Nitajie tarehe yako na ya mwenza wako nikwambie mpo vipi na hatima yenu, siri yake n.k

Nitajie tarehe yako na ya mwenza wako nikwambie mpo vipi na hatima yenu, siri yake n.k

Wawili nyie ni wenye kuendana na maarufu sana katika historia za kuendana kwa mahusiano haya wote mnakuwa mnashare ladha moja ya riwaya, kusafiri, kukutana na watu wapya,

kwa maana nyote wawaili ni watu msio tabirika. Mambo hayawezi kuwa laini siku zote lakini kwa suala la mapenzi kwa wawili nyie utakuta kila siku mambo yanaenda vema.

kwa maana yeye anakuwa anavutika sana na wewe kwa akili yako na tabia ya kuwa na furaha.

Kama wewe ukiwa sio mwenye kubadirika kwa kiasi fulani maana una katabia kako ka uzinzi wa kisiri siri ukiweza kukamudu hako. Japokuwa kwa yeye tabia hii anaijua ila haichukulii uzito sana kama watu wengine japo machoni hawezi kukuonyesha hilo.

Lakini yey ni moja kati ya watu anapokuwa na wewe anaweza kuonyesha tabia za wivu lakini ukimuondoka atasema muacheni akale maisha lakini kwangu atarudi.

Na nyinyi hata kama mahusiano yakifa basi mna uwezo mkubwa wa kuendelea kuwa marafiki na hata mara zingine ikitokea mtakuwa mnapasha kiporo.

Katika ndoa,

Nyote wawili mnakuwa ni wenye kufurahia ukaribu wa mwenzie zaidi ya ukaribu wa kimahaba

Rakims
Dah asante 😂😂

Kwahiyo tuendelee na huba letu
Hatupotezeani muda?
 
Mimi B. 26/6 me
Yeye E. 27/7 ke


Sent from my Pixel 3 using JamiiForums mobile app
Katika mahusiano haya wewe ni maji ya bahari yaani kaa hivyo unahitajika kuzoea hali ya yeye moto wa mkaa katika mitoko kutoka toka, uchangamfu. kitofauti,vinginevyo, ukarimu wake, uridhie moyo wake wa kujitolea katika kusaidia,

Simba mwenye nguvu ni yeye na ndicho kitakacho kufanya wewe ujihisi kukosa usalama wa mapenzi na kwenye mahusiano haya ndicho unachokitafuta.

wewe unaonekana ni mwenye uelewa wa ajabu na kuelewa kwako mambo bila kukurupua na uwezo wako mkubwa wa kulea na kutuliza moto ndicho kinachoweza kumshughulikia yeye ambaye ni mwenye kiburi na mkali

Pongezi na kumsifu hata kama kafanya kitu cha kijinga ndio vitu vinavyomvutia zaidi kwako na mengi ya kubembeleza ndiyo yanahitajika kuweka kumuweka chini kama maji ya mtungi yeye ambaye ana sifa za kuunguruma na pale anapounguruma ( yaani sifa na kujidai) basi ni sehemu ambazo anaridhika zaidi ukimfanyia hayo wewe na yeye ni mfano wa karata ya strength katika tarot ukiwa unasoma utaona kuna karata inaitwa strength imagine wewe ni huyu mwanamke anaemshika simba mdomo na kumuinamisha ndivyo utakavyo mfanya asisikie la mtu kuhusu wewe.





Yeye anatawala sana inapokuja kwenye swala la tendo mnapokuwa chumbani na hupenda kukaa wazi chumbani; Lakini tabia yake ya kuwa moto kila muda ni dawa nzuri sana kwako na unajihisi kitulizo kikubwa kwake.

Mahusiano baina yenu ni mazuri sana na yakupendeza isipokuwa element zinazowasimamia haziendani yeye ni mfalme na wewe ni malkia maana yeye anatawaliwa na jua na wewe unatawaliwa na mwezi ukianza kuonyesha dalili za ukali unampoteza vile vile mapenzi kwenye ni moto moto isipokuwa maelewano kwenu yaani msaada kinyota kila mtu anatakiwa ashike lake vingenevyo mafanikio yapo mbali relationship hizi nyingi usaliti wake huwa ni maafa na mwisho wenu kila mmoja ana mapenzi makubwa sana na mwenzie ni sawa na mahusiano baina ya mtu mweusi na mtu mweupe akipenda kapenda na akiacha kaacha hamna faida kinyota isipokuwa kwa mapenzi na tulizo la roho basi endelea kujiweka hapo mkuu.

Rakims
 
Huyu mwingine mkuu , unisaidie Tena

Mimi /me erufi ya mwanzo ni E
Tareh 19/06

Ke
Amezaliw November katik tareh yake nimesahau

Herufi ya Jina ni D

Anadai ananipend ila mzgo atak kunipa huko mbele nitakujafanikiw kweli
(Ana miak20 anadai ajawah fanya sex)
 
Me 03 sept J
Ke 03 august P
Mahusiano haya ni ya watu wawili wasioendana sana hasa ukizingatia tabia ya majivuno na kujiona ya yeye ni machukio kwako na utajikuta hupendezewi na kutaka kwake kutukuzwa kwa kila jambo.

Wewe ni mwenye kujithamini na kujiwekea uzio na ubinafsi wenye manufaa yako binafsi utakuta ni fedheha kubwa kwake yeye mwenye kupenda kuwa juu na kutukuzwa pia ukimuignore kidogo tu hata akiwa anaongea basi gubu lake huta kuja kuamini.

Wewe ni mtu ambaye huna uwezo wa kulea mtu ambaye ni mwenye utukufu wa ndani ya roho yake.

Yes, yeye ni mtu mwenye ukubwa ndani ya roho yake yaani ana asili ya malikia kama ni mwanamke na kama ni mwanaume basi ana asili ya kifalme roho yake ni tajiri na sio tajiri wa kawaida ni tajiri fahari, kabla ya kuondokewa na uhai anatarajiwa kuwa tajiri.

Hivyo kwa wewe ambaye wakati huna hujulikani na wakati unachohujulikani itakuwa ngumu kuishi na falme hii maarufu.

Pia wewe huwezi kumfikia hadhi yake jinsi alivyojiweka hata kama mkikaa nae utaona anakuzidi mengi na vile vile wewe sio mtu wa kutoa sifa kwake yaani kumsifu sifu na yeye hakuna kitu kinamtia nyege kama kusifiwa ukimsifu sifu basi utaona unamlainisha kila kukicha lakini mtu akikwambua jua zamani lilikuwa linachomoza mashariki na kuzama magharibi siku hizi linazama mashariki kubali ila tabia ya mtu huwa haibadiriki.

Ndivyo hivyo hivyo kwako utaushi maisha ya maigizo hadi lini ipo siku gari itawakia namba 5 hapo hapo kila mtu ataangalia uelekeo wake.

Wote wawili ni wenye kujitegemea sana, sio wenye kupenda kutegemea watu

lakini yeye anaonyesha hii kwa njia ya hasira, yaani kujitegemea kwake au maendeleo yake utaona anatumia pesa nyingi hata kwa vitu visivyo na faida yeye haoni hasara kuwa fahari yupo radhi anunue kitu cha thamani kubwa au afanye jambo kubwa pasipo kujali atalala njaa.

wewe ni mchumi na mwenye kujibana sana.

Hivyo yeye hapendi watu wa hivyo na vile vile utakuwa unampotezea muda kama yeye anashindwa kukwambia mimi nakwambia yaliyopo kwake linapokuja katika suala la matumizi hakuna anachokuelewa sawa na kupigia mbuzi gitar labda akuskilize tu kisha akitoka hapo vimeyayuka ana roho ya kitajiri na ukimvumilia mtakuwa matajiri baadae.

Mahusiano yenu ni mafupi sana kuliko uhai wa mayfly.

Rakims
 
Huyu mwingine mkuu , unisaidie Tena

Mimi /me erufi ya mwanzo ni E
Tareh 19/06

Ke
Amezaliw November katik tareh yake nimesahau

Herufi ya Jina ni D

Anadai ananipend ila mzgo atak kunipa huko mbele nitakujafanikiw kweli
(Ana miak20 anadai ajawah fanya sex)
Mtazamo unaonyesha kuwa wewe una asili ya upepo wa pumzi na yeye ni maji ya moto hivyo kwa mtizamo huu Unaonekana ni mwenye kuwa na mawazo kuhusu yeye ambaye ni mtu mwenye wivu sana tabia ya kuwa una muwazia na kumuonyesha humfanya yeye kujihisi kupendwa na kuridhiwa ambacho ni kitu kingekuwa kizuri kama mngezidi kuwa pamoja lakini ukweli ni kwamba wewe na yeye hamna maisha marefu ya mahusiano hasa ukizingatia mapenzi yenu makuu yatakuwa yanaonekana wakati tu wa kuombana tendo la ndoa au ngono kisha baada ya hapo mambo hubadirika na hiyo tu pale wewe/yeye mmoja wenu atakapo shtuka na kuona kuwa tendo sio kila kitu kuna vitu vingine vya kulea mahusiano hapo ndio changamoto huanza kutokea;-
Kama ambavyo tukirejea katika tabia zake ni mtu wa shauku, mwenye kutaka kujieleza kimwili(sex) mwenye kutaka mambo kwa madai na mwenye wivu na tabia isiyobadirika.

Hali ya kuwa tabia yako wewe ni kigeugeu,mtu wa kuruka ruka,na wa mambo ya juu juu, na mwenye moyo mwepesi na pia mwenye sura mbili ni dalili ya kwanza tu inayoonyesha kutokuelewana kwenu kitabia.

Pili wewe unakuwa ni mtu wa kupenda mambo ya kijamii ikiwa ni pamoja na mitandao ya kijamii wakati yeye unakuta anapenda faragha. Hivyo hii huanza kupelekea yeye kuwa na mashaka kuhusu wewe na utaona kila mara anataka kukushakia vitu hata kama huna mpango navyo.

Haitachukua muda mrefu kwako kuchoshwa na kuhisiwa maovu na yeye ambacho ni kitu kinathibitisha kuwa haitachukua muda nyinyi kuachana.

SEHEMU YAKE YA HISIA;

Wote wenye asili ya maji ya moto sehemu zao za hisia wake kwa waume ni mitalimbo na uke nao hupenda sana kuchezea sehemu hizo na ni wenye umaarufu sana wa kujichua na punyeto.

Wanapokuwa bored zaidi huamua kuanza kuchezea tupu zao ndicho kitu wanapenda na kujikagua au kushika eneo hilo na katika asilimia 100% 20 tu ndio hawana matatizo eneo hilo.

NB:
Kwenye suala la yeye kutokufanya sex ni uongo
Rakims
 
Narudia

Me 11/June/E
Ke 23/March/F
Chochote unachosaidiwa bure hakijarishi kina udogo kiasi gani unatakiwa uwe na hekima katika kuomba usiwe na upumbavu akilini wa kulazimisha kama umenilipa.

Anyway,

MAJIBU
Hii nguvu ya mahusiano iliyohai, mahusiano yenu tunasema ni watu wawili wenye nguvu sana katika mapenzi inakuja katika mahusiano.

kwa maana mnakuwa ni wenye urafiki mzuri lakini pia wapenzi wazuri yaani bora.

Mnaendana pia katika mambo mapya na wote mnakuwa na msisimko wa kila mmoja anaenjoy company ya mwenzie na kucheka pamoja, kama vile maisha ya kijamii.

Yeye atafanya tu maamuzi kwa kuwa wewe utakuwa kwenye ugumu katika jambo hilo.

katika mahusiano yenu mtakuwa ni wenye kupendeza hasa ukija katika suala la chumbani kila mmoja kati yenu anatamani kuwa juu ya mwenzie yaani yeye ndio amshughulikie mwingine.

Na yeye atakupa kile unachotaka mfululizo.

katika kutawala yeye atakuwa anakupa upendo thabiti unaohitaji na hii itasaidia katika tabia yako ya kutamani kuonja onja nje itapungua na kukufanya uwe madhubuti au kujikita na yeye.

Na vile vile ni mwenza ambaye baadae atakutawala sana akili na roho yako.

Unaweza usisikie la mtu.

Rakims
 
Sawa kwa mtizamo huu unaonekana ni mtu mwenye asili ya upepo wa kimbunga na yeye anaonekana ana asili ya maji yaliyotulia
Hivyo kwa mtizamo ni watu ambao hamuendani maana mnaendana kwa asilimia 38 ambazo ni ndogo sana katika mahusiano yenu na ufuatao ni uchambuzi wako;

Unaonekana ni mtu mwenye kuvutiwa na haiba yake ya kimapenzi na vile vile yeye anavutiwa zaidi na maadili na maono yako dimbwi lake la mawazo anaonekana kuliwazika zaidi na chochote kile ambacho wewe unataka kwake na ni watu wenye uwezo mzuri wa kufikishana kwenye ladha ya mapenzi. Ingawa kwa vyovyote vile mnavyokuwa mambo huanza kwenda kombo pale ambapo yeye huanza kutaka na kulazimisha zaidi wewe kwenda katika ulimwengu wake wa ndoto za mchana katika mapenzi na kuota kufanya mambo makubwa na kukulazimisha kufanya hata kama huna uwezo navyo yeye ni mtu mwenye kutaka mtu ambaye atakuwa thabiti katika kumuongoza kila wakati na kumpeleka kimazungumzo anavyotaka yeye na ni uwe mtumwa wake zaidi ndivyo yeye anavutika zaidi hivyo mtu anaemfaa zaidi huyu ni wenzie either mwenye maji moto au maji ya bahari kwa wewe ni bora uangalie uelekeo mwingine kwa maana hapo utapasuka roho.

SEHEMU ZAKE ZA HISIA;

Miguu ndio sehemu yake kuu ya hisia ukiweza kucheza nae vizuri hapo unaweza kupewa unachotaka.
Shukrani?.
 
Nyote wawili mna mengi mnayoendana.

Wote ni wenye kupenda maisha ya nyumbani, wapenda hisia, na hasa kwenye kufanya mapenzi.

Wewe ni mwenye kupenda kwenda pole pole na na vile vile kupenda vitu asilia ambapo ni mvuto mkubwa kwake katika ugonjwa wake wa kuwa na mood zenye kubadirika badirika, ingawa muda mwingine kupenda kwake kuongea kwa uwazi kunakutaka wewe kuwa makini sana kutokumharibu hisia zake kwa maana ni mtu yupo kihisia zaidi na ukimuingia ndani zaidi utaona ni mtu wa kupenda kulia, yeye anataka mtu ambaye ni mwenye nguvu mwenye nyota yako kwa ajili ya kumtegemea kwa kila jambo, baadae utaona ukimtimizia atakupa uaminifu mkubwa wa mapenzi na kukwambia kila siri yake hata wanaomtaka atakuorodheshea, wewe ni mwenye kubana uchumi na kutunza vema na yeye pia ni mtu mwenye kupenda kujibana na kutunza akiba hivyo nyote wawili mna lengo moja au malengo sawa.

Masilahi yenu pamoja na matamanio yenu sawa basi huleta uhusiano mzuri wenye baraka, ukimuoa huyu hujapoteza.

Rakims
Daaah yote ni sawa kwa 100% na tayari tushaoana.
 
Asili yako ni watu wenye kukubali watu kama wao, hivyo kwa nyie wawili mnaendana sawa nyota kitu kinachopelekea kuwa ni watu wenye kutokukoseana heshima na kuwakilishana,

Nyote wawili ni wenye tahadhari, wenye kujiheshimu na wenye kufanya kazi kwa bidii na kupenda kutunza akiba. Lakini hata wenye nyota sare mara nyingine wanaweza kuwa na changamoto.

Nyie ni wenye kuendana kingono ama tendo la ndoa inategemea na state ya mahusiano, Lakini katika masuala mengine kila mmoja ni mwenye kusababisha mwenzie kuwa na huzuni na mwenye kukata tamaa,

Kati yenu hakuna anaeweza kumpumzisha mwenzie hata kupumzisha tu nywele yake ukimaliza hili linakuja hili,

Mkiwa ni wa kuhusiana tu yaani mahusiano ya kawaida tu kama mtu na hawara yake kila mtu ana mambo yake mtaona mpo sawa japo sio sawa kabisa kupitiliza. Safari ya mapenzi yenu kadri inavyosogea mbele ndivyo inavyozidi kuwa kwenye mteremko mkali saa yoyote mapenzi yanakufa unabaki ujamaa.

Rakims
Aiseeeh... unajuaje haya mambo mkuu..
 
Mke tarehe 19 September
Mume tarehe 31 July

Tiririka hapo Mkuu Rakims.
Natanguliza shukrani nyingi.
 
Mimi [emoji1485]Me 13/12 G
Yeye[emoji1485] Ke 20/12 R

Mkuu Rakims[emoji1488]
 
MTIZAMO WAKO KWAKE;

Wewe ni mtu mwenye tabia za maji na yeye ni mtu mwenye tabia za udongo kwa mjumuiko huu unaonyesha kabisa nyinyi kuendana ni vigumu na hata kama mnapendana vipi itakuwa dhoruba tu ndani.
Kwa mtizamo anaonekana yeye ni mtu wa kupenda utawala na ukubwa kwa kuongoza mambo/kupelekesha- ambapo wewe unaonekana sio mtu wa kupelekeshwa na hautakubali hilo.
Pia wewe ni mtu wa kuhitaji mabadiriko,anuwai,matukio ambapo hayo humfanya yeye kujihisi tofauti na wewe kwa kuwa yeye ni mtu wa ambaye hujifanya ni mjuaje na incharge wa mambo yanavyokuwa yanakwenda katika miliki yenu na kujiona ni mtawala mzuri wa tabia za nyumbani na hujiona ni mwenye hekima na heshima na imani zaidi kuliko wewe;-
yeye anakuwa ni mtu wa kutaka kufanya mambo ambayo teyari yana uhakika na kutaka kufanya mambo yenye uhakika,
wakati wewe unakuwa upo teyari kufanya chochote kinachowezekana.
Na pia wewe ni mtu wa kusema chochote kinachokujia na nimtu wa kumdondoshea maneno tu randomly yanayokujia kichwani kwa fikra yako ambayo humfanya kuanza kujawa na hasira taratibu. Pia kuna tatizo la pesa katika mahusiano yenu, hiyo ni sababu wewe unataka kuzalisha pesa kwa yanayowezekana leo hali ya kuwa yeye anawaza kuhusu mambo ya kesho (ukifa unaniachaje)
Mna muda mfupi sana kwenye mahusiano yenu.

MTIZAMO WAKE KWAKO:
Mapenzi yenu yanaweza kwenda kama tu ataweza kujikaza vizuri kuwa na wewe au kukuvumilia kwa maana mtizamo wake kwako wewe ni mtu ambaye huvumiliki. wote mnavutiwa zaidi kwa muonekano wa mwenzi wake, kwa tamaa zake yeye alizonazo katika kufanya tendo anakuwa anavutiwa zaidi na ufanyaji wako. Lakini ni mtu inamuwia ugumu katika kuvumilia tabia yako ya kupepesa macho na kutizama mambo mapya(wanawake wa nje) wewe ni mtu wa kuchukulia kila jambo poa poa na rahisi rahisi inapokuja katika maswala ya mahusiano na tendo la ndoa wakati yeye ni mtu muda mwingi anataka kuwa serios kwenye mahusiano na kutawala. hali ya kuwa wewe ni mtu ambaye hutaki kutawaliwa kimapenzi na mtu yoyote hakuna baya kwenu lakini ni watu wenye kupishana mara kwa mara uhawara kwenu inakuwa ni starehe kuliko ndoa. maana mnaweza kukaa kwenye uhawara miaka ila mwezi tu ndoa ikawa ndoana.
Mahusiano yenu ya ndoa yatakuwa ni vichekesho tu.

SEHEMU ZAKE ZA HISIA:
Sehemu zake za hisia ni shingo na koo ndio maeneo ambayo kuna hisia zake kubwa za kiwazimu ikiwa;- utagusa eneo hilo,kumbusu na kutomasa eneo hilo hata kama umekaa nae basi utampandisha kwa kasi sana hisia zake na hasa ukiwa umekaa karibu nae ukawa unamgusa hapo chochote unachosema kinaingia kwenye akili yake na roho yake moja kwa moja kuhusu wewe.

Ukimbusu eneo hilo vizuri na kumng'ata kichokozi akiwa kalala chali na kwenye koo lake basi utaona maajabu.
Fanya mbinu hii pia itakuongezea umaarufu kwake

Mfanyie massage hii ili kuweza kumfanya siku yake yote ajihisi yupo kwenye raha:

(1)Akiwa kalala kwa mgongo wake muwekee mitetemo kwenye shingo yake karibu na mizunguko ya masikio yake kwa kutumia vidole vyako tumia miondoko ya taratibu sana kwa maana sio punda huyu kama kina fulani huyu anataka vitu sensitive rudia hivyo hadi uone vipele vimesimama kwenye mikono yake. (Be very
gentle kuzunguka sehemu ya pipe za hewa kwenye shingo vinginevyo utamniga).

(2) Kumbuka ni mtu mwenye kupenda zaidi kufanyiwa hivyo akiwa kalala kwa tumbo lake hivyo fanya hivyo hadi kukaribia eneo la muunganiko wa uti wa mgongo lakini usitoke nje ya shingo maana umeme utakatika halafu ataona unamtembezea wadudu.
Ukianza kuona vinyweleo vimesimama na vipele basi jua chini hali si shwari wacha niishie hapa na Ramadhan hii nisije nikafanya mambo magumu masaa yamebaki machache.

Ikiwa utamgusa au kumfanyia manjonjo sehemu za shingo yake basi ni mtu mwenye kupata hisia za kiwazimu na wewe ikiwa atajua kucheza na mapaja yako yako basi ataweza kukupeleka mbali sana kihisia hisia zako siwezi kukwambia sana kwa maana wewe unamtizamia yeye.

UTAMVUTIA VIPI:-
Yeye kwanza sio mtu wa papara ni mtu anapenda kama ni utafiki ama mahusiano basi yaanze taratibu kama vile unajenga nyumba mapenzi kwake anataka uanzie msingi kwanza hivyo inakutaka kuwa ni mtu mwenye subira kuweza kummudu kimapenzi na subira wewe muda mwingine ni kitu huwa,
Mbinu;
kwanza kabisa kama ndio unaanza nae basi hakikisha kuwa unakuwa ni mtu wa kwanza kumtafuta na usiende nae kwa pupa kama hujagusa katika kujifanya ni mtu mwenye subira sana basi moja kwa moja hutampata kwa maana kama ni wa dada wazamani huyu atakwambia nisubiri miezi 9 nikufikirie.
Muonyeshe kuwa upo radhi kuwepo muda wote pale anapokuwa anakuhitaji na ujionyeshe kuwa wewe ni mtundu mtundu. Yeye hupenda mtu anaekuwa taratibu taratibu na kama unaweza kumsababisha kucheka cheka basi huna muda mrefu unayoyataka utapata. Pia utaanza kumuona nae ni mtu anautundu utundu na kupenda utani utani na anapenda mtu mwenye kumvutia kwa yale anayoyafikiria akilini kwake yaani unatakiwa kujipendekeza kuuliza unataka niwe vipi?

Tabia zake za kero ndogo ndogo ni mategemeo yake uzifurahie na ujifanye kucheka anapoongea upumbavu au jambo lisilo na maana kwako.
Na kama akisema kwa utani ukajibu kwa utani basi moja kwa moja anakufungulia moyo wake na kuona hakuna mtu kama wewe duniani hapa na anaweza kukuganda kama kupe pia utani wa kimwili kama kumgusa mwili na kumminya minya ni vitu anapenda kama ni mke wako basi jaribu leo hata akinuna ukifanya hivyo anakaa sawa. Ni mtu kama unataka kumtoa basi anapendelea sehemu za hadhi ya juu kidogo na anapenda sehemu anayoenda kuwe kuna watu wanaojua nini wanafanya hasa wapishi. Mnunulie kinyaji kisichokuwa na kilevi ndio mapenzi yake kama sio mlevi lakini kama ni mtumiaji basi utakuta ni mpenzi wa wine.

Mazingira ya nyumbani ukimpikia hata chochote tu hujihisi special sana na hataskia la mtu kuhusu wewe valia mavazi ya kupika unapomuandalia chakula na hakikisha muonekano wako uwe ni safi mfanyie hivyo hata mara moja kwa mwezi utaanza kuona anatoa machozi
Ikiwa mazungumzo yanachelewa basi jitahidi asikushinde kimaongezi na wala usikwame katika kuzungumzia mnayoyapenda hasa akianza kuongelea pesa muhimu tabaka hili ni mwanamke mwenye kupenda pesa na kuigiza hajali pesa.

Pia tengeneza account mbili tatu za bank ili akitizama aone kabisa ni mtu mwenye kushughulika na mambo ya saving hata kama huna pesa atatambua ukipata utatunza.
Usihodhi mazungumzo.
anapoanza kuzungumza usimkatishe na usiwe mzembe katika kutoa sifa akifanya kitu hata cha kipuuzi nyumbani,kwenye gari yake,mapambo ni watu wenye kupenda kusifiwa wanapofanya mambo madogo.

Rakims
Asante ubarikiwe

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Chochote unachosaidiwa bure hakijarishi kina udogo kiasi gani unatakiwa uwe na hekima katika kuomba usiwe na upumbavu akilini wa kulazimisha kama umenilipa.

Anyway,

MAJIBU
Hii nguvu ya mahusiano iliyohai, mahusiano yenu tunasema ni watu wawili wenye nguvu sana katika mapenzi inakuja katika mahusiano.

kwa maana mnakuwa ni wenye urafiki mzuri lakini pia wapenzi wazuri yaani bora.

Mnaendana pia katika mambo mapya na wote mnakuwa na msisimko wa kila mmoja anaenjoy company ya mwenzie na kucheka pamoja, kama vile maisha ya kijamii.

Yeye atafanya tu maamuzi kwa kuwa wewe utakuwa kwenye ugumu katika jambo hilo.

katika mahusiano yenu mtakuwa ni wenye kupendeza hasa ukija katika suala la chumbani kila mmoja kati yenu anatamani kuwa juu ya mwenzie yaani yeye ndio amshughulikie mwingine.

Na yeye atakupa kile unachotaka mfululizo.

katika kutawala yeye atakuwa anakupa upendo thabiti unaohitaji na hii itasaidia katika tabia yako ya kutamani kuonja onja nje itapungua na kukufanya uwe madhubuti au kujikita na yeye.

Na vile vile ni mwenza ambaye baadae atakutawala sana akili na roho yako.

Unaweza usisikie la mtu.

Rakims
Shukrani

Sehemu yake ya hisia zaidi za mapenzi
 
Mtazamo unaonyesha kuwa wewe una asili ya upepo wa pumzi na yeye ni maji ya moto hivyo kwa mtizamo huu Unaonekana ni mwenye kuwa na mawazo kuhusu yeye ambaye ni mtu mwenye wivu sana tabia ya kuwa una muwazia na kumuonyesha humfanya yeye kujihisi kupendwa na kuridhiwa ambacho ni kitu kingekuwa kizuri kama mngezidi kuwa pamoja lakini ukweli ni kwamba wewe na yeye hamna maisha marefu ya mahusiano hasa ukizingatia mapenzi yenu makuu yatakuwa yanaonekana wakati tu wa kuombana tendo la ndoa au ngono kisha baada ya hapo mambo hubadirika na hiyo tu pale wewe/yeye mmoja wenu atakapo shtuka na kuona kuwa tendo sio kila kitu kuna vitu vingine vya kulea mahusiano hapo ndio changamoto huanza kutokea;-
Kama ambavyo tukirejea katika tabia zake ni mtu wa shauku, mwenye kutaka kujieleza kimwili(sex) mwenye kutaka mambo kwa madai na mwenye wivu na tabia isiyobadirika.

Hali ya kuwa tabia yako wewe ni kigeugeu,mtu wa kuruka ruka,na wa mambo ya juu juu, na mwenye moyo mwepesi na pia mwenye sura mbili ni dalili ya kwanza tu inayoonyesha kutokuelewana kwenu kitabia.

Pili wewe unakuwa ni mtu wa kupenda mambo ya kijamii ikiwa ni pamoja na mitandao ya kijamii wakati yeye unakuta anapenda faragha. Hivyo hii huanza kupelekea yeye kuwa na mashaka kuhusu wewe na utaona kila mara anataka kukushakia vitu hata kama huna mpango navyo.

Haitachukua muda mrefu kwako kuchoshwa na kuhisiwa maovu na yeye ambacho ni kitu kinathibitisha kuwa haitachukua muda nyinyi kuachana.

SEHEMU YAKE YA HISIA;

Wote wenye asili ya maji ya moto sehemu zao za hisia wake kwa waume ni mitalimbo na uke nao hupenda sana kuchezea sehemu hizo na ni wenye umaarufu sana wa kujichua na punyeto.

Wanapokuwa bored zaidi huamua kuanza kuchezea tupu zao ndicho kitu wanapenda na kujikagua au kushika eneo hilo na katika asilimia 100% 20 tu ndio hawana matatizo eneo hilo.

NB:
Kwenye suala la yeye kutokufanya sex ni uongo
Rakims
Aksnt sana mkuu , Endelea kutupa madini,.. Niunganishe nae nipte zangu nijue kama yaliyomo yamo au lah


Lakin pia unaweza nisaidia mtitiliko wa maisha yangu inbox mkuu
 
Back
Top Bottom