Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda ndo yeye kwa I'd nyingine [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ohoooo mbona unataka kufanana don nalimison
Apige wapi, hakuna kitu pale lile ni debe tupuIna maana hata kura hakupiga [emoji1787][emoji1787]
Aanze na Mh. Mungu wa Kabudi!Aanze kuwatoa VIONGOZi wa CCM mmoja kila baada ya mwingine kwa muda mfupi Sana bila kuleta madhara kwa Taifa.
Asante Mungu,kwa kujibu.Nimeamua kuachana kabisa na harakati za kisiasa kwa nia ya kuitoa CCM. Nimeamua kuachana na njia za kisiasa kama kupiga kura, maandamano ya amani na mikutano ya kisiasa kwa sababu CCM haiheshimu maamuzi ya wananchi wengi kwa njia ya kura,au sauti za walio wengi. CCM wameamua kutumia nguvu za Dola kubaki madarakani.
Sasa nimeamua Mimi peke yangu kutumia njia ya MAOMBI, Mimi peke yangu nitakua namuomba Mungu wa Ibrahimu Isaka na Yakobo
Aitoe CCM madarakani kwa aibu na fedheha kubwa.
Aanze kuwatoa VIONGOZi wa CCM mmoja kila baada ya mwingine kwa muda mfupi Sana bila kuleta madhara kwa Taifa.
Mimi sio mlokole, Wala mtakatifu, lakini Ni Binadamu.
Na Mungu anasikia kila neno litokalo kwa kiumbe wake. Hivyo kwa imani bila kushirikiana na Watanzania wengine mimi peke yangu tu naweza,kwani Mungu katoa nafasi hiyo ya mtu yeyote kuweza kuomba na kujibiwa.
Mungu atajibu tu. Mungu anaona mateso yetu.
Huyo ni Mungu wa wenzio! Hata kusikiliza. Siku mlipo ambiwa muombe kwa huyo Mungu wao na muachane na wenu, walijua Sala zenu zitakuwa zina chujwa! Siyo zote zitakubalika, kwa mfano ukiiombea CCM mabaya, dua yako itakuwa kama anayo omba kuku kumuombea mwewe!Fanya Msihara na vitu vyote lakini sio Mungu Mkuu.
Aliyetenganisha bahari waisrael wakavuka.
?Tuambie nani anaanza kutoka ili tuweke rekodi sawa
Kituo kinachofuata ni kipi?.Asante Mungu,kwa kujibu.
Hatua ya Kwanza.