Nitajie tarehe yako na ya mwenza wako nikwambie mpo vipi na hatima yenu, siri yake n.k

Dah asante 😂😂

Kwahiyo tuendelee na huba letu
Hatupotezeani muda?
 
Mimi B. 26/6 me
Yeye E. 27/7 ke


Sent from my Pixel 3 using JamiiForums mobile app
Katika mahusiano haya wewe ni maji ya bahari yaani kaa hivyo unahitajika kuzoea hali ya yeye moto wa mkaa katika mitoko kutoka toka, uchangamfu. kitofauti,vinginevyo, ukarimu wake, uridhie moyo wake wa kujitolea katika kusaidia,

Simba mwenye nguvu ni yeye na ndicho kitakacho kufanya wewe ujihisi kukosa usalama wa mapenzi na kwenye mahusiano haya ndicho unachokitafuta.

wewe unaonekana ni mwenye uelewa wa ajabu na kuelewa kwako mambo bila kukurupua na uwezo wako mkubwa wa kulea na kutuliza moto ndicho kinachoweza kumshughulikia yeye ambaye ni mwenye kiburi na mkali

Pongezi na kumsifu hata kama kafanya kitu cha kijinga ndio vitu vinavyomvutia zaidi kwako na mengi ya kubembeleza ndiyo yanahitajika kuweka kumuweka chini kama maji ya mtungi yeye ambaye ana sifa za kuunguruma na pale anapounguruma ( yaani sifa na kujidai) basi ni sehemu ambazo anaridhika zaidi ukimfanyia hayo wewe na yeye ni mfano wa karata ya strength katika tarot ukiwa unasoma utaona kuna karata inaitwa strength imagine wewe ni huyu mwanamke anaemshika simba mdomo na kumuinamisha ndivyo utakavyo mfanya asisikie la mtu kuhusu wewe.





Yeye anatawala sana inapokuja kwenye swala la tendo mnapokuwa chumbani na hupenda kukaa wazi chumbani; Lakini tabia yake ya kuwa moto kila muda ni dawa nzuri sana kwako na unajihisi kitulizo kikubwa kwake.

Mahusiano baina yenu ni mazuri sana na yakupendeza isipokuwa element zinazowasimamia haziendani yeye ni mfalme na wewe ni malkia maana yeye anatawaliwa na jua na wewe unatawaliwa na mwezi ukianza kuonyesha dalili za ukali unampoteza vile vile mapenzi kwenye ni moto moto isipokuwa maelewano kwenu yaani msaada kinyota kila mtu anatakiwa ashike lake vingenevyo mafanikio yapo mbali relationship hizi nyingi usaliti wake huwa ni maafa na mwisho wenu kila mmoja ana mapenzi makubwa sana na mwenzie ni sawa na mahusiano baina ya mtu mweusi na mtu mweupe akipenda kapenda na akiacha kaacha hamna faida kinyota isipokuwa kwa mapenzi na tulizo la roho basi endelea kujiweka hapo mkuu.

Rakims
 
Huyu mwingine mkuu , unisaidie Tena

Mimi /me erufi ya mwanzo ni E
Tareh 19/06

Ke
Amezaliw November katik tareh yake nimesahau

Herufi ya Jina ni D

Anadai ananipend ila mzgo atak kunipa huko mbele nitakujafanikiw kweli
(Ana miak20 anadai ajawah fanya sex)
 
Me 03 sept J
Ke 03 august P
Mahusiano haya ni ya watu wawili wasioendana sana hasa ukizingatia tabia ya majivuno na kujiona ya yeye ni machukio kwako na utajikuta hupendezewi na kutaka kwake kutukuzwa kwa kila jambo.

Wewe ni mwenye kujithamini na kujiwekea uzio na ubinafsi wenye manufaa yako binafsi utakuta ni fedheha kubwa kwake yeye mwenye kupenda kuwa juu na kutukuzwa pia ukimuignore kidogo tu hata akiwa anaongea basi gubu lake huta kuja kuamini.

Wewe ni mtu ambaye huna uwezo wa kulea mtu ambaye ni mwenye utukufu wa ndani ya roho yake.

Yes, yeye ni mtu mwenye ukubwa ndani ya roho yake yaani ana asili ya malikia kama ni mwanamke na kama ni mwanaume basi ana asili ya kifalme roho yake ni tajiri na sio tajiri wa kawaida ni tajiri fahari, kabla ya kuondokewa na uhai anatarajiwa kuwa tajiri.

Hivyo kwa wewe ambaye wakati huna hujulikani na wakati unachohujulikani itakuwa ngumu kuishi na falme hii maarufu.

Pia wewe huwezi kumfikia hadhi yake jinsi alivyojiweka hata kama mkikaa nae utaona anakuzidi mengi na vile vile wewe sio mtu wa kutoa sifa kwake yaani kumsifu sifu na yeye hakuna kitu kinamtia nyege kama kusifiwa ukimsifu sifu basi utaona unamlainisha kila kukicha lakini mtu akikwambua jua zamani lilikuwa linachomoza mashariki na kuzama magharibi siku hizi linazama mashariki kubali ila tabia ya mtu huwa haibadiriki.

Ndivyo hivyo hivyo kwako utaushi maisha ya maigizo hadi lini ipo siku gari itawakia namba 5 hapo hapo kila mtu ataangalia uelekeo wake.

Wote wawili ni wenye kujitegemea sana, sio wenye kupenda kutegemea watu

lakini yeye anaonyesha hii kwa njia ya hasira, yaani kujitegemea kwake au maendeleo yake utaona anatumia pesa nyingi hata kwa vitu visivyo na faida yeye haoni hasara kuwa fahari yupo radhi anunue kitu cha thamani kubwa au afanye jambo kubwa pasipo kujali atalala njaa.

wewe ni mchumi na mwenye kujibana sana.

Hivyo yeye hapendi watu wa hivyo na vile vile utakuwa unampotezea muda kama yeye anashindwa kukwambia mimi nakwambia yaliyopo kwake linapokuja katika suala la matumizi hakuna anachokuelewa sawa na kupigia mbuzi gitar labda akuskilize tu kisha akitoka hapo vimeyayuka ana roho ya kitajiri na ukimvumilia mtakuwa matajiri baadae.

Mahusiano yenu ni mafupi sana kuliko uhai wa mayfly.

Rakims
 
Mtazamo unaonyesha kuwa wewe una asili ya upepo wa pumzi na yeye ni maji ya moto hivyo kwa mtizamo huu Unaonekana ni mwenye kuwa na mawazo kuhusu yeye ambaye ni mtu mwenye wivu sana tabia ya kuwa una muwazia na kumuonyesha humfanya yeye kujihisi kupendwa na kuridhiwa ambacho ni kitu kingekuwa kizuri kama mngezidi kuwa pamoja lakini ukweli ni kwamba wewe na yeye hamna maisha marefu ya mahusiano hasa ukizingatia mapenzi yenu makuu yatakuwa yanaonekana wakati tu wa kuombana tendo la ndoa au ngono kisha baada ya hapo mambo hubadirika na hiyo tu pale wewe/yeye mmoja wenu atakapo shtuka na kuona kuwa tendo sio kila kitu kuna vitu vingine vya kulea mahusiano hapo ndio changamoto huanza kutokea;-
Kama ambavyo tukirejea katika tabia zake ni mtu wa shauku, mwenye kutaka kujieleza kimwili(sex) mwenye kutaka mambo kwa madai na mwenye wivu na tabia isiyobadirika.

Hali ya kuwa tabia yako wewe ni kigeugeu,mtu wa kuruka ruka,na wa mambo ya juu juu, na mwenye moyo mwepesi na pia mwenye sura mbili ni dalili ya kwanza tu inayoonyesha kutokuelewana kwenu kitabia.

Pili wewe unakuwa ni mtu wa kupenda mambo ya kijamii ikiwa ni pamoja na mitandao ya kijamii wakati yeye unakuta anapenda faragha. Hivyo hii huanza kupelekea yeye kuwa na mashaka kuhusu wewe na utaona kila mara anataka kukushakia vitu hata kama huna mpango navyo.

Haitachukua muda mrefu kwako kuchoshwa na kuhisiwa maovu na yeye ambacho ni kitu kinathibitisha kuwa haitachukua muda nyinyi kuachana.

SEHEMU YAKE YA HISIA;

Wote wenye asili ya maji ya moto sehemu zao za hisia wake kwa waume ni mitalimbo na uke nao hupenda sana kuchezea sehemu hizo na ni wenye umaarufu sana wa kujichua na punyeto.

Wanapokuwa bored zaidi huamua kuanza kuchezea tupu zao ndicho kitu wanapenda na kujikagua au kushika eneo hilo na katika asilimia 100% 20 tu ndio hawana matatizo eneo hilo.

NB:
Kwenye suala la yeye kutokufanya sex ni uongo
Rakims
 
Narudia

Me 11/June/E
Ke 23/March/F
Chochote unachosaidiwa bure hakijarishi kina udogo kiasi gani unatakiwa uwe na hekima katika kuomba usiwe na upumbavu akilini wa kulazimisha kama umenilipa.

Anyway,

MAJIBU
Hii nguvu ya mahusiano iliyohai, mahusiano yenu tunasema ni watu wawili wenye nguvu sana katika mapenzi inakuja katika mahusiano.

kwa maana mnakuwa ni wenye urafiki mzuri lakini pia wapenzi wazuri yaani bora.

Mnaendana pia katika mambo mapya na wote mnakuwa na msisimko wa kila mmoja anaenjoy company ya mwenzie na kucheka pamoja, kama vile maisha ya kijamii.

Yeye atafanya tu maamuzi kwa kuwa wewe utakuwa kwenye ugumu katika jambo hilo.

katika mahusiano yenu mtakuwa ni wenye kupendeza hasa ukija katika suala la chumbani kila mmoja kati yenu anatamani kuwa juu ya mwenzie yaani yeye ndio amshughulikie mwingine.

Na yeye atakupa kile unachotaka mfululizo.

katika kutawala yeye atakuwa anakupa upendo thabiti unaohitaji na hii itasaidia katika tabia yako ya kutamani kuonja onja nje itapungua na kukufanya uwe madhubuti au kujikita na yeye.

Na vile vile ni mwenza ambaye baadae atakutawala sana akili na roho yako.

Unaweza usisikie la mtu.

Rakims
 
Shukrani?.
 
Daaah yote ni sawa kwa 100% na tayari tushaoana.
 
Aiseeeh... unajuaje haya mambo mkuu..
 
Mke tarehe 19 September
Mume tarehe 31 July

Tiririka hapo Mkuu Rakims.
Natanguliza shukrani nyingi.
 
Mimi [emoji1485]Me 13/12 G
Yeye[emoji1485] Ke 20/12 R

Mkuu Rakims[emoji1488]
 
Asante ubarikiwe

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Shukrani

Sehemu yake ya hisia zaidi za mapenzi
 
Aksnt sana mkuu , Endelea kutupa madini,.. Niunganishe nae nipte zangu nijue kama yaliyomo yamo au lah


Lakin pia unaweza nisaidia mtitiliko wa maisha yangu inbox mkuu
 
Correction kidogo
Mimi Me sept 03 J
Yeye ke August 05 P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…