Nitajie aina ya Simu, laptop, camera, iPad nikuagizie kwa gharama zangu. Utalipia mzigo baada ya kufika

Nitajie aina ya Simu, laptop, camera, iPad nikuagizie kwa gharama zangu. Utalipia mzigo baada ya kufika

Niagizie hio mashine... wamesema ina discount ya 80%

Screenshot_20220219-072224.png
 
Sante nangoja majibu duh ,huu ndio ujasiriamali mkuu tusaidie tupate picha kila bidhaa na picha yake tuchakalike mzigo ukitua Dar unachukua chako nachukua mzigo na oder mpya njuu kila mtu anasepa zake.
Hbari mkuu,Vipi majibu yangu kimya?
 
Unaweza post mkuu ndani ya website yetu kwenye Auction, ukipata mteja akilipia tuna delivery sisi sio wewe utapata cha juu chako.
Nijibu basi hapo ndugu mtaalamu kwenye post #92. Nataka nijue tufanye yetu.
 
Mkuu sijaona ukitaja kama una deal na TV pia hivo utanisamee kama hudeal nazo, me nahitaji Hisense 50 inch, kama una deal nazo naomba unisaidie price tujue tunafanyaje, Smart na ambayo sio smart
Nipe hyo kazi boss within 10days utakuwa umepata mzigo mazingira n Kama ya mtoa mada once you receive you pay it.

Ila nitakuomba uniambie sehemu ulipo Ila iwe makao makuu ya mkoa ndo na wadau ambao utaenda oficin kwake utaacha kias ili niwe na uhakika upo serious nisije leta alafu nikakosa wa kumpatia.

Kama upo tayari karibu boss mie nipo Arusha mzigo natolea Kenya
 
Nipe hyo kazi boss within 10days utakuwa umepata mzigo mazingira n Kama ya mtoa mada once you receive you pay it.

Ila nitakuomba uniambie sehemu ulipo Ila iwe makao makuu ya mkoa ndo na wadau ambao utaenda oficin kwake utaacha kias ili niwe na uhakika upo serious nisije leta alafu nikakosa wa kumpatia.

Kama upo tayari karibu boss mie nipo Arusha mzigo natolea Kenya
Mkuu mambo ya kuacha kiasi sehemu hii ni mada mpya naomba ufungue uzi mpya wenye maelezo ya kuacha kiasi sehemu mzigo unachukuliwa Arusha please Guys mtu kianzisha uzi sioni sababu ya mtu kuweka matangazo yake wakati unaweza fungua uzi mpya.
 
Nipe hyo kazi boss within 10days utakuwa umepata mzigo mazingira n Kama ya mtoa mada once you receive you pay it.

Ila nitakuomba uniambie sehemu ulipo Ila iwe makao makuu ya mkoa ndo na wadau ambao utaenda oficin kwake utaacha kias ili niwe na uhakika upo serious nisije leta alafu nikakosa wa kumpatia.

Kama upo tayari karibu boss mie nipo Arusha mzigo natolea Kenya
Shukrani Kwa taarifa Mkuu sema tumepishana kidogo, of course Nilikuwa serious sana ndomana nimeonekana katika thread nyingi kidogo ila bahati mbaya sikupata msaada humu

sema kupitia hii quote unaweza kusaidia wengine ambao wanahitaji msaada kama livokuwa kwangu maana naamini wapo wengi ispokuwa wanajishtukia tu kuwa wakweli, Mkuu issue ya TV niliunganishwa na mbongo yupo china

ila kwakuwa ni biashara sio mbaya tukajua na wewe unafanya vipi Kazi na bei zako zikoje, mfano mie Nilikuwa nataka Hisense inch 50/55 kutoka Kenya, je kwa huko nitapata kwa shingapi hizo Mali na Hadi inanifkia nakuwa nimepasuka kiasi Gani
 
Shukrani Kwa taarifa Mkuu sema tumepishana kidogo, of course Nilikuwa serious sana ndomana nimeonekana katika thread nyingi kidogo ila bahati mbaya sikupata msaada humu

sema kupitia hii quote unaweza kusaidia wengine ambao wanahitaji msaada kama livokuwa kwangu maana naamini wapo wengi ispokuwa wanajishtukia tu kuwa wakweli, Mkuu issue ya TV niliunganishwa na mbongo yupo china

ila kwakuwa ni biashara sio mbaya tukajua na wewe unafanya vipi Kazi na bei zako zikoje, mfano mie Nilikuwa nataka Hisense inch 50/55 kutoka Kenya, je kwa huko nitapata kwa shingapi hizo Mali na Hadi inanifkia nakuwa nimepasuka kiasi Gani
mkuu ukisoma vizuri comments zangu kuna sehemu niliongelea kuhusu TV siagizi ,jambo la pili company ya Hisense mbona ziko madukani kila mkoa unaweza kutembelea duka lilopo jirani yako ukanunua kwanini uagize bidhaa ambaya inapatika kwa wingi madukani mkuu?
 
mkuu ukisoma vizuri comments zangu kuna sehemu niliongelea kuhusu TV siagizi ,jambo la pili company ya Hisense mbona ziko madukani kila mkoa unaweza kutembelea duka lilopo jirani yako ukanunua kwanini uagize bidhaa ambaya inapatika kwa wingi madukani mkuu?
Mkuu kwani wewe hizo simu unazosema unataka kuagizia watu Kuna Mkoa wowote Tanzania hawauzi? Camera je? Vipi Laptop? Au walikwambia kwamba wametafuta mikoani mwao wamekosa?

Ulichokilenga wewe kwenye kuwambia wadau kuwa utawaagizia watu bidhaa hizo ndicho nilicholenga mie Mkuu, nadhani jibu lako la kuwa hudeal na Tv lilijitosheleza na sio hayo maswali yako, na mie Nilikuwa namjibu mtu aliekuwa interested na issue yangu ya Tv Mkuu na sio wewe maana ulisema hudeal na Tv sa sijui shida imetoka wapi
 
Back
Top Bottom