Nitajie Rais wa Africa aliyefanikiwa kudhibiti nchi kwa kuwa mlaini/mpole mpole (polite)

Nitajie Rais wa Africa aliyefanikiwa kudhibiti nchi kwa kuwa mlaini/mpole mpole (polite)

Lanlady

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2019
Posts
1,836
Reaction score
6,303
Tunajua upole ni sifa ambayo kila mmoja anapaswa kuwa nayo pale inapostahili. Chochote kinachofanyika kinapaswa kuwa na kiasi.

Swali langu ni je, ni kiongozi gani wa nchi za kiafrika alieweza kudhibiti nchi kwa kuwa mpole?
Tuanze na Nyerere, Mandela. Kenyata nk. Je, walikuwa na haiba zipi ktk kudhibiti nchi kisiasa, kiuchumi, kijamii nk
 
Tunajua upole ni sifa ambayo kila mmoja anapaswa kuwa nayo pale inapostahili. Chochote kinachofanyika kinapaswa kuwa na kiasi.

Swali langu ni je, ni kiongozi gani wa nchi za kiafrika alieweza kudhibiti nchi kwa kuwa mpole?
Tuanze na Nyerere, Mandela. Kenyata nk. Je, walikuwa na haiba zipi ktk kudhibiti nchi kisiasa, kiuchumi, kijamii nk
Aliwah kutokea the(currently)
 
Rais haihitaji kudhibiti nchi, wala haitaji kuwa katili ili watu wamwogope, ni mawazo ya ajabu kabisa.

Lakini haishangazi, hata katika familia zenu wengi wenu mnaogopwa na watoto wenu badala ya kuheshimiwa.
Wewe nchi ni kubwa na ina watendaji wengi lazima wote wajue msimamo wako kwamba ukizingua kwenye taasisi yako au shirika unatimuliwa kwa aibu lazima tu waogope...mtoa mada hakuna rais mpole atakayefanikiwa africa Mungu ametupa mfano bora wa magufuli kazi kwetu
 
Tunajua upole ni sifa ambayo kila mmoja anapaswa kuwa nayo pale inapostahili. Chochote kinachofanyika kinapaswa kuwa na kiasi.

Swali langu ni je, ni kiongozi gani wa nchi za kiafrika alieweza kudhibiti nchi kwa kuwa mpole?
Tuanze na Nyerere, Mandela. Kenyata nk. Je, walikuwa na haiba zipi ktk kudhibiti nchi kisiasa, kiuchumi, kijamii nk
Mandela
 
Tunajua upole ni sifa ambayo kila mmoja anapaswa kuwa nayo pale inapostahili. Chochote kinachofanyika kinapaswa kuwa na kiasi.

Swali langu ni je, ni kiongozi gani wa nchi za kiafrika alieweza kudhibiti nchi kwa kuwa mpole?
Tuanze na Nyerere, Mandela. Kenyata nk. Je, walikuwa na haiba zipi ktk kudhibiti nchi kisiasa, kiuchumi, kijamii nk
Kinacho ongoza nchi ni katiba sio ukali wala upole tatizo viongozi wa kiafrika wanajifanya wakali hili waibe sio kusimamia katiba mfano msv7 magu kagame nk
 
Akiwa mkali mnamwita dikteta.
Akiwa mpole mnamwita dhaifu.

So which one is....
Pengine tunahitaji kurejea kwa watangulizi ili tubaini jibu la swali lako.

Who was very polite in leadership?
Just negotiating with opposing political parties and still everything went smoothly?
I need clarifications arguments and not oppossing argument
 
Shida Africa sijui kama kuna nchi iliyo dhibitiwa yaani ni kama kuuizia Bar made anae hubiri zaidi
 
Kwani kufoka ndo uongozi?
Mandela hakuwahi kufokafoka..
Wala Botswana haijawahi pata kiongozi anaefokafoka...
Mauritius unajua wametuacha kiasi gani Kwa Maendeleo?hawana Viongozi wanao foka foka..
Kufoka foka ni dalili ya kutokuwa na majawabu na kutupia lawama watu wa chini yako ..
Hata Mwingi hakuwa anafoka foka .
Mkapa ndo kabisa alikuwa anafanya overhaul maeneo Tele bila hata kufoka foka
 
Tunajua upole ni sifa ambayo kila mmoja anapaswa kuwa nayo pale inapostahili. Chochote kinachofanyika kinapaswa kuwa na kiasi.

Swali langu ni je, ni kiongozi gani wa nchi za kiafrika alieweza kudhibiti nchi kwa kuwa mpole?
Tuanze na Nyerere, Mandela. Kenyata nk. Je, walikuwa na haiba zipi ktk kudhibiti nchi kisiasa, kiuchumi, kijamii nk
Uhuru Kenyeta
Jakaya Kikwete
Ally Hassan Mwinyi
 
Kwani kufoka ndo uongozi?
Mandela hakuwahi kufokafoka..
Wala Botswana haijawahi pata kiongozi anaefokafoka...
Mauritius unajua wametuacha kiasi gani Kwa Maendeleo?hawana Viongozi wanao foka foka..
Kufoka foka ni dalili ya kutokuwa na majawabu na kutupia lawama watu wa chini yako ..
Hata Mwingi hakuwa anafoka foka .
Mkapa ndo kabisa alikuwa anafanya overhaul maeneo Tele bila hata kufoka foka
Sijamaanisha kufoka foka au kugomba, binafsi hata mi sipendi kugombezwa.

Ninachomaanisha hapo ni kuwa na msimamo na uwezo wa kupambana na mambo yasiyojenga taifa au yanayoliletea taifa hasara. Mfano kudhibiti rushwa, kuzuia mirija ya matumizi mabaya ya fedha za umma, kudhibiti mfumuko wa bei hata kama wafanyabiashara ni watu wake wa karibu, kulinda maadiki ya taifa nk.

I need vivid examples, compare and constrast.
Tuache uchawa kwanza kwa muda, tuzungumze ukweli wa mambo
 
Sijamaanisha kufoka foka au kugomba, binafsi hata mi sipendi kugombezwa.

Ninachomaanisha hapo ni kuwa na msimamo na uwezo wa kupambana na mambo yasiyojenga taifa au yanayoliletea taifa hasara. Mfano kudhibiti rushwa, kuzuia mirija ya matumizi mabaya ya fedha za umma, kudhibiti mfumuko wa bei hata kama wafanyabiashara ni watu wake wa karibu, kulinda maadiki ya taifa nk.

I need vivid examples, compare and construct.
Tuache uchawa kwanza kwa muda, tuzungumze ukweli wa mambo
Nimekupa mfano wa Mauritius unaijua?...unge Google kwanza ...
 
Back
Top Bottom