GP Logistics Company
JF-Expert Member
- Feb 12, 2022
- 407
- 548
- Thread starter
- #121
Pamoja sanaMe nahitaji plotters machine kwa ajili ya kukatia sticker
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja sanaMe nahitaji plotters machine kwa ajili ya kukatia sticker
Ntakutumia kakaikoje ,
ikoje mkuu
Zipo naomba ui-post hapo Urgently Items Wanted in JapanMkuu hii machine ya ice cream mnaagiza pia, na kama mnaagiza ni bei ganiView attachment 2131489View attachment 2131490
Mkuu nimeshaweka, lakini kule ndani kuna shopping nyingi, mfano kariakoo online shopping, East African na nyinginezo, so ungesema specific ipi tuweke hizi bidhaa tunazozihitaji ama popote tu utakapoweka litashughulikiwa?Zipo naomba ui-post hapo Urgently Items Wanted in Japan
Asente mkuu popote ukiewa sawa tu ,admin ataangalia kisha atakusaidia kuhamisha post yako ili ifanyiwe kazi.Mkuu nimeshaweka, lakini kule ndani kuna shopping nyingi, mfano kariakoo online shopping, East African na nyinginezo, so ungesema specific ipi tuweke hizi bidhaa tunazozihitaji ama popote tu utakapoweka litashughulikiwa?
Pia naomba nipe bei maana kule sijui itachukua muda gani kujibiwa, Asante!!
Tumezipunguza zimebaki chache sana.Mkuu nimeshaweka, lakini kule ndani kuna shopping nyingi, mfano kariakoo online shopping, East African na nyinginezo, so ungesema specific ipi tuweke hizi bidhaa tunazozihitaji ama popote tu utakapoweka litashughulikiwa?
Pia naomba nipe bei maana kule sijui itachukua muda gani kujibiwa, Asante!!
Nini zilizobaki chache mkuuTumezipunguza zimebaki chache sana.
shopping ulizo semaNini zilizobaki chache mkuu
@@dalikimoko hii comment haujaiona ?!Huawei P30 Pro, RAM 8GB ,Rom 512GB
Nipe bei ya hii kitu nataka mpya sitaki refurbished or used. Mpya kama mtoto aliezaliwa leo. View attachment 2126089
Naomba post ikafanyiwe kazi@@dalikimoko hii comment haujaiona ?!
Hii cherehani naipata kwa bei gani mkuuHabari wana mzengo!
Nafanya biashara za kuagiza laptops, ipad, camera mitambo tools machines magari ,spare za magari ya kukata, Generators na nk , kama unataka kimoja wapo kati ya vitu nimetaja hapo juu, nipe ordar nikuagizie kwa pesa zangu mzigo ukifika unakuja kulipia na kuchukua mzigo wako.
kuweka order yako onyeza hapa Urgently Items Wanted in Japan
Whatsapp 0712 708245
Naomba post kupata utapata bei
Nisha post kiongozi tatizo marketing ziko nyingi Kule nikaamua kupost kwenye kariakoo onlineNaomba post kupata utapata bei
sawa kote utajibiwaNisha post kiongozi tatizo marketing ziko nyingi Kule nikaamua kupost kwenye kariakoo online
Poasawa kote utajibiwa
I beg your pardon! VIWANJA, NYUMBA?!Nauza viwanja viwili
viko maeneo mazuri hakuna changamoto ya mabonde wala madimbwi
size 30*25 vyote vinalingana
kimoja mbezi makabe kingine goba mpakani
maji umeme barabara vipo
goba 25mil
mbezi makabe 18mil.
call 0713096076
Mkuu Nitapata Disck Top computer used kwa 150k nataka ya kurusha nyimbo studio, iwe na kioo chake(screen)Habari wana mzengo!
Nafanya biashara za kuagiza laptops, ipad, camera mitambo tools machines magari ,spare za magari ya kukata, Generators na nk , kama unataka kimoja wapo kati ya vitu nimetaja hapo juu, nipe ordar nikuagizie kwa pesa zangu mzigo ukifika unakuja kulipia na kuchukua mzigo wako.
kuweka order yako onyeza hapa Urgently Items Wanted in Japan
Whatsapp 0712 708245
mkuu umeuliza nini sijakuelewa𝑩𝒖𝒕 𝒎𝒆 𝒉𝒖𝒋𝒂𝒏𝒊𝒃𝒖 𝒏𝒊𝒍𝒊𝒄𝒉𝒐 𝒌𝒖𝒖𝒍𝒊𝒛𝒂