Nitajie aina ya Simu, laptop, camera, iPad nikuagizie kwa gharama zangu. Utalipia mzigo baada ya kufika

Nitajie aina ya Simu, laptop, camera, iPad nikuagizie kwa gharama zangu. Utalipia mzigo baada ya kufika

Mkuu najua una orders nyingi pia yakwangu ni muhimu
 
kwenye website yako.
nimeona laptop yenye ram gb 16 na nvidia card inauzwa laki mbili.. 🤔
 
Bonge
Habari wana mzengo!

Nafanya biashara za kuagiza laptops, ipad, camera mitambo tools machines magari ,spare za magari ya kukata, Generators na nk , kama unataka kimoja wapo kati ya vitu nimetaja hapo juu, nipe ordar nikuagizie kwa pesa zangu mzigo ukifika unakuja kulipia na kuchukua mzigo wako.

kuweka order yako onyeza hapa Urgently Items Wanted in Japan

Whatsapp 0712 708245
Bonge moja la wazo! Hongera
 
kuna jamaa yupo dubai anauza simu za zamani, anaweka sana mawasiliano instagram na simu anazouza.

kama upo tayari nikupe link uangalie alafu utaniambia nikutajie simu.

tafadhali jibu kwa ku quote ujumbe huu ili nione.
 
kuna jamaa yupo dubai anauza simu za zamani, anaweka sana mawasiliano instagram na simu anazouza.

kama upo tayari nikupe link uangalie alafu utaniambia nikutajie simu.

tafadhali jibu kwa ku quote ujumbe huu ili nione.
simu za zamani za kazi gani chiefs.
 
Asante,najisajili kwenye huu Uzi na ninaendelea kufuatilia
 
Back
Top Bottom