prophet_tz
Senior Member
- Feb 14, 2022
- 176
- 302
Hii ndo bei ya tv Samsung 32 mpya au sijaelewaSamsung 600,000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndo bei ya tv Samsung 32 mpya au sijaelewaSamsung 600,000
Yah sh ngapi?
Unauzaje, mtu akitaka kuziona kwanza na labda kukagua? Pesa umapokea yote kwanza au?Ofisi za nini mkuu?
Pitia maoni yote,Unauzaje, mtu akitaka kuziona kwanza na labda kukagua? Pesa umapokea yote kwanza au?
unaleta order yako naifanyia kazi na kupa bei,pia unaweza kuona picha ya bidhaa yako baada ya kupatikana ukikuali tunalipia,sichukui pesa hatamia hadi mzigo ufike hapa ungalie ujilizishe utoapesa na sio lazima unawe ku cancel order baada ya mzigo wako kufika.Unauzaje, mtu akitaka kuziona kwanza na labda kukagua? Pesa umapokea yote kwanza au?
Vitu vingine kama vipi mkuu hebu take time orodhesha vyoteHabari wana mzengo!
Nafanya biashara za kuagiza laptops ipad camera na vitu vingine kama hivi, kama unataka kimoja wapo kati ya vitu nimetaja hapo juu nipe oda nikuagizie kwa pesa zangu mzigo ukifika unakuja kulipia na kuchukua mzigo.
whaspp 0712 708245
Nivingi sana ukisema ni viorodheshe vyote hapa tutajaza server ya JF sema unashida na kitu gani.Vitu vingine kama vipi mkuu hebu take time orodhesha vyote
Mkuu kuna ubaya gani ukianzisha uzi wako wa kuuza viwanja ?Nauza viwanja viwili
viko maeneo mazuri hakuna changamoto ya mabonde wala madimbwi
size 30*25 vyote vinalingana
kimoja mbezi makabe kingine goba mpakani
maji umeme barabara vipo
goba 25mil
mbezi makabe 18mil.
call 0713096076
Tuna line ya Japan.Unaagiza toka wapi yan labda kwa mfano.... Na kwa mda gani labda
Inachukua muda gani mzigo kufika??Tuna line ya Japan.
inategemea na wingi mzigo ulipo njia ya usafirishaji wa mzigo ni container.Inachukua muda gani mzigo kufika??
Habari wana mzengo!
Nafanya biashara za kuagiza laptops, ipad, camera na vitu vingine kama hivi, kama unataka kimoja wapo kati ya vitu nimetaja hapo juu, nipe oda nikuagizie kwa pesa zangu mzigo ukifika unakuja kulipia na kuchukua mzigo.
Whatsapp 0712 708245
Hii ndio sehemu ya ya kupost ingia hapo andika unachokitaka utalipia baada ya mzigo wako kufika Simu Ainazote Tablets Accessories
Una agiza kitu ambacho unashida nacho mkuu kama hizo vitu nilitaja hapo juu, site ni kwajili ya ku post orders au kitu gani unashida nacho ili kitafutwe upewe bei kupitia kwenye hiyo site, tukikubaliana bei tunakinunua kwa pesa yetu na kusafirisha kwa garama zetu , mzigo ukifika tunakujulisha kupitia kwenye site pia taarifa zako na record zako zote vitu ulivyo viagiza address namba ya simu tunakuwa navyo pia unaweza ku cancel order bila maelezo .Mtu akiombwa pesa kabla ya kupokea mzigo wake naomba aje hapa na ushahidi asema nani alimumba pesa kabla ya kumpatia mzigo wake.Hii link iweke juu kwenye uzi mkuu...maana binafsi nilishindwa elewa mtu aingie wapi kuona vitu anavyoweza agiza...