Nitajie tarehe yako na ya mwenza wako nikwambie mpo vipi na hatima yenu, siri yake n.k

Nitajie tarehe yako na ya mwenza wako nikwambie mpo vipi na hatima yenu, siri yake n.k

Mimi Ni Ke, herufi inaanzia H, kuzaliwa 24/04
Yeye Me, herufi inaanzia N, kuzaliwa 05/04

Status: Wachumba
Hapo matatizo matupu, giza mbele yenu!

Kila mtu anawaza lake chuki bila sababu
Wiki hamsemeshani, ndugu zake hampatani lakini pia hakuambia hatima yenu nini.. kila siku kauli za subiri..

Tafadhali niPM nikumalizie na tiba
 
Me herufi J tarehe 15.08
Me herufi C tarehe 13.12
Kwako wewe ni mwenye moto wa mkaa na yeye ni mwenye moto wa nyasi mnaendana sana kiasili na mnakuwa na mvuto mzuri japo hujasema aina ya mahusiano fuata maelekezo ninaposema kuwe na details
Fuata maelekezo ya nyuzi nzima ili niweze kukujibu kwa ufasaha.

Tunaendelea wakuu tuliishia wapi?
 
Ukiona sijakujibu jua hujakidhi vigezo vya kuweza kuangaliziwa
 
Huyu mtu anabishan sana na anatakunitawala niendane nae vip
Mimi 19/06 (mimi ndio mwanaume)
Jina mwanzo ni E
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Nijue udhaifu wake na nini nifanye awe karibu nami

Yeye 23/05jina mwanzo L
 
Back
Top Bottom