Nitaitoa CCM peke yangu tu, kwa njia mbadala

Nitaitoa CCM peke yangu tu, kwa njia mbadala

Mimi hakuna sehemu niliyomtaja Mungu katika comment yangu.Siyo maombi yote yanamhusu mungu,siyo maombi yote yana imani ndani yake,e.t.c
Nimeuliza hivyo kwasababu jamaa kamtaja Mungu na wewe umemtaja shetani, nikajiuliza huo mpambano nani atashinda.
Binafsi sina uhakika kama hivyo viumbe vina exist.
 
Nimeuliza hivyo kwasababu jamaa kamtaja Mungu na wewe umemtaja shetani, nikajiuliza huo mpambano nani atashinda.
Binafsi sina uhakika kama hivyo viumbe vina exist.
Kumtaja Mungu peke yake haitoshi,ni wangapi wanamtaja Mungu lakini hawana imani?Anaweza kumtaja Mungu halafu akaja kufanya maombi yasiyokuwa na imani!
 
Mungu na shetani nani ana nguvu?
Mungu yupi sasa maana hata Lissu tuliambiwa ni mpango wa Mungu ila baada ya uchaguzi tunaona Lissu analalamika uchaguzi haukuwa wa haki na kakataa matokeo ya uchaguzi,sasa hapo utajiuliza je mpango wa Mungu umefeli mbele ya shetani?
 
Mimi Lee namfuata Mungu Mkuu,Mungu wa Ibrahim Isaka na Yakobo.
Kwa kuwa aliagiza hivi
Enendeni Duniani kote mkafanye mataifa yote kuwa Ni wafuasi wangu.
Huyu Mungu ndiye ambae Kuna watu wanamdhihaki.lakini wanasahau kuwa Huwa hadhihakiwi.
Mungu huyo ndio ambaye tuliambiwa Lissu ni mpango wake kwamba Lissu ni mpango wa Mungu na kwa hivyo watu wakaamini kuwa ccm lazima itoke madarakani maana huyo Mungu huwa hashindwi?
 
Kumtaja Mungu peke yake haitoshi,ni wangapi wanamtaja Mungu lakini hawana imani?Anaweza kumtaja Mungu halafu akaja kufanya maombi yasiyokuwa na imani!
Kila mtu ana Mungu wake ndio maana kuna dini tofauti tofauti na madhehebu tofauti.

Ila maombi ya jamaa hayatafanikiwa, hizo nguvu ni bora akawekeza kwenye Jambo lingine
 
Ndiyo, yaweza kuwa CCM ni watenda dhambi Sana!! Lakini wakiamua leo hii wamrejee Mungu wanasamehewa kimyakimya huku wakiendelea kukuongoza!!!
Toba inafanya kazi ukitubu na kuacha hilo tendo baya... meaning, kama umepora urejeshe ulichoiba kwa mwenyewe..

2Nyakati 7:14
ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekeza, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao.
 
Mungu yupi sasa maana hata Lissu tuliambiwa ni mpango wa Mungu ila baada ya uchaguzi tunaona Lissu analalamika uchaguzi haukuwa wa haki na kakataa matokeo ya uchaguzi,sasa hapo utajiuliza je mpango wa Mungu umefeli mbele ya shetani?
Ha haaa maneno tu watu. Mungu yupo zake karelax wala hana mpango na siasa zenu
 
Dah... CCM hii ambayo Mshana jr na skwadi yake ambao wametundika tunguri na sasa wanaishi kwa oksijen? Au hii ambayo Robati na mteja wake wanazidi kujichanganya siku Hadi siku? Btw hivi ni wananchi gani mnaowazungimzia? [emoji2960]
 
Kila mtu ana Mungu wake ndio maana kuna dini tofauti tofauti na madhehebu tofauti.
Ila maombi ya jamaa hayatafanikiwa, hizo nguvu ni bora akawekeza kwenye Jambo lingine
Kwa nini hayatafanikiwa?Hakuna ambao waliwahi kumuomba Mungu wakafanikiwa?
 
Raha ni pale wakati wewe unatuma maombi na ccm vile vile hawatokaa kimya wanatuma maombi.

wakati wewe uko peke yako unatuma maombi kwa Mungu huyohuyo, CCM ni muungano wa majambazi kutoka dini tofauti, rangi tofauti, jinsia tofauti, umri tofauti, imani tofauti na miungu tofauti.

Nahisi kama umeshazidiwa.
 
Mugu huyo ndio ambaye tuliambiwa Lissu ni mpango wake kwamba Lissu ni mpango wa Mungu na kwa hivyo watu wakaamini kuwa ccm lazima itoke madarakani maana huyo Mungu huwa hashindwi?
Kuna watu tulidhani walikuwa wamejazwa "Roho Mtakatifu"jinsi walivyojiaminisha wakati wa kampeni,lakini kwa sasa wamekuwa tofauti.
Tuliwambia kuna maisha baada ya uchaguzi.
 
Nimeamua kuachana kabisa na harakati za kisiasa kwa nia ya kuitoa CCM. Nimeamua kuachana na njia za kisiasa kama kupiga kura, maandamano ya amani na mikutano ya kisiasa kwa sababu CCM haiheshimu maamuzi ya wananchi wengi kwa njia ya kura,au sauti za walio wengi. CCM wameamua kutumia nguvu za Dola kubaki madarakani....
Halleluya!

Kisasi ni juu yangu, asema Bwana wa majeshi.
 
Fanya Msihara na vitu vyote lakini sio Mungu Mkuu.
Aliyetenganisha bahari waisrael wakavuka.
Daa. Umenikumbusha kuna Nabii alifanya maombi kisha akawaambia waumini wake kuwa anaweza kuingia kwenye kundi la simba na wasimfanye kitu. Kilichotokea ni kwamba aligeuzwa kitoweo cha Simba.

Inawezekana maamuzi ya hisia zako yametokana na machungu yako yaliyosababishwa na viongozi wa CCM, hivyo ngoja tuone jinsi Mungu atakavyojbu maombi yako kwa staili ya Albadili.
 
Maskini kwa hiyo maombi ya akina Askofu Mwamakula,Askofu Bagonza na Shehe Ponda Mungu kayatupa kwenye dustibin yako ndiyo atayapokea?
 
Simpangii Mungu wa Miungu ila Nia yangu haki,furaha amani na upendo virejee Nchini.
Watanzania ambao awajiusishi na siasa ambao ni wengi awanastrees na wanachapa kazi,wanafuraha ya kutosha.
ila watanzania wenye misimamo ya siasa hasa za upinzani uchwara ambao ni wachache sana ndo mnastrees.

Mungu muumba Mbingu na Nchi ampe nguvu zaidi JPM azidi kuwapiga spana wapinzani wachache vibaraka wa mabeberu.
"Aamin"
 
Back
Top Bottom