12: nyota yako ni nyota ya Samaki. Jifunze kusoma Herufi za Abdjadi kwa kuangalia Video hapo chini.Niliwahi kusikia kuwa njia rahisi ya kutambua nyota ni herufi ya mwanzo ya jina na Tarehe ya kuzaliwa..
Herufi ya jina ni nyota nyingine na tarehe ya kuzaliwa ni nyota nyingine..
Hapo ipi nzuri kuifuata.?? Kwasababu tabia ni kama haziendani..
Nilisikia kuna njia ya kutumia jina langu na jina la mama. Je hesabu zake zinakuwaje.?
Msaada tafadhali..
Mambo ya nyota na mienendo yake hayafungamani hata kwa udogo wa kucha inayokatwa na maisha binadamu. Ni nadharia zitakazokuingiza kwenye utumwa.Njia za kujuwa nyota yako Njia ya kwanza ni jina lako herufi yako ya mwanzo ndipo utajuwa nyota yako kwa kutumia herufi ya mwanzo wa jina lako. Njia ya pili ya Kwa Kujuwa nyota yako unachukuwa Tarehe yako ya kuzaliwa na mwezi uliozaliwa ndipo utakapoweza kujuwa nyota yako ni ipi? Na Njia ya 3 Njia ya mwisho kujuwa nyota yako kwa kuchukuwa jina lako na jina la mama yako kwa idadi ya herufi za Abjadi unajumlisha herufi za jina lako na jina la mama yako.Kisha una gawa kwa 12%12 itakayobaki ndio itakuwani nyota yako. Kwa Mfano imebaki namba 1: nyota yako ni nyota punda ikibaki namba 2: nyota yako ni nyota ng'ombe ikibaki namba 3: nyota yako ni nyota ya mapacha. Ikibaki namba 4: nyota yako ni nyota ya kaa. Ikibaki namba 5: nyota yako ni nyota ya Simba.Ikibaki namba 6: nyota yako ni nyota ya mashuke ikibaki namba 7: nyota yako ni nyota ya mizani ikibaki namba 8: nyota yako ni nyota ya nge. Ikibaki namba 9: nyota yako ni nyota ya Mshale .Ikibaki namba 10: nyota yako ni nyota mbuzi. Ikibaki namba 11: nyota yako ni nyota ndoo. Na ikibaki namba 12: nyota yako ni nyota ya Samaki. Jifunze kusoma Herufi za Abdjadi kwa kuangalia Video hapo chini.
View attachment 1655648
Wewe kama huamini ipotezee mbali hii Thread na wala usijishughulishe ukapoteza muda wako. Kulikuwa hakuna haja ya wewe ku Comment hapa. Unapoteza muda wako kwa mambo ya kipuuzi mkuu? Tuache sisi na nyota zetu wewe shughulika na dunia yako unaonaje ushauri wangu juu yako?Mambo ya nyota na mienendo yake hayafungamani hata kwa udogo wa kucha inayokatwa na maisha binadamu. Ni nadharia zitakazokuingiza kwenye utumwa.
Elimu ya falaki ambayo kwa Kiingereza ni Astronomy. Pia ina matawi yake mengine kama vile Astrophysics (Fizikia ya umbile za Falaki), Astrometry (Fizikia ya Mienendo na Miale ya Sayari); Cosmology (Elimu ya asili na maumbile ya Anga la juu) n.kWewe kama huamini ipotezee mbali hii Thread na wala usijishughulishe ukapoteza muda wako. Kulikuwa hakuna haja ya wewe ku Comment hapa. Unapoteza muda wako kwa mambo ya kipuuzi mkuu? Tuache sisi na nyota zetu wewe shughulika na dunia yako unaonaje ushauri wangu juu yako?
Umeanza vizurii, umekuja kuteleza mwishoni.Elimu ya falaki ambayo kwa Kiingereza ni Astronomy. Pia ina matawi yake mengine kama vile Astrophysics (Fizikia ya umbile za Falaki), Astrometry (Fizikia ya Mienendo na Miale ya Sayari); Cosmology (Elimu ya asili na maumbile ya Anga la juu) n.k
Mingoni mwake Elimu ya Utabiri wa hali ya hewa inaptikana ambayo ni elimu ya maumbile ya Ulimwengu na dunia yetu nyota (mfano Jua), Mwezi, Sayari, Mbingu. Elimu hii inayoelezea na kuchambua maumbile ya vitu hivi ikijumuisha mienendo yake, tabia zake na mahusiano yake n.k
Ninyi hii elimu ya falaki mnaitumuia mnaitumia kwa kufananisha mienendo ya anga ya juu na bunadamu imma kwa kufungamanisha na mwezi aliozaliwa au herufi yake ya awali ya jina n.k
Upuuzi ni upumbao! Unachoshughulika nacho si upumbao bali unajiangamiza wewe mwenyewe kimwili na kiroho.
Sayari haziathiri mwezi wa mtu aliozaliwa na mienendo yake haifungamani na asili ya binadamu kwa lolote. Elimu ya falaki ina manufaa lakini si katika hayo unayoyapigania.
Ameanza kwenye nyota yake! Atakuja kwenye nyota ya anayetaka kumuoa/aliyemuoa. Kama hajaoa mtampangia kuwa nyota yako haiendani na nyota yake. Ya kwake ni ni asili upepo na ya kwako ni asili ya moto. Mtampangia muda wa kuoa, siku na ramli nyingi.
Inaharibu mwili wa mtu na roho ya mtu. Sijagusia upande wa dini hapo!
Tuache na Elimu yetu ya falaki kama huipendi usi comment . Kwanini unasumbuka na sisi tunaye amini Elimu ya falaki? kinacho kuumiza roho ni kitu gani Mkuu? Ipuuze Elimu ya falaki kama kwako wewe haina faida hakuna ya haja ya wewe kuweka comment yako hapa. Usipoteze muda wako kwaku comment kitu cha kipuuzi hakina faida kwako Mkuu.Elimu ya falaki ambayo kwa Kiingereza ni Astronomy. Pia ina matawi yake mengine kama vile Astrophysics (Fizikia ya umbile za Falaki), Astrometry (Fizikia ya Mienendo na Miale ya Sayari); Cosmology (Elimu ya asili na maumbile ya Anga la juu) n.k
Mingoni mwake Elimu ya Utabiri wa hali ya hewa inaptikana ambayo ni elimu ya maumbile ya Ulimwengu na dunia yetu nyota (mfano Jua), Mwezi, Sayari, Mbingu. Elimu hii inayoelezea na kuchambua maumbile ya vitu hivi ikijumuisha mienendo yake, tabia zake na mahusiano yake n.k
Ninyi hii elimu ya falaki mnaitumuia mnaitumia kwa kufananisha mienendo ya anga ya juu na bunadamu imma kwa kufungamanisha na mwezi aliozaliwa au herufi yake ya awali ya jina n.k
Upuuzi ni upumbao! Unachoshughulika nacho si upumbao bali unajiangamiza wewe mwenyewe kimwili na kiroho.
Sayari haziathiri mwezi wa mtu aliozaliwa na mienendo yake haifungamani na asili ya binadamu kwa lolote. Elimu ya falaki ina manufaa lakini si katika hayo unayoyapigania.
Ameanza kwenye nyota yake! Atakuja kwenye nyota ya anayetaka kumuoa/aliyemuoa. Kama hajaoa mtampangia kuwa nyota yako haiendani na nyota yake. Ya kwake ni ni asili upepo na ya kwako ni asili ya moto. Mtampangia muda wa kuoa, siku na ramli nyingi.
Inaharibu mwili wa mtu na roho ya mtu. Sijagusia upande wa dini hapo!
Siku zote mambo yaliyo juu ya ukawaida wa mazingira na mazingara ya binadamu imma yawe ya kweli au yawe ya kusadikika yanastajaabisha na yanavutia kwa wakati mmoja na ndicho kilichokuwa kwa huyo Mzee.Umeanza vizurii, umekuja kuteleza mwishoni.
Swali fikirishi, ilikuaje yule mzee marehemu alikua maarufu duniani. Akawa na ofisi miji mikubwa duniani hata kabla ya uhuru wa inchi yake Tanganyika.
Kua na ofisi London hasa kwa kipindi kile na ni mtu mweusi alafu akapewa wadhifa wa juu kama kiongozi wa elimu ya anga, kuna jambo zitooo.
Elimu pana sana ila nasikitika hutakuja kuona mtalaa kwenye chuo unafundisha. Mtaala tulio nao unazalisha watumwa endelevu kwa kivuli cha neno "sayansi".
Kuna Sayari inaitwa "Alama simsima." Haihusiani na masuala ya mahesabu ya kiunajimu.Tuache na Elimu yetu ya falaki kama huipendi usi comment . Kwanini unasumbuka na sisi tunaye amini Elimu ya falaki? kinacho kuumiza roho ni kitu gani Mkuu? Ipuuze Elimu ya falaki kama kwako wewe haina faida hakuna ya haja ya wewe kuweka comment yako hapa. Usipoteze muda wako kwaku comment kitu cha kipuuzi hakina faida kwako Mkuu.