Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona iko juu hapoSafi sana, umejibu vizuri, niPM namba yako mkuu
Mpya au used?Iphone 12 pro (GB 128) Original ni sh ngapi ? ukiniagizia maana za hapa bongo naona kama ni feki kila sehemu
Ofisi za nini mkuu?Ofisi zako zipo wapi?
mtumba au mpya?TV mpya nchi 32 Hisense au Samsung bei gani?
mtumba au mpya?
Mpyamtumba au mpya?
Unaongea nini unataka kuagaiza kitu gani?, na sistiza sichukui pesa ya mtu kabla ya mzigo kufika sioni sababu ya mtu kukutana na mimi au kuja offisini kwangu bila hata ukuweka orderIkiwa sisi wahalifu tunaweza salimika tukikutana nawe kweli
Kama ndio hivi bado tuna safari ndefu sana.Wabongo ndio tulivyo mkuu usikasirike sana haswa sisi tusio na pesa , hili ni jambo zuri ila kwa wengine akina sisi tutakutafutia sababu uonekane tapeli na ndio mana utaanza kusikia tunauliza ofis zako zipo wapi, na ilihali hata order hatujafanya. Kwaio tuvumilie mkuu.
Hii ndio sehemu ya ya kupost ingia hapo andika unachokitaka utalipia baada ya mzigo wako kufika Simu Ainazote Tablets AccessoriessamsungS9+ new shilling ngapi mkuu