GP Logistics Company
JF-Expert Member
- Feb 12, 2022
- 407
- 548
- Thread starter
- #141
Bado kuhusu nini mkuu?Bado mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado kuhusu nini mkuu?Bado mkuu
Mkuu Nitapata Disck Top computer used kwa 150k nataka ya kurusha nyimbo studio, iwe na kioo chake(screen)
Naomba zipo-post specifications zako, pamoja na bajeti yako utajibiwa fasta moja kwa moja na sellers.Mkuu Nitapata Disck Top computer used kwa 150k nataka ya kurusha nyimbo studio, iwe na kioo chake(screen)
Ok,May be comment ni nyingi zingine unashindwa kuziona,mkuu umeuliza nini sijakuelewa
Bejeti laki na nusu,Naomba zipo-post specifications zako, pamoja na bajeti yako utajibiwa fasta moja kwa moja na sellers.
Nimekujibu naomba bonyeza link hapo juu kisha post kwenye platform ya Japan utajibiwaOk,May be comment ni nyingi zingine unashindwa kuziona,
Niliuliza hivi, naweza pata Disck top computer used ya Sh, 150k
Ok, thanks,Nimekujibu naomba bonyeza link hapo juu kisha post kwenye platform ya Japan utajibiwa
Sijatajiwa bei mkuuBado kuhusu nini mkuu?
Kujua bei ya Samsung A52 ingia kwenye website yetu post upate bei mkuuSamsung A52 used y Japan. Bei gani mpk mkononi?
NAHITAJI PRINTERS MBILI AINA YA EPSON L382,Habari wana mzengo!
Nafanya biashara za kuagiza laptops, ipad, camera mitambo tools machines magari ,spare za magari ya kukata, Generators na nk , kama unataka kimoja wapo kati ya vitu nimetaja hapo juu, nipe ordar nikuagizie kwa pesa zangu mzigo ukifika unakuja kulipia na kuchukua mzigo wako.
kuweka order yako onyeza hapa Urgently Items Wanted in Japan
Whatsapp 0712 708245
Iphone 12 pro (GB 128) Original ni sh ngapi ? ukiniagizia maana za hapa bongo naona kama ni feki kila sehemu
Kauli za kiume za watu serious.. hongera sana chiefHatuchukui pesa ya mtu mkuu mzigo ukifika unakuja na pesa yako unachukua mzigo wako hata usipokuja sawa tutauza kwa mtu mwingine.
Asante karibuKauli za kiume za watu serious.. hongera sana chief
Bei utapata mkuu post kwenye website yetuIphone 12 pro (GB 128) Original ni sh ngapi ? ukiniagizia maana za hapa bongo naona kama ni feki kila sehemu
ZipoBetri za laptop vp