Nitajie aina ya Simu, laptop, camera, iPad nikuagizie kwa gharama zangu. Utalipia mzigo baada ya kufika

Nitajie aina ya Simu, laptop, camera, iPad nikuagizie kwa gharama zangu. Utalipia mzigo baada ya kufika

kama natokea mkoani kuna utaratibu gan kwa ajr ya kumfikia mtu bidhaa
 
Wote mliopokea mizigo yenu mkiwa Dar au Mkoani tunashukuru sana kwakutuungisha Mungu awaongezee, na wele waliokimbia mizigo yao pia tuko pamoja sana.

Naomba Testimonial kama umepata changamoto njoo utumbie ilikuwaje ili tuweze kuboresha jukwaa letu la uagizaji wa bidhaa kwanjia ya matandao , then utapata zawadi ya free trial ya membership ya mwezi utaweza ku access platforms zote bila kikomo, unaweza kutengeneza pesa kupitia hii membership, utaweza kupata access ya bidhaa amabazo ziko donated na sellers nakuchukua bure bila kulipia, kifurushi cha membship kitakupa faida kubwa sana .
 
1647354124214.png
 
Back
Top Bottom