Nitajie tarehe yako na ya mwenza wako nikwambie mpo vipi na hatima yenu, siri yake n.k

Nitajie tarehe yako na ya mwenza wako nikwambie mpo vipi na hatima yenu, siri yake n.k

Me 17/12 F

Ke 09/03 k
Ongeza details maana sijaelewa hapo nani ni nani na mahusiano ni yapi na unachotaka kufahamu fanyeni ufafanuzi ili nikijibu nijibu kwa ufafanuzi
 
Habari mkuu mnaendana kwa asilimia 75% jambo unatakiwa tu kuvumilia usaliti kwenye hayo mapenzi mlionayo atleast ungekuwa umefikia uchumba nae kwa maana;
Wewe ni mchanga mwekundu na yeye ni maji ya moto mnaendana vizuri kiasi kwa mkusanyiko wenu wawili katika mapenzi mnaingia kwenye mlango wa 2 mlango wa pesa na umiliki utapata mvuto wa pesa ukiwa nae kimapenzi lakini mkitangaza uchumba utaona mambo yanaharibika mtizamo zaidi unaonyesha
Tamaa yake ya kimwili inaweza kukufanya kujikuta jasiri zaidi kila utakavyo kuwa ukikutana nae kimwili au wakati ukimaliza na pia utakuwa na furaha kuwa nae kwa sababu ni mtu mwennye kumiliki vizuri mapenzi na aliyemuaminifu kupitiliza kwa mtu aliyemridhia katika roho yake na hii tu ni kwa yule aliyemridhia rohoni lakini kama haupo rohoni kwake jiandae kusalitiwa na kupewa habari bila woga kuwa anakusaliti na kutoka na mtu mwingine tabia zake hizo mbili nilizokutajia hapo zitakufanya ujihisi ni mtu mwenye bahati katika mapenzi lakini kinyume na hapo utajihisi na mkosi wa mapenzi.
Ulinzi wake wa mapenzi kwako ni kitu kingine muhimu sana kwako na kitakacho kufanya uwe na furaha katika mahusiano yenu pia kati yenu mnaonekana nyote ni wenye kupendezwa na akili za kila mmoja;
Wewe ni mtu wa mantiki,kiakili na mchambuzi mzuri ambapo yeye ni tete na msiri;
wewe utakuwa mwenye kujizuia na kujihifadhi.
Ingawa kwenu mtakuwa na migogoro nani anaetakiwa kuongoza na kuendesha mambo ya mahusiano na maisha yenu lakini inaonekana nia yako wewe ni kumuonyesha kuwa unaelewa na kuheshimu matakwa yake japo sio lazima uyatimize yote.
Huyu ni moja kati ya wenza unatakiwa uishi nae kiakili otherwise umeingia pabaya na kwa wewe unamuweza kwa maana ni mtu mwenye sifa ya uchambuzi.
Ni mtu mwepesi sana kujiliza lakini kuwa makini na machozi yake wakati mwingine sio yale unayomwambia ndio yanamliza bali kumbukumbu na mitizamo yake ya nyuma ndio humfanya awe emotional out-busted (emotional damage)

SEHEMU ZA HISIA:
Sehemu yake ya hisia ni sehemu zake za siri kama hana dildo chini ya uvungu basi jaribu kutafuta sex toys umuwekee karibu haijarishi umri wake.
Ghafla tu huwa na mihemko ya kufanya tendo na ghafla tu hukata.
Una nafasi kubwa ya kusalitiwa akiwa hana hizi toys.
Kama hana muonyeshe kujali kwa kumnunulia it's awkward but you need to strength hayo mawadah.

Rakims
Hiyo sifa ya kupenda kujiliza umepiga palepale mkuu.
 
Father naomba unisaidie maana nafikiria kumuoa hivi karibuni
Mimi mwanaume nimezaliwa tar 26/12 herufi S
Mke mtarajiwa kazaliwa tar 2/10 herufi N
Tupo kwene mahusiano serious ya kupelekea ndoa
Natanguliza shukrani 🙏🙏
 
Father naomba unisaidie maana nafikiria kumuoa hivi karibuni
Mimi mwanaume nimezaliwa tar 26/12 herufi S
Mke mtarajiwa kazaliwa tar 2/10 herufi N
Tupo kwene mahusiano serious ya kupelekea ndoa
Natanguliza shukrani [emoji120][emoji120]
Muombe MUNGU akusaidie,huyo ni binadamu mwenzako tu,hana msaada wowote juu ya hatma ya maisha yako,hata yeye ana matatizo yake yanayomsumbua na hana Majibu km Mimi na wewe tu tunavyosumbuka.
 
Andika kwa usahihi kisha ongeza details vipi mimi nikijibu,

andk kw ushh ksh ongez drls? (utaelewa au utapanda kisirani)?
Oky nilishaweka details hivi huko juu

Me 16/04 F
Ke 29/10 S
 
Kwa mtizamo unaonenyesha wewe ni mchanga wa fungu na yeye ni maji ya moto. huyu ndio mwenza wako mnaoendana kwa safari nzima ya maisha na anaweza kukukamilisha na kukufaa zaidi na ni perfect match wako kwa sababu;-
Wewe unaonekana ni mtu mwenye stamina na hamu na ana uwezo mzuri wa kukidhi mahitaji yake hasa mkiwa chumbani na mkiwa pamoja ni watu wenye kujiweza kuwasha na kuzima moto wenu wenyewe ni watu mnaweza kugombana dakika 1 kisha ya pili mkaelewana.
Lakini kipi ambacho kinaweza kuwa tatizo kwenu kwa masaa yaliyo baki?
mnaonekana;-
Kwanza kabisa nyote wawili ni wenye wivu wa kupindukia na viburi(wakaidi) tofauti yenu ni kwamba wewe ni mtu unaependa kummiliki mpenzi wako na kama mtu wa thamani sana, kama ilivyo kwa kitu cha thamani.
Na yeye anakuwa ni mtu wa hisia sana.
Ingawa mnashiriki mshikamano mzuri kuhusu maswala ya pesa, yeye ni mfadhili na mtu mwenye dharau na ana asili ya uvivu,
wakati wewe unapenda kutumia kwa kujiridhisha kama wewe.
Jambo lingine nyote wawili japokuwa ni watu mnaendana sana lakini ni sawa na fahari wawili kila mtu anataka awe zaidi na ikitokea mmoja hajakubali kuwa chini ya mwenzie basi ni sawa na nahodha wawili wanaogombania kuendesha meli vita vikizidi chombo kinazama.

Elewa kwa mtizamo huu huyu ni mtu anawezana na watu kama wewe tu akishindwa kuishi na watu wenye mchanga wa fungo ambao wanaweza kummudu ndio hawa wengi utawakuta wengi wao ni single mama nimeelezea hapo kwa mkuu kwenye kipengele cha sehemu za hisia na huyu ni vile vile soma quote kabla ya hii.

Rakims
Mkuu Rakims wewe umejaaliwa sana naomba sana msaidie na rafiku yangu yeye mahusiano yake details zao ni

Jinsia Me: kuzaliwa ni tarehe 27/08JIna E

Jinsia Ke: Kuzaliwa ni tarehe 20/11, Jina A

Tunawapenzi wamezaliwa tarehe ziinafanana na Herufi za majina tupo pacha kwa kila jinsia zetu


Sina swali wewe hubahatishi
 
Kwa mtizamo unaonenyesha wewe ni mchanga wa fungu na yeye ni maji ya moto. huyu ndio mwenza wako mnaoendana kwa safari nzima ya maisha na anaweza kukukamilisha na kukufaa zaidi na ni perfect match wako kwa sababu;-
Wewe unaonekana ni mtu mwenye stamina na hamu na ana uwezo mzuri wa kukidhi mahitaji yake hasa mkiwa chumbani na mkiwa pamoja ni watu wenye kujiweza kuwasha na kuzima moto wenu wenyewe ni watu mnaweza kugombana dakika 1 kisha ya pili mkaelewana.
Lakini kipi ambacho kinaweza kuwa tatizo kwenu kwa masaa yaliyo baki?
mnaonekana;-
Kwanza kabisa nyote wawili ni wenye wivu wa kupindukia na viburi(wakaidi) tofauti yenu ni kwamba wewe ni mtu unaependa kummiliki mpenzi wako na kama mtu wa thamani sana, kama ilivyo kwa kitu cha thamani.
Na yeye anakuwa ni mtu wa hisia sana.
Ingawa mnashiriki mshikamano mzuri kuhusu maswala ya pesa, yeye ni mfadhili na mtu mwenye dharau na ana asili ya uvivu,
wakati wewe unapenda kutumia kwa kujiridhisha kama wewe.
Jambo lingine nyote wawili japokuwa ni watu mnaendana sana lakini ni sawa na fahari wawili kila mtu anataka awe zaidi na ikitokea mmoja hajakubali kuwa chini ya mwenzie basi ni sawa na nahodha wawili wanaogombania kuendesha meli vita vikizidi chombo kinazama.

Elewa kwa mtizamo huu huyu ni mtu anawezana na watu kama wewe tu akishindwa kuishi na watu wenye mchanga wa fungo ambao wanaweza kummudu ndio hawa wengi utawakuta wengi wao ni single mama nimeelezea hapo kwa mkuu kwenye kipengele cha sehemu za hisia na huyu ni vile vile soma quote kabla ya hii.

Rakims
Na ni kweli hata hisia zake umepatia, ya ziada unitupie ujumbe inbox
 
Back
Top Bottom