Kweli nianze kugoogle taifa moja baada ya jingine na viongozi wake?Nimekupa mfano wa Mauritius unaijua?...unge Google kwanza ...
Hatutaki mkali wala dhaifu!Akiwa mkali mnamwita dikteta.
Akiwa mpole mnamwita dhaifu.
So which one is....
Mfuata Katiba,Akiwa mkali mnamwita dikteta.
Akiwa mpole mnamwita dhaifu.
So which one is....
Hatuhitaji mdhibiti nchi bali tunahitaji kiongozi anayeheshimu katiba, sheria na kanuni zote zinazoongoza nchi.Tunajua upole ni sifa ambayo kila mmoja anapaswa kuwa nayo pale inapostahili. Chochote kinachofanyika kinapaswa kuwa na kiasi.
Swali langu ni je, ni kiongozi gani wa nchi za kiafrika alieweza kudhibiti nchi kwa kuwa mpole?
Tuanze na Nyerere, Mandela. Kenyata nk. Je, walikuwa na haiba zipi ktk kudhibiti nchi kisiasa, kiuchumi, kijamii nk
Mandela alishakuta kila kitu kimeshawekwa sawa na makaburu.Mandela
Huyu mzee ana busara sana laiti angekua Rais Mstaafu wa JMT.Dr Shein
Kenyatta(Jomo) alitawala na aliidhibiti nchi bila ya kuwa dictator japo alipoingia Moi mambo yakabadilika, Mandela alikuwa mpole sana.Tunajua upole ni sifa ambayo kila mmoja anapaswa kuwa nayo pale inapostahili. Chochote kinachofanyika kinapaswa kuwa na kiasi.
Swali langu ni je, ni kiongozi gani wa nchi za kiafrika alieweza kudhibiti nchi kwa kuwa mpole?
Tuanze na Nyerere, Mandela. Kenyata nk. Je, walikuwa na haiba zipi ktk kudhibiti nchi kisiasa, kiuchumi, kijamii nk
Hatujawahi kupata kiongozi wa aina hiyoNinachomaanisha hapo ni kuwa na msimamo na uwezo wa kupambana na mambo yasiyojenga taifa au yanayoliletea taifa hasara. Mfano kudhibiti rushwa, kuzuia mirija ya matumizi mabaya ya fedha za umma, kudhibiti mfumuko wa bei hata kama wafanyabiashara ni watu wake wa karibu, kulinda maadiki ya taifa nk.
Kudhibiti ndio kufanya nini? Labda ungesema kuleta maendeleo ungeleeweka.Tunajua upole ni sifa ambayo kila mmoja anapaswa kuwa nayo pale inapostahili. Chochote kinachofanyika kinapaswa kuwa na kiasi.
Swali langu ni je, ni kiongozi gani wa nchi za kiafrika alieweza kudhibiti nchi kwa kuwa mpole?
Tuanze na Nyerere, Mandela. Kenyata nk. Je, walikuwa na haiba zipi ktk kudhibiti nchi kisiasa, kiuchumi, kijamii nk
Sheria zipo, katiba ipo, kuzifuata haihitaji upole wala ukaliTunajua upole ni sifa ambayo kila mmoja anapaswa kuwa nayo pale inapostahili. Chochote kinachofanyika kinapaswa kuwa na kiasi.
Swali langu ni je, ni kiongozi gani wa nchi za kiafrika alieweza kudhibiti nchi kwa kuwa mpole?
Tuanze na Nyerere, Mandela. Kenyata nk. Je, walikuwa na haiba zipi ktk kudhibiti nchi kisiasa, kiuchumi, kijamii nk
Magufuli alifanikiwa kwenye nini? Labda kuteka na kuua basiWewe nchi ni kubwa na ina watendaji wengi lazima wote wajue msimamo wako kwamba ukizingua kwenye taasisi yako au shirika unatimuliwa kwa aibu lazima tu waogope...mtoa mada hakuna rais mpole atakayefanikiwa africa Mungu ametupa mfano bora wa magufuli kazi kwetu
Kwani hakuna sheria na katiba ndio utumie ubabe?Kwa sisi Waafrika, Viongozi bila kutumia Ubabe kiasi kwa kiasi fulani, hakuna kitakachofanyika kwa mafanikio makubwa.
Ni kwamba, Kiongozi atakuwa anajaza maji kwenye Tank, na wengine kwa wakati huo huo watakuwa watatoboa Tank hilo kwa lengo la kujinufaisha wao wenyewe tu.
South Africa wana katiba nzuri sana, lakini rais wao yuko kwenye skandali za ufisadi karibu kila mwaka, hiyo katiba yako inasaidiaje hapo?Kinacho ongoza nchi ni katiba sio ukali wala upole tatizo viongozi wa kiafrika wanajifanya wakali hili waibe sio kusimamia katiba mfano msv7 magu kagame nk
Huko kuheshimika kukoje bossRais haihitaji kudhibiti nchi, wala haitaji kuwa katili ili watu wamwogope, ni mawazo ya ajabu kabisa.
Lakini haishangazi, hata katika familia zenu wengi wenu mnaogopwa na watoto wenu badala ya kuheshimiwa.