Nitajie tarehe yako na ya mwenza wako nikwambie mpo vipi na hatima yenu, siri yake n.k

Nitajie tarehe yako na ya mwenza wako nikwambie mpo vipi na hatima yenu, siri yake n.k

Mimi Me, tarehe kuzaliwa 23/04 jina E
Yeye Ke, tarehe kuzaliwa 20/11 jina A

Ustadhi Rakims
 
Mimi Me, tarehe kuzaliwa 26/05 jina J
Yeye Ke, tarehe kuzaliwa 26/02 jina C
 
Mkuu Rakims mimi ni Me nimezaliwa April 10 jina langu linaanzia na L
Yeye ni Ke amezaliwa january 12 jina lake linaanzia na N
Msaada wako mkuu

NB: amenizidi miaka miwili
@Rakims mkuu nisaidie hapa
 
Rakims, nichekie hapa, Me jina linaanzia na H , tarehe 11/11 . Na Ke jina linaanzia A, tarehe 25/5.
 
Mtafurahia mengi katika mahusiano yenu na kufokeana sana.
Wewe mawazo yako na fikra zako ataweza kupokea vema na yeye shauku yake ya kufanya ngono na hisia zake za mlipuko zinaonekana kuhimiliwa vizuri na wewe ni watu ambao kila mmoja hatataka kumfunga funga au kumbana mwenzie katika mahusiano yenu na kila mmoja atakuwa ni muelewa kwa mwenzie katika hitaji la kupewa uhuru,adventure na maslahi ya nje.
wala nyote mnaonekana sio wenye kupenda kutawaliwa kwenye mahusiano na vyovyote vile mahusiano yenu lazima yeye ndio atataka kuwa kiongozi na mwenye kukutawala kama upo radhi kutawaliwa basi kuwa nae.
Na kama tatizo la nani ndio mume ndani mtaweza kulisolve na umuache yeye ndio awe mume ndani na wewe ni mke badala ya kunyume chake kama utaweza kuvumilia basi dance with it.
Lakini kama utataka mashindano na wewe ndio uwe mume thabiti hapo utakuwa umepamia. Huyo ni aina ya wanawake wanaotaka wao ndio wawe wanaume ndani no matter how good actress they are in the beginning

Rakims
mimi Ke: A 20/4
yeye me: A 12/8

Sent from my SM-G930V using JamiiForums mobile app
 
Mimi ME kuzaliwa 16/06 herufi ya mwanzo K

Yeye KE Kuzaliwa 25/08 herufi ya mwanzo K

Tupo kwenye Mahusiano.
 
Mkuu Rakims nijibu na mimi pia napenda kufahamu

Mimi mwanaume, herufi 'F' kuzaliwa tarehe 14 December

Mwanamke wangu nae herufi 'F' kuzaliwa tarehe 24 February

Tupo kwenye mahusiano ya muda kidogo

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu wana ndoa na wenye ndoto za ndoa,

Yawezekana umewahi kusikia kauli maarufu sana inasema;
"Kosea yote usikosee ndoa"

Katika thread hii nitakupa maana halisi na siri iliyojificha nyuma ya kauli hiyo hivyo ukiweza kunitajia tarehe yako na ya mwenza wako na herufi zenu za mwanzo,mchumba,mpenzi na mwanandoa nitakupa taarifa zako na zake na siri zake kimapenzi hivyo utakachojua hapa ni kitu kitakachokusaidia kuimarisha mahusiano yenu au kuyaharibu kabisa.

View attachment 2185484

Yafuatayo nitakutajia;
  • Tabia zake
  • Sehemu yake ya hisia
  • Jinsi ya kumfanya azidi kuwa karibu na wewe
  • Mtizamo wake kwako
  • Mtizamo wako kwake
  • Unachopenda akufanyie
  • Udhaifu wake
  • Na vingine vya ziada
MATOKEO:
Kwa asilimia 90 nitakayokwambia ni ya kweli kama sivyo basi kuna mmoja kati yenu alidanganya tarehe kwa mwingine,

MFANO WA KUANGALIZIWA
Ili niweze kukuangalizia vizuri andika hivi;

Mimi mwanaume Jina langu (Herufi ya kwanza);
Nimezaliwa tarehe: 14 December mwaka****
Mwezi wangu Jina lake (Herufi ya kwanza)
Kazaliwa tarehe: 24 April mwaka ******

(Kisha unaweza kusema upande gani nikazie zaidi japo sio lazima)

MEMBER WA KWANZA
Ke 24/4 P

Me 14/12 E

Matokeo yake:

MTIZAMO WAKO KWAKE;

Wewe ni mtu mwenye tabia za maji na yeye ni mtu mwenye tabia za udongo kwa mjumuiko huu unaonyesha kabisa nyinyi kuendana ni vigumu na hata kama mnapendana vipi itakuwa dhoruba tu ndani.

Kwa mtizamo anaonekana yeye ni mtu wa kupenda utawala na ukubwa kwa kuongoza mambo/kupelekesha- ambapo wewe unaonekana sio mtu wa kupelekeshwa na hautakubali hilo.

Pia, wewe ni mtu wa kuhitaji mabadiriko,anuwai,matukio ambapo hayo humfanya yeye kujihisi tofauti na wewe kwa kuwa yeye ni mtu wa ambaye hujifanya ni mjuaje na incharge wa mambo yanavyokuwa yanakwenda katika miliki yenu na kujiona ni mtawala mzuri wa tabia za nyumbani na hujiona ni mwenye hekima na heshima na imani zaidi kuliko wewe. Yeye anakuwa ni mtu wa kutaka kufanya mambo ambayo teyari yana uhakika na kutaka kufanya mambo yenye uhakika, wakati wewe unakuwa upo teyari kufanya chochote kinachowezekana.

Na pia wewe ni mtu wa kusema chochote kinachokujia na nimtu wa kumdondoshea maneno tu randomly yanayokujia kichwani kwa fikra yako ambayo humfanya kuanza kujawa na hasira taratibu. Pia kuna tatizo la pesa katika mahusiano yenu, hiyo ni sababu wewe unataka kuzalisha pesa kwa yanayowezekana leo hali ya kuwa yeye anawaza kuhusu mambo ya kesho (ukifa unaniachaje). Mna muda mfupi sana kwenye mahusiano yenu.

MTIZAMO WAKE KWAKO:
Mapenzi yenu yanaweza kwenda kama tu ataweza kujikaza vizuri kuwa na wewe au kukuvumilia kwa maana mtizamo wake kwako wewe ni mtu ambaye huvumiliki. wote mnavutiwa zaidi kwa muonekano wa mwenzi wake, kwa tamaa zake yeye alizonazo katika kufanya tendo anakuwa anavutiwa zaidi na ufanyaji wako.

Lakini ni mtu inamuwia ugumu katika kuvumilia tabia yako ya kupepesa macho na kutizama mambo mapya(wanawake wa nje) wewe ni mtu wa kuchukulia kila jambo poa poa na rahisi rahisi inapokuja katika maswala ya mahusiano na tendo la ndoa wakati yeye ni mtu muda mwingi anataka kuwa serios kwenye mahusiano na kutawala. hali ya kuwa wewe ni mtu ambaye hutaki kutawaliwa kimapenzi na mtu yoyote hakuna baya kwenu lakini ni watu wenye kupishana mara kwa mara uhawara kwenu inakuwa ni starehe kuliko ndoa. maana mnaweza kukaa kwenye uhawara miaka ila mwezi tu ndoa ikawa ndoana.

Mahusiano yenu ya ndoa yatakuwa ni vichekesho tu.

SEHEMU ZAKE ZA HISIA:
Sehemu zake za hisia ni shingo na koo ndio maeneo ambayo kuna hisia zake kubwa za kiwazimu ikiwa;- utagusa eneo hilo,kumbusu na kutomasa eneo hilo hata kama umekaa nae basi utampandisha kwa kasi sana hisia zake na hasa ukiwa umekaa karibu nae ukawa unamgusa hapo chochote unachosema kinaingia kwenye akili yake na roho yake moja kwa moja kuhusu wewe.

Ukimbusu eneo hilo vizuri na kumng'ata kichokozi akiwa kalala chali na kwenye koo lake basi utaona maajabu. Fanya mbinu hii pia itakuongezea umaarufu kwake. Mfanyie massage hii ili kuweza kumfanya siku yake yote ajihisi yupo kwenye raha:

(1)Akiwa kalala kwa mgongo wake muwekee mitetemo kwenye shingo yake karibu na mizunguko ya masikio yake kwa kutumia vidole vyako tumia miondoko ya taratibu sana kwa maana sio punda huyu kama kina fulani huyu anataka vitu sensitive rudia hivyo hadi uone vipele vimesimama kwenye mikono yake. (Be very gentle kuzunguka sehemu ya pipe za hewa kwenye shingo vinginevyo utamniga).

(2) Kumbuka ni mtu mwenye kupenda zaidi kufanyiwa hivyo akiwa kalala kwa tumbo lake hivyo fanya hivyo hadi kukaribia eneo la muunganiko wa uti wa mgongo lakini usitoke nje ya shingo maana umeme utakatika halafu ataona unamtembezea wadudu.
Ukianza kuona vinyweleo vimesimama na vipele basi jua chini hali si shwari wacha niishie hapa na Ramadhan hii nisije nikafanya mambo magumu masaa yamebaki machache.

Ikiwa utamgusa au kumfanyia manjonjo sehemu za shingo yake basi ni mtu mwenye kupata hisia za kiwazimu na wewe ikiwa atajua kucheza na mapaja yako yako basi ataweza kukupeleka mbali sana kihisia hisia zako siwezi kukwambia sana kwa maana wewe unamtizamia yeye.

UTAMVUTIA VIPI:-
Yeye kwanza sio mtu wa papara ni mtu anapenda kama ni utafiki ama mahusiano basi yaanze taratibu kama vile unajenga nyumba mapenzi kwake anataka uanzie msingi kwanza hivyo inakutaka kuwa ni mtu mwenye subira kuweza kummudu kimapenzi na subira wewe muda mwingine ni kitu huwa,

Mbinu;
kwanza kabisa kama ndio unaanza nae basi hakikisha kuwa unakuwa ni mtu wa kwanza kumtafuta na usiende nae kwa pupa kama hujagusa katika kujifanya ni mtu mwenye subira sana basi moja kwa moja hutampata kwa maana kama ni wa dada wazamani huyu atakwambia nisubiri miezi 9 nikufikirie.

Muonyeshe kuwa upo radhi kuwepo muda wote pale anapokuwa anakuhitaji na ujionyeshe kuwa wewe ni mtundu mtundu. Yeye hupenda mtu anaekuwa taratibu taratibu na kama unaweza kumsababisha kucheka cheka basi huna muda mrefu unayoyataka utapata. Pia utaanza kumuona nae ni mtu anautundu utundu na kupenda utani utani na anapenda mtu mwenye kumvutia kwa yale anayoyafikiria akilini kwake yaani unatakiwa kujipendekeza kuuliza unataka niwe vipi?

Tabia zake za kero ndogo ndogo ni mategemeo yake uzifurahie na ujifanye kucheka anapoongea upumbavu au jambo lisilo na maana kwako.

Na kama akisema kwa utani ukajibu kwa utani basi moja kwa moja anakufungulia moyo wake na kuona hakuna mtu kama wewe duniani hapa na anaweza kukuganda kama kupe pia utani wa kimwili kama kumgusa mwili na kumminya minya ni vitu anapenda kama ni mke wako basi jaribu leo hata akinuna ukifanya hivyo anakaa sawa. Ni mtu kama unataka kumtoa basi anapendelea sehemu za hadhi ya juu kidogo na anapenda sehemu anayoenda kuwe kuna watu wanaojua nini wanafanya hasa wapishi. Mnunulie kinyaji kisichokuwa na kilevi ndio mapenzi yake kama sio mlevi lakini kama ni mtumiaji basi utakuta ni mpenzi wa wine.

Mazingira ya nyumbani ukimpikia hata chochote tu hujihisi special sana na hataskia la mtu kuhusu wewe valia mavazi ya kupika unapomuandalia chakula na hakikisha muonekano wako uwe ni safi mfanyie hivyo hata mara moja kwa mwezi utaanza kuona anatoa machozi

Ikiwa mazungumzo yanachelewa basi jitahidi asikushinde kimaongezi na wala usikwame katika kuzungumzia mnayoyapenda hasa akianza kuongelea pesa muhimu tabaka hili ni mwanamke mwenye kupenda pesa na kuigiza hajali pesa.

Pia tengeneza account mbili tatu za bank ili akitizama aone kabisa ni mtu mwenye kushughulika na mambo ya saving hata kama huna pesa atatambua ukipata utatunza.

Usihodhi mazungumzo. anapoanza kuzungumza usimkatishe na usiwe mzembe katika kutoa sifa akifanya kitu hata cha kipuuzi nyumbani,kwenye gari yake,mapambo ni watu wenye kupenda kusifiwa wanapofanya mambo madogo.


Rakims
Me 17/12 F

Ke 09/03 k
 
Kwa mtizamo mnaonekana nyote wawili ni wenye asili ya upepo wa pumzi hivyo katika vitu vyenu vingi nyie ni kama pacha wa kiroho lakini hiyo haimaanishi kuwa mmekamilika kwa sababu mnaendana kwa asilimia 83% ingawa mna thamani kubwa ya muendano mtizamo wenu unakuwa
Hakuna mfano wa mahusiano kama yanapokuwa yamejengwa na watu wawili wenye mtizamo huu wa upepo ulio wa kuendana vizuri kwenye haiba, wenye msisimko na furaha kama wa wewe na mwenzio mnaonekana ni watu ambao hamtawahi kuchoshana au kuchokana kirahisi kwa maana nyie ni kama mapacha na ni wenye nia moja kwa kila jambo ;- kasi yenu katika mahusiano inashika namba za juu mkiwa pamoja na mnakuwa ni sawa na mfano wa kuigwa kwa mahusiano ya wengine ndio hawa mkikutana utasikia ndoa zingine zinawapigia mfano kuwa unawaona fulani na fulani.
Nyote ndoto zenu kila mmoja kwa mwenzie ni kubwa na hakuna kati yenu anaweza kumkatia tamaa mwingine. Pia ni wenye mazungumzo ya kuvutia hata chat zenu mtu mwingine akitizama anaweza kutamani jinsi mnavyojibizana na jinsi mnavyoweza kuelewana katika maongezi
pia mahusiano yenu yanaonekana kuwa na marafiki wengi na pamoja mnaweza kuwa mnafanya makaribisho ya chakula au sherehe mkiwakaribisha watu wanakuwa wanawatamani sana. Sex ni mchezo mzuri na uliojaa matani mengi kwenu lakini ndio mahusiano yenu kuna kipindi yanaweza kuwa kama ya juu juu, yasio imara, na msiokuwa na utulivu hasa mkiondoka mazingira ya nyumbani /chumbani na mkikaa muda mrefu bila kukutana na kucheza cheza kimwili basi kila kitu kinakuwa machafuko mkikosa tendo kwa muda ikiwa mnajua au hamjui basi huzuka chokochoko za ugomvi wa maneno.

Rakims
Huku mwisho ume finished kbsa
 
Mimi ME kuzaliwa 13 mwezi wa 9, jina M.

Yeye KE kazaliwa 31 mwezi wa 10, jina A.

Uhusuano, wapenzi

Mkuu Rakims naomba unichekie hapo.

Rakims Rakims Rakims Rakims
Habari mkuu mnaendana kwa asilimia 75% jambo unatakiwa tu kuvumilia usaliti kwenye hayo mapenzi mlionayo atleast ungekuwa umefikia uchumba nae kwa maana;
Wewe ni mchanga mwekundu na yeye ni maji ya moto mnaendana vizuri kiasi kwa mkusanyiko wenu wawili katika mapenzi mnaingia kwenye mlango wa 2 mlango wa pesa na umiliki utapata mvuto wa pesa ukiwa nae kimapenzi lakini mkitangaza uchumba utaona mambo yanaharibika mtizamo zaidi unaonyesha
Tamaa yake ya kimwili inaweza kukufanya kujikuta jasiri zaidi kila utakavyo kuwa ukikutana nae kimwili au wakati ukimaliza na pia utakuwa na furaha kuwa nae kwa sababu ni mtu mwennye kumiliki vizuri mapenzi na aliyemuaminifu kupitiliza kwa mtu aliyemridhia katika roho yake na hii tu ni kwa yule aliyemridhia rohoni lakini kama haupo rohoni kwake jiandae kusalitiwa na kupewa habari bila woga kuwa anakusaliti na kutoka na mtu mwingine tabia zake hizo mbili nilizokutajia hapo zitakufanya ujihisi ni mtu mwenye bahati katika mapenzi lakini kinyume na hapo utajihisi na mkosi wa mapenzi.
Ulinzi wake wa mapenzi kwako ni kitu kingine muhimu sana kwako na kitakacho kufanya uwe na furaha katika mahusiano yenu pia kati yenu mnaonekana nyote ni wenye kupendezwa na akili za kila mmoja;
Wewe ni mtu wa mantiki,kiakili na mchambuzi mzuri ambapo yeye ni tete na msiri;
wewe utakuwa mwenye kujizuia na kujihifadhi.
Ingawa kwenu mtakuwa na migogoro nani anaetakiwa kuongoza na kuendesha mambo ya mahusiano na maisha yenu lakini inaonekana nia yako wewe ni kumuonyesha kuwa unaelewa na kuheshimu matakwa yake japo sio lazima uyatimize yote.
Huyu ni moja kati ya wenza unatakiwa uishi nae kiakili otherwise umeingia pabaya na kwa wewe unamuweza kwa maana ni mtu mwenye sifa ya uchambuzi.
Ni mtu mwepesi sana kujiliza lakini kuwa makini na machozi yake wakati mwingine sio yale unayomwambia ndio yanamliza bali kumbukumbu na mitizamo yake ya nyuma ndio humfanya awe emotional out-busted (emotional damage)

SEHEMU ZA HISIA:
Sehemu yake ya hisia ni sehemu zake za siri kama hana dildo chini ya uvungu basi jaribu kutafuta sex toys umuwekee karibu haijarishi umri wake.
Ghafla tu huwa na mihemko ya kufanya tendo na ghafla tu hukata.
Una nafasi kubwa ya kusalitiwa akiwa hana hizi toys.
Kama hana muonyeshe kujali kwa kumnunulia it's awkward but you need to strength hayo mawadah.

Rakims
 
Mimi Me, tarehe kuzaliwa 23/04 jina E
Yeye Ke, tarehe kuzaliwa 20/11 jina A

Ustadhi Rakims
Kwa mtizamo unaonenyesha wewe ni mchanga wa fungu na yeye ni maji ya moto. huyu ndio mwenza wako mnaoendana kwa safari nzima ya maisha na anaweza kukukamilisha na kukufaa zaidi na ni perfect match wako kwa sababu;-
Wewe unaonekana ni mtu mwenye stamina na hamu na ana uwezo mzuri wa kukidhi mahitaji yake hasa mkiwa chumbani na mkiwa pamoja ni watu wenye kujiweza kuwasha na kuzima moto wenu wenyewe ni watu mnaweza kugombana dakika 1 kisha ya pili mkaelewana.
Lakini kipi ambacho kinaweza kuwa tatizo kwenu kwa masaa yaliyo baki?
mnaonekana;-
Kwanza kabisa nyote wawili ni wenye wivu wa kupindukia na viburi(wakaidi) tofauti yenu ni kwamba wewe ni mtu unaependa kummiliki mpenzi wako na kama mtu wa thamani sana, kama ilivyo kwa kitu cha thamani.
Na yeye anakuwa ni mtu wa hisia sana.
Ingawa mnashiriki mshikamano mzuri kuhusu maswala ya pesa, yeye ni mfadhili na mtu mwenye dharau na ana asili ya uvivu,
wakati wewe unapenda kutumia kwa kujiridhisha kama wewe.
Jambo lingine nyote wawili japokuwa ni watu mnaendana sana lakini ni sawa na fahari wawili kila mtu anataka awe zaidi na ikitokea mmoja hajakubali kuwa chini ya mwenzie basi ni sawa na nahodha wawili wanaogombania kuendesha meli vita vikizidi chombo kinazama.

Elewa kwa mtizamo huu huyu ni mtu anawezana na watu kama wewe tu akishindwa kuishi na watu wenye mchanga wa fungo ambao wanaweza kummudu ndio hawa wengi utawakuta wengi wao ni single mama nimeelezea hapo kwa mkuu kwenye kipengele cha sehemu za hisia na huyu ni vile vile soma quote kabla ya hii.

Rakims
 
Back
Top Bottom