Nitajie aina ya Simu, laptop, camera, iPad nikuagizie kwa gharama zangu. Utalipia mzigo baada ya kufika

Nitajie aina ya Simu, laptop, camera, iPad nikuagizie kwa gharama zangu. Utalipia mzigo baada ya kufika

Mkuu hii machine ya ice cream mnaagiza pia, na kama mnaagiza ni bei gani
images%20(2).jpg
images%20(1).jpg
 
Mkuu nimeshaweka, lakini kule ndani kuna shopping nyingi, mfano kariakoo online shopping, East African na nyinginezo, so ungesema specific ipi tuweke hizi bidhaa tunazozihitaji ama popote tu utakapoweka litashughulikiwa?

Pia naomba nipe bei maana kule sijui itachukua muda gani kujibiwa, Asante!!
 
Mkuu nimeshaweka, lakini kule ndani kuna shopping nyingi, mfano kariakoo online shopping, East African na nyinginezo, so ungesema specific ipi tuweke hizi bidhaa tunazozihitaji ama popote tu utakapoweka litashughulikiwa?

Pia naomba nipe bei maana kule sijui itachukua muda gani kujibiwa, Asante!!
Asente mkuu popote ukiewa sawa tu ,admin ataangalia kisha atakusaidia kuhamisha post yako ili ifanyiwe kazi.
 
Mkuu nimeshaweka, lakini kule ndani kuna shopping nyingi, mfano kariakoo online shopping, East African na nyinginezo, so ungesema specific ipi tuweke hizi bidhaa tunazozihitaji ama popote tu utakapoweka litashughulikiwa?

Pia naomba nipe bei maana kule sijui itachukua muda gani kujibiwa, Asante!!
Tumezipunguza zimebaki chache sana.
 
Habari wana mzengo!

Nafanya biashara za kuagiza laptops, ipad, camera mitambo tools machines magari ,spare za magari ya kukata, Generators na nk , kama unataka kimoja wapo kati ya vitu nimetaja hapo juu, nipe ordar nikuagizie kwa pesa zangu mzigo ukifika unakuja kulipia na kuchukua mzigo wako.

kuweka order yako onyeza hapa Urgently Items Wanted in Japan

Whatsapp 0712 708245
Hii cherehani naipata kwa bei gani mkuu

Screenshot_20220228-083936~2.png
 
Nauza viwanja viwili

viko maeneo mazuri hakuna changamoto ya mabonde wala madimbwi

size 30*25 vyote vinalingana

kimoja mbezi makabe kingine goba mpakani

maji umeme barabara vipo

goba 25mil

mbezi makabe 18mil.

call 0713096076
I beg your pardon! VIWANJA, NYUMBA?!
 
Habari wana mzengo!

Nafanya biashara za kuagiza laptops, ipad, camera mitambo tools machines magari ,spare za magari ya kukata, Generators na nk , kama unataka kimoja wapo kati ya vitu nimetaja hapo juu, nipe ordar nikuagizie kwa pesa zangu mzigo ukifika unakuja kulipia na kuchukua mzigo wako.

kuweka order yako onyeza hapa Urgently Items Wanted in Japan

Whatsapp 0712 708245
Mkuu Nitapata Disck Top computer used kwa 150k nataka ya kurusha nyimbo studio, iwe na kioo chake(screen)
 
Back
Top Bottom