Nitajie aina ya Simu, laptop, camera, iPad nikuagizie kwa gharama zangu. Utalipia mzigo baada ya kufika

Nitajie aina ya Simu, laptop, camera, iPad nikuagizie kwa gharama zangu. Utalipia mzigo baada ya kufika

mkuu nataduta hii battery ya laptop
IMG-20220128-WA0005.jpg
 
Wabongo ndio tulivyo mkuu usikasirike sana haswa sisi tusio na pesa , hili ni jambo zuri ila kwa wengine akina sisi tutakutafutia sababu uonekane tapeli na ndio mana utaanza kusikia tunauliza ofis zako zipo wapi, na ilihali hata order hatujafanya. Kwaio tuvumilie mkuu.
Kama ndio hivi bado tuna safari ndefu sana.
 
Back
Top Bottom