Wewe ni binadamu tu Mzee,huna uwezo wa kujua maisha yangu au ya Mwanadamu mwingine yeyote, Mungu tu ndiye mjuzi wa mambo yote hata yaliyofichika.Rakims usikubali hata siku moja kufananishwa na MUNGU,mtu akikutaka msaada au kukushukuru kana kwamba wewe ndio mjuzi wa mambo yote Kataa kwa nguvu zako zote mwambie hivi,"Mimi ni kiumbe mdogo tu, muombe MUNGU mweza wa yote na km ni kushukuru mwambie amshukuru MUNGU".
Hujaniona kwenye maisha ya kawaida tofauti na humu na ungeweza kukutana na watu ambao huwa nazungumza nao na kuwasaidia kwa kile nilichojaliwa sehemu niliyoweka mark nyekundu katika vile ambavyo hujitoa kwenye (kufuru na shirki) nikiwa nazungumza na mtu basi hicho ulichosema ni asilimia 5.0% na asilimia zilizobaki humuelewesha na kumfundisha vingi kwa hekima hivyo usinihukumu kwa kuwa hunifahamu na wala sina haja ya kujitetea kwako kwa maana wengi wenu hujivisha kivuli cha imani hali ya kuwa imani yenyewe hamna.
Mfano wewe unaniona mimi kumuelekeza mtu kutokukosea mahala pa kuoa kwa mtizamo wa kwamba hapo anapokwenda atatokea na yeye mwenyewe akakubali tabia zake na alizomuona huyo mwanamke. Nafanya makosa na najivisha vazi la Mungu kwa uelewa wako finyu sana lakini kusaport ngono/zinaa unaona ni sawa na nikitendo cha kutangaza kwamba umewahi kuzini au unazini rejea ya uzi wako
Wapendwa habari za jioni. Bila shaka kila mmoja wetu ameshashiriki Mapenzi mara kadhaa iwe na mke/mume wako au mchumba au mchepuko au Malaya tu. Na kabla ya kumpata ulikuwa umemjengea picha fulani kuwa atakuwa na ladha fulani ya pekee na sifa kibao kutokana tu na mwonekano wake wa nje, lakini...
Na kama haitoshi ukasema kabisa kwamba umewahi kuzini na wanawake tofauti tofauti warefu, wafupi,wenye lipsi nyembamba n.k rejea uzi wako
Habari za mchana wana JF wenzangu? Nilipokuwa mdogo niliwahi kusikia kuwa Mwanamke mwenye maumbile fulani kwa nje basi ukimvua nguo mashine yake aka Papuchi inakuwa na maumbile ya mtindo fulani; Matharani niliwahi kusikia kuwa Mwanamke mwenye mdomo wa kupasuka na lipsi nene anakuwa na uke...
Pia
Wanajukwaa, Heri ya Krismas na Mwaka mpya....!!!!, Basi km Kichwa kinavyojieleza, Hii kitu nimeinote Sehemu, halafu na mimi nika proove kwa kufanya Utafiti Wangu.Ni kwamba Mabinti wana Maumbile Tofauti na tabia zao hutofautiana pia kadri ya Maumbile yao, Tafadhari "USIBISHE ",Tiririka nami...
Still bado unaona ninachofundisha ni upotoshaji na najivika vazi la uungu ila wewe unasahau amri kumi za Mungu na Aya inayokataa msizini wala mafundisho yanayokataza zinaa whom ever the imbic*le you are katika imani kama haitoshi unaona sifa kwa kutangaza na kuomba ushauri jinsi ya kutengeneza Ulevi ni unashangaa wanaokushauri uache utamu wa Ulevi.
Rejea katika uzi wako
Hivi km kuna Vitamini zote hizo, halafu bado mtu anakwambia eti "Usinywe ". Sent using Jamii Forums mobile app
Na kama haitoshi huyo Mungu unaetuletea unafiki wa kujifanya unamjua sana ukaenda kumkosoa kwa kutangaza viumbe wenzako aliyowaumba kwa kuwaita wana sura ngumu ya kwako laini ipo wapi uliiweka tukaona?
Rejea katika uzi wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana nilikwambia kwa the next quote utakayotoa nitajua kabisa ni mjinga au mpuuzi kiasi gani na wala hukulifikiria hilo mara mbili watu wanaweza kuniona mbaya kukuita mpumbavu lakini wakipitia rejea zako watajua ni kwa nini.
Na vile ulivyokuwa low thinker na hutaki kuelewa hata mtu akijaribu kukuelewesha upeo wako mdogo na akili yako ya kitoto tunaiona pale ulipoanzisha thread yako ya KULAMBA MAKAMASI
Nikiwa mdogo nilikuwa nasikia raha kujilamba Kamasi, hadi Mama alikuwa ananigombeza. Weeee mtoto acha uchafu, Kwanini unalamba makamasi???. Basi taratibuuuu na nyanyua t-shirt au shati langu nililolivaa najipangusa. Nikipiga bancha, makohozi ninayameza, halafu nasikia km matamu vile.Yaani...
Sikulaumu kufanya utoto huo kwa maana ya umri uliokuwa nao lakini nakushangaa kwa akili unazojiona upo nazo mwenyewe umebarikiwa unamjua Mungu still bado unapost akili zako za makamasi halafu unataka kupinga hoja ambayo hujui mwanzo wake wala mwisho hata maana yake.
Kuna member aliwahi kuzungumza humu watu wanaotoka jamii Intelligence jitahidini kuongea nao kwa hekima watawajibu kwa hekima kwa maana lile jukwaa lina watu wake sidhani hata kama uliona thread inayosema hivyo still bado unaquote pumba mara ya pili.
Haya r
udia tena mara ya tatu ndio tujue kweli wewe Akili kamasi.
Rakims