Strawbella
JF-Expert Member
- Mar 24, 2021
- 1,758
- 5,802
Sagitarius na Leo-Very compatible
Very true...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sagitarius na Leo-Very compatible
Hakika hajakosea alooVery true...
😂😂😂😂😂😂Inaskitisha kuona watu hawatoi ushirikiano kwa mganga
Mm sijaona badoMimi tareh 10/04 heruf p
Kipenda roho sasa
04/10/ herufi j
Duuuuh shukrani sana mkuu, nimepata kitu na mengi uliyosema ni kweli kabisa.....!Kwa mtizamo hapa unaonekana wewe na yeye mnaendana kwa asilimia 90 kwa maana ni watu wenye kuendana kiasili ya nyota zenu nyote ni udongo ambapo wewe ni udongo wa pwani na yeye ni mchanga wa fungu hivyo ni watu mnaendana vizuri na pia kindoa mnaingia katika mlango wa 12 yaani ni mlango uliojaa fungo na siri kwako utanufaika sana ukiwa nae na ufuatao ni uchambuzi wenu:
Yeye anaonekana kuvutiwa na makusudio yako katika mahusiano yenu na wewe unafurahia zaidi utulivu wake na upendo kwa ujumla anapokuwa na wewe hujihisi yupo juu na kufarijika zaidi na huvutiwa zaidi na mutikio wako wa mambo yake jinsi unavyokuwa unamakinika nae anajihisi kwako wewe kapata na hata kama bado hajaanza kuonyesha hilo.
Nyote mnashauku sawa za kiardhi na asilia kimwili hisia za pamoja mnakuwa mnaenda vema. Yeye kwako anakuwa kakamatika zaidi kihisia na hujihisi muda wote kwenye mapenzi yeye ni mgeni na wewe ni mwenye kumpokea vema. Pia wivu kati yenu sio tatizo sana kuoneana wivu kwa ziada nyote ni wenye kupenda pesa na ulinzi wa mapenzi hasa kupenda kuwa pamoja pamoja ni watu wenye kutizamia kama wamoja wenye nguvu moja na msiogawanyika mna maelewano ya muda mrefu na mmoja wenu akisema kitu kaelewa basi ni jambo hutoka moyoni nyie wawili ni wenye maridhiano makubwa.
SEHEMU YAKE YA HISIA:
Sehemu zake za hisia ni shingo na koo ndio maeneo ambayo kuna hisia zake kubwa za kiwazimu ikiwa;- utagusa eneo hilo,kumbusu na kutomasa eneo hilo hata kama umekaa nae basi utampandisha kwa kasi sana hisia zake na hasa ukiwa umekaa karibu nae ukawa unamgusa hapo chochote unachosema kinaingia kwenye akili yake na roho yake moja kwa moja kuhusu wewe.
Ukimbusu eneo hilo vizuri na kumng'ata kichokozi akiwa kalala chali na kwenye koo lake basi utaona maajabu.
Fanya mbinu hii pia itakuongezea umaarufu kwake
Mfanyie massage hii ili kuweza kumfanya siku yake yote ajihisi yupo kwenye raha:
(1)Akiwa kalala kwa mgongo wake muwekee mitetemo kwenye shingo yake karibu na mizunguko ya masikio yake kwa kutumia vidole vyako tumia miondoko ya taratibu sana kwa maana sio punda huyu kama kina fulani huyu anataka vitu sensitive rudia hivyo hadi uone vipele vimesimama kwenye mikono yake. (Be very
gentle kuzunguka sehemu ya pipe za hewa kwenye shingo vinginevyo utamniga).
(2) Kumbuka ni mtu mwenye kupenda zaidi kufanyiwa hivyo akiwa kalala kwa tumbo lake hivyo fanya hivyo hadi kukaribia eneo la muunganiko wa uti wa mgongo lakini usitoke nje ya shingo maana umeme utakatika halafu ataona unamtembezea wadudu.
Ukianza kuona vinyweleo vimesimama na vipele basi jua chini hali si shwari wacha niishie hapa na Ramadhan hii nisije nikafanya mambo magumu masaa yamebaki machache.
Ikiwa utamgusa au kumfanyia manjonjo sehemu za shingo yake basi ni mtu mwenye kupata hisia za kiwazimu na wewe eneo lako kubwa la hisia ni maungio yote ya mwilini ikiwa atakupatia sehemu hizo vizuri kama hamjafunga ndoa basi utataka itokee kesho.
Rakims
me 18/6Habari zenu wana ndoa na wenye ndoto za ndoa,
Yawezekana umewahi kusikia kauli maarufu sana inasema;
"Kosea yote usikosee ndoa"
Katika thread hii nitakupa maana halisi na siri iliyojificha nyuma ya kauli hiyo hivyo ukiweza kunitajia tarehe yako na ya mwenza wako na herufi zenu za mwanzo,mchumba,mpenzi na mwanandoa nitakupa taarifa zako na zake na siri zake kimapenzi hivyo utakachojua hapa ni kitu kitakachokusaidia kuimarisha mahusiano yenu au kuyaharibu kabisa.
View attachment 2185484
Yafuatayo nitakutajia;
MATOKEO:
- Tabia zake
- Sehemu yake ya hisia
- Jinsi ya kumfanya azidi kuwa karibu na wewe
- Mtizamo wake kwako
- Mtizamo wako kwake
- Unachopenda akufanyie
- Udhaifu wake
- Na vingine vya ziada
Kwa asilimia 90 nitakayokwambia ni ya kweli kama sivyo basi kuna mmoja kati yenu alidanganya tarehe kwa mwingine,
MFANO WA KUANGALIZIWA
Ili niweze kukuangalizia vizuri andika hivi;
Mimi mwanaume Jina langu (Herufi ya kwanza);
Nimezaliwa tarehe: 14 December mwaka****
Mwezi wangu Jina lake (Herufi ya kwanza)
Kazaliwa tarehe: 24 April mwaka ******
(Kisha unaweza kusema upande gani nikazie zaidi japo sio lazima)
MEMBER WA KWANZA
Ke 24/4 P
Me 14/12 E
Matokeo yake:
MTIZAMO WAKO KWAKE;
Wewe ni mtu mwenye tabia za maji na yeye ni mtu mwenye tabia za udongo kwa mjumuiko huu unaonyesha kabisa nyinyi kuendana ni vigumu na hata kama mnapendana vipi itakuwa dhoruba tu ndani.
Kwa mtizamo anaonekana yeye ni mtu wa kupenda utawala na ukubwa kwa kuongoza mambo/kupelekesha- ambapo wewe unaonekana sio mtu wa kupelekeshwa na hautakubali hilo.
Pia wewe ni mtu wa kuhitaji mabadiriko,anuwai,matukio ambapo hayo humfanya yeye kujihisi tofauti na wewe kwa kuwa yeye ni mtu wa ambaye hujifanya ni mjuaje na incharge wa mambo yanavyokuwa yanakwenda katika miliki yenu na kujiona ni mtawala mzuri wa tabia za nyumbani na hujiona ni mwenye hekima na heshima na imani zaidi kuliko wewe;-
yeye anakuwa ni mtu wa kutaka kufanya mambo ambayo teyari yana uhakika na kutaka kufanya mambo yenye uhakika,
wakati wewe unakuwa upo teyari kufanya chochote kinachowezekana.
Na pia wewe ni mtu wa kusema chochote kinachokujia na nimtu wa kumdondoshea maneno tu randomly yanayokujia kichwani kwa fikra yako ambayo humfanya kuanza kujawa na hasira taratibu. Pia kuna tatizo la pesa katika mahusiano yenu, hiyo ni sababu wewe unataka kuzalisha pesa kwa yanayowezekana leo hali ya kuwa yeye anawaza kuhusu mambo ya kesho (ukifa unaniachaje)
Mna muda mfupi sana kwenye mahusiano yenu.
MTIZAMO WAKE KWAKO:
Mapenzi yenu yanaweza kwenda kama tu ataweza kujikaza vizuri kuwa na wewe au kukuvumilia kwa maana mtizamo wake kwako wewe ni mtu ambaye huvumiliki. wote mnavutiwa zaidi kwa muonekano wa mwenzi wake, kwa tamaa zake yeye alizonazo katika kufanya tendo anakuwa anavutiwa zaidi na ufanyaji wako. Lakini ni mtu inamuwia ugumu katika kuvumilia tabia yako ya kupepesa macho na kutizama mambo mapya(wanawake wa nje) wewe ni mtu wa kuchukulia kila jambo poa poa na rahisi rahisi inapokuja katika maswala ya mahusiano na tendo la ndoa wakati yeye ni mtu muda mwingi anataka kuwa serios kwenye mahusiano na kutawala. hali ya kuwa wewe ni mtu ambaye hutaki kutawaliwa kimapenzi na mtu yoyote hakuna baya kwenu lakini ni watu wenye kupishana mara kwa mara uhawara kwenu inakuwa ni starehe kuliko ndoa. maana mnaweza kukaa kwenye uhawara miaka ila mwezi tu ndoa ikawa ndoana.
Mahusiano yenu ya ndoa yatakuwa ni vichekesho tu.
SEHEMU ZAKE ZA HISIA:
Sehemu zake za hisia ni shingo na koo ndio maeneo ambayo kuna hisia zake kubwa za kiwazimu ikiwa;- utagusa eneo hilo,kumbusu na kutomasa eneo hilo hata kama umekaa nae basi utampandisha kwa kasi sana hisia zake na hasa ukiwa umekaa karibu nae ukawa unamgusa hapo chochote unachosema kinaingia kwenye akili yake na roho yake moja kwa moja kuhusu wewe.
Ukimbusu eneo hilo vizuri na kumng'ata kichokozi akiwa kalala chali na kwenye koo lake basi utaona maajabu.
Fanya mbinu hii pia itakuongezea umaarufu kwake
Mfanyie massage hii ili kuweza kumfanya siku yake yote ajihisi yupo kwenye raha:
(1)Akiwa kalala kwa mgongo wake muwekee mitetemo kwenye shingo yake karibu na mizunguko ya masikio yake kwa kutumia vidole vyako tumia miondoko ya taratibu sana kwa maana sio punda huyu kama kina fulani huyu anataka vitu sensitive rudia hivyo hadi uone vipele vimesimama kwenye mikono yake. (Be very
gentle kuzunguka sehemu ya pipe za hewa kwenye shingo vinginevyo utamniga).
(2) Kumbuka ni mtu mwenye kupenda zaidi kufanyiwa hivyo akiwa kalala kwa tumbo lake hivyo fanya hivyo hadi kukaribia eneo la muunganiko wa uti wa mgongo lakini usitoke nje ya shingo maana umeme utakatika halafu ataona unamtembezea wadudu.
Ukianza kuona vinyweleo vimesimama na vipele basi jua chini hali si shwari wacha niishie hapa na Ramadhan hii nisije nikafanya mambo magumu masaa yamebaki machache.
Ikiwa utamgusa au kumfanyia manjonjo sehemu za shingo yake basi ni mtu mwenye kupata hisia za kiwazimu na wewe ikiwa atajua kucheza na mapaja yako yako basi ataweza kukupeleka mbali sana kihisia hisia zako siwezi kukwambia sana kwa maana wewe unamtizamia yeye.
UTAMVUTIA VIPI:-
Yeye kwanza sio mtu wa papara ni mtu anapenda kama ni utafiki ama mahusiano basi yaanze taratibu kama vile unajenga nyumba mapenzi kwake anataka uanzie msingi kwanza hivyo inakutaka kuwa ni mtu mwenye subira kuweza kummudu kimapenzi na subira wewe muda mwingine ni kitu huwa,
Mbinu;
kwanza kabisa kama ndio unaanza nae basi hakikisha kuwa unakuwa ni mtu wa kwanza kumtafuta na usiende nae kwa pupa kama hujagusa katika kujifanya ni mtu mwenye subira sana basi moja kwa moja hutampata kwa maana kama ni wa dada wazamani huyu atakwambia nisubiri miezi 9 nikufikirie.
Muonyeshe kuwa upo radhi kuwepo muda wote pale anapokuwa anakuhitaji na ujionyeshe kuwa wewe ni mtundu mtundu. Yeye hupenda mtu anaekuwa taratibu taratibu na kama unaweza kumsababisha kucheka cheka basi huna muda mrefu unayoyataka utapata. Pia utaanza kumuona nae ni mtu anautundu utundu na kupenda utani utani na anapenda mtu mwenye kumvutia kwa yale anayoyafikiria akilini kwake yaani unatakiwa kujipendekeza kuuliza unataka niwe vipi?
Tabia zake za kero ndogo ndogo ni mategemeo yake uzifurahie na ujifanye kucheka anapoongea upumbavu au jambo lisilo na maana kwako.
Na kama akisema kwa utani ukajibu kwa utani basi moja kwa moja anakufungulia moyo wake na kuona hakuna mtu kama wewe duniani hapa na anaweza kukuganda kama kupe pia utani wa kimwili kama kumgusa mwili na kumminya minya ni vitu anapenda kama ni mke wako basi jaribu leo hata akinuna ukifanya hivyo anakaa sawa. Ni mtu kama unataka kumtoa basi anapendelea sehemu za hadhi ya juu kidogo na anapenda sehemu anayoenda kuwe kuna watu wanaojua nini wanafanya hasa wapishi. Mnunulie kinyaji kisichokuwa na kilevi ndio mapenzi yake kama sio mlevi lakini kama ni mtumiaji basi utakuta ni mpenzi wa wine.
Mazingira ya nyumbani ukimpikia hata chochote tu hujihisi special sana na hataskia la mtu kuhusu wewe valia mavazi ya kupika unapomuandalia chakula na hakikisha muonekano wako uwe ni safi mfanyie hivyo hata mara moja kwa mwezi utaanza kuona anatoa machozi
Ikiwa mazungumzo yanachelewa basi jitahidi asikushinde kimaongezi na wala usikwame katika kuzungumzia mnayoyapenda hasa akianza kuongelea pesa muhimu tabaka hili ni mwanamke mwenye kupenda pesa na kuigiza hajali pesa.
Pia tengeneza account mbili tatu za bank ili akitizama aone kabisa ni mtu mwenye kushughulika na mambo ya saving hata kama huna pesa atatambua ukipata utatunza.
Usihodhi mazungumzo.
anapoanza kuzungumza usimkatishe na usiwe mzembe katika kutoa sifa akifanya kitu hata cha kipuuzi nyumbani,kwenye gari yake,mapambo ni watu wenye kupenda kusifiwa wanapofanya mambo madogo.
Usisahau kusubscribe channel yangu ili uchangie sh 460 kwenye account yangu ya youtube kama umependa kunilipa maelekezo yangu.
https://www.youtube.com/channel/UCtFJDNV8M2sc7VUPr_miulw
au vilevile usisahau kutuma ya milinda nyeusi hapa kama umeelewa vizuri;
0783930601
Pia wazee wa donation mnaweza kufanya hapo za soda. 🙂
wengine nitaomba niwaandikie kifupi maana maelezo marefu hivi mtihani kuandika.
Rakims
Unaweza kutupa solution ili mambo yabadilike?Karibu mkuu kwa mtizamo unaonyesha wewe ni mwenye tabia za Maji yaliyotulia na yeye ni Upepo wa juu hivyo kwa mfuatano huu wa mahusiano nasikitika kukujuza kuwa hamuendani na mtaacha unless uwe mtumwa wake nayo utavumilia kwa muda kisha yatakushinda utatafuta pengine
Japokuwa ni watu mnapendezana mkiwa pamoja,wabunifu na mapenzi yenu yanaweza kujaa kujidanganya ni watu ambao mkikutana mnaweza kuingia haraka sana kwenye mapenzi na yakawa moto lakini ni short fuse. Wewe unategemewa kuwa ni mtu mwenye kupenda kusaidiwa kihisia katika mapenzi na ni mtu mpole na mkimya mwenye upepo kwa watu tofauti tofauti lakini hutapata kujaliwa kihisia kwake kwa maana yeye hupenda mapenzi ya kujirusha na ya kukimbia kimbia japo anaweza kukuigizia ni mtulivu ni mtu ambaye hata kuvumilia muda mrefu anaweza kukukimbia unless utumie nguvu za ziada pia nyote mnaonekana kupenda kuwa pamoja nyumbani japo wewe kimtizamo wa akili yake anakuona ni mzembe katika kutafuta pesa na hali ya kuwa yeye ni mtu wa kutaka kufurahisha nafsi yake na mwenye matumizi. Mara nyingi akiwa na wewe atajiona kabanika na hana uhuru wa kufanya anayoyataka kitu ambacho humfanya kukuchukia taratibu ni watu ambao hamtoshani kimwili na vile vile kwa kuwa tu mnafikishana basi lakini kama mtakuwa ni marafiki tu wa mbali watu wanawaita wapasha viporo mtaendana.
mnaonekana kuendana tu kwa asilimia 29
SEHEMU ZA HISIA.
Ni mtu mwenye hisia zaidi katika kiuno chake kama unataka kumpumbaza katika tendo basi muombe kucheza cheza nae ili akikatika uwe umemshika kiuno na ukimgusa kisehemu kile wanachotumia kuchoma sindano za matak* basi yeye huhisi raha sana na hisia za kiwazimu na pia anapenda kuoga pamoja hasa ukimsponge eneo hilo na makalio yake
Ukifanya utundu zaidi eneo hilo chochote unachotaka atafanya lakini ndio hivyo mtaishia njiani
Rakims
Kwa mtizamo wewe unaonekana ni upepo wa chini na yeye ni maji yaliyotulia(kisima) kwa muunganiko huu inaonyesha dhahiri kwamba ni watu wawili hamuendani hata kwa kuendana kwenu ni kwa asilimia 9 pekee hivyo kwa hapa hata urafiki tu kwa ushauri huwezi kuwa nae kirafiki hakuna popote ambapo mnaendana maana hata kwenye kukutana kimwili ni asilimia 15 tu hakuna kitu kinaenda pamoja nae rohoni ni mtu hamuendani kwa vyovyote lakini kama tu unataka kujua muunganiko wenu hakuna kwenu nyinyi ni baina ya mbingu na ardhi na hata ukilazimisha sana utajitesa wewe na ndugu,jamaa,marafiki hakuna atakae mkubali labda kwa miujiza ya Mwenyezi Mungu jitahidini kila mtu atizame muelekeo mwingine.Ke ni 7/3 herufi H..Me ni 8/6 herufi R
Habari kwa wewe na yeye nyote mnasimama mlango mmoja wa upepo wa kimbuga kuwa na pacha wa kiroho haimaanishi kwamba ndio kila ja mbo mtaendana hapana unaendana nae mengi isipokuwa nikitaka kukupangia kwa asilimia nitakwambia hivi;Mkuu mimi ni mume jina E tarehe ni 6/12
Mke jina nalo ni E tarehe ni 18/1
Sawa mkuu kwa mtizamo unaonekana ni mtu mwenye mwenendo wa upepo wa kimbunga na yeye ni mchanga mwekundu kwa mtizamo huu tu ni watu ambao hamuendani lakini nitakufafanulia hapa kwa ziada maana mnaendana kwa asilimia 30 tu na tofauti na hii na mkuu aliye pita hapo nyuma ni vile yeye alikuwa kinyume chenu yani yeye alikuwa katika asili ya kinyume cha yako hivyo inakuwa hivi;-Mimi Me 24/1 G
Ke 11/9 M.
Soda nitatuma
Ni elimu inataka hekima sana kuweza kuwa nayo inapatikana katika dini zote mbili,vile vile katika vitabu,vichwani mwa watu,kwa malaika,katika historia,katika majaliwa na mwanzo wake ni kwa mwenyezi Mungu yeye ambaye humpa amtakae na humnyima amtakae ambae humpa mmoja kimoja na mwingine kingine ili mizani iweze kuwa sawa katika ulimwengu na kutegemeana katika mazingira.Duuuuh shukrani sana mkuu, nimepata kitu na mengi uliyosema ni kweli kabisa.....!
Hii elimu wenzetu mnajifunza wapi?