Nitaitoa CCM peke yangu tu, kwa njia mbadala

Sijui Kama utaiweza hiyo mipepo Michafu ccm
 
Asante Mungu,kwa kujibu.
Hatua ya Kwanza.
 
Fanya Msihara na vitu vyote lakini sio Mungu Mkuu.
Aliyetenganisha bahari waisrael wakavuka.
Huyo ni Mungu wa wenzio! Hata kusikiliza. Siku mlipo ambiwa muombe kwa huyo Mungu wao na muachane na wenu, walijua Sala zenu zitakuwa zina chujwa! Siyo zote zitakubalika, kwa mfano ukiiombea CCM mabaya, dua yako itakuwa kama anayo omba kuku kumuombea mwewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…