Nitajie tarehe yako na ya mwenza wako nikwambie mpo vipi na hatima yenu, siri yake n.k

Nitajie tarehe yako na ya mwenza wako nikwambie mpo vipi na hatima yenu, siri yake n.k

Utangamano;

Mahusiano yenu hapa huwa ni sawa na Mfalme na Malkia wanapokutana,
Vichwa hugeuka kwa maana wawili nyie wote ni Simba na mahusiano haya ni sawa na simba dume na simba jike. Wawili nyie hapa ni wenye kuwa na uaminifu mkubwa sana,
Mahusiano haya pande zote mbili huwa ni zenye shauku kubwa sana katika mizani wa kila mmoja kwa mwenzie. Wote wawili nyie ni wenye mapenzi makubwa na mko romantic sana.
Kila mmoja kwa mwenzie, wenye rangi za kupendeza na furaha kubwa katika maisha yenu ya sasa na ya baadae na wenye uwezo mkubwa sana wa kufikishana kileleni.

Swali kubwa la kujiuliza hapa ni; Nani kati yenu atakae kuwa mtawala?
Ni ngumu sana kwa Simba mmoja kumuachia nafasi mwengine kutawala na kujiona muhimu na kujistahi kuliko mwingine.
Lakini hilo ndio kubwa linalohitajika zaidi kwenye mahusiano haya.
Kila mmoja wenu hata taka tu kukaa kwenye kitu ya ufalme huu isipokuwa kila mmoja atataka aonyeshe mabavu yake pia.
Kwa ushindani wa kuridhishana kitandani nani atakae mridhisha mwenzie, Nani atakae muhudumia vizuri mwenzie, nani atakae mpa zawadi mwenzie, nani atakae pendeza zaidi ya mwenzie, nani atakaejali zaidi wazazi wa mwenzie, nani atakae mbembeleza zaidi mwenzie.
Yaani ni ushindani wa mahaba makubwa na heshima kubwa hakuna mfano na umejaa hisia kali na kila mtu atakae waona atataka kuwaiga.
Wawili nyie ni sawa na mkaa unaopika chakula ukaongezewa mkaa mwingine, wawili nyie ni sawa na jua moja likaongezewa lingine yaani nyie ni watu mnaendana kuliko kawaida unless mmoja wenu awe kadanganya details;

Binafsi nayapenda mahusiano baina ya Simba na Simba maana wakiungana wanakuwa ni kivutio cha utalii na pia ni nyota pekee katika unajimu zinazoendana sana kuliko zingine kwa maana wote mnatawaliwa na sayari ya jua na hakuna anaeendana na mwingine isipokuwa jua mwenzie ni jua, simba mwenzie ni simba na vile vile mfalme mwenzie ni malkia.

Basi kama bado hamjafunga ndoa mnasubiri nini?

Nyie ni Grand lovers and interesting rivals (wapenzi wakuu na wapinzani wa kuvutia).

Rakims
Daah aise shukran sana boss ni mle mle
 
Msaada:
Me. 17/01 S
Ke. 09/10 M
Mahusiano haya ni sawa na watu wawili waliokosa uelekeo hawa ndio ukiskia mtu kakosea kuoa au kuolewa.
Wewe ni mchanga wa bahari na yeye ni upepo wa juu licha ya kutokuendana hata kukaribiana hamkaribiani,
hili utajionea maana ya ile kauli kwamba unaweza kukaa kwenye uhawara miaka 10 lakini mwaka mmoja wa ndoa ukakushinda.

Mtizamo upo hivi:
Wewe ni mtu mwenye kuvutiwa na yeye kwa sababu ana mvuto ambao wewe unajikuta ni mtu wa kumbembeleza pamoja na kubembelezea mapenzi. Upendo mlionao unaweza kukuokoa kwa kipindi fulani lakini hizi ndio ndoa ambazo wenza huwa wanarushiana ngumi maana ni uvumilivu hadi una fikia hatua ya kukata tamaa.
Japo mtafanikiwa kupata watoto kirahisi na mtazaa watoto wazuri kwa kuwa tu mnaingia mlango wa 5 kwenye ndoa yaani kizazi na mali lakini mateso ni makubwa kuliko mapenzi.

Yeye ni mtu mwenye tamaa na wewe kwenye mahusiano kwa muda huo ambao utakuwa nae au mtakao kuwa pamoja.
Elewa ya kwamba mahitaji yake katika mapenzi kuna jinsi na hali atakazo kuwa anataka uwe na wewe hutakuwa na uwezo wa kumpatia, Kikubwa wapo ni hisia haijarishi utafanya nini kwake hataona ukweli wa hisia zako kumpenda na ataona ni maneno tu.
Pia kutoshelezana kwenu ni kwa uchache sana yeye anapenda sana mauno na wewe magoti kidogo itafikia sehemu itakuwa ni mtihani kipindi hiki kwanza utakua huelewi elewi utakuwa unaona kama ni mtu asiyesomeka,
Baadae mwezi wa 9 hadi wa 10 kama hujamuoa anaweza kukwambia anaona uelekeo wa maisha hauoni na kuna uwezekano mkubwa mwezi huo wa mwaka huu akaanza kujihusisha na mtu mwingine na pia utapata habari kupitia mawasiliano yake kwa hivi sasa.

Atapenda mambo ambayo hutaweza kumtimizia kwa wakati anaoutaka sio kwamba huna uwezo wa kutimiza na akiwa tofauti na mtu mwingine utaona hiyo tabia hana atakuwa nayo kwako.

Na katika hali za kujionyesha na kuwaonyesha watu kuwa ana jambo fulani ni tabia ambayo wewe huna kitu ambacho yeye hupenda mtu aliyenae awe hivyo
Na utakuwa ukimuheshimu kwenye mahusiano na yeye atakuwa anakuchukulia kama ni mpuuzi atakuona mbinafsi na unakosea na mapenzi hayapo hivyo na utatolewa kasoro kila mara.

Baada ya hapo kwenye mahusiano hukugeuka na kuanza
kuangalia mahali pengine na kukuweka uwe na wivu nae kwake ni starehe yake japo ni jambo litakalo kuwa linakutesa.

Japo kuwa ni mtu mzuri kwa watu wengine kwako wewe mahusiano haya ni Kichocheo cha maafa (Sijataka kwenda deep sana kwenye case ya wazazi ambayo ndio inanifanya nikwambie ni mtu asiyekufaa.

SEHEMU YA HISIA:
Kiuno chake ndio sehemu inapotawala hisia yake utaona analalama kiuno kinasumbua ili tu kupata kupapaswa na kukandwa eneo hilo.

Rakims
 
Mahusiano haya ni baina ya mchanga wa pwani na maji ya kisima kuna visima pia vinakuwa na mchanga wa bahari au mweupe chini hivyo couple hii inawezekana.

Mtizamo:

Wewe ni mwnye uwezo wa kutoa na kumpa katika kila sector ambayo yeye anatamani katika mahusiano kuanzia kumtimizia na kumkamilishia yale yote anayotamani katika mapenzi au kutoka kwako na wala hilo kwako sio tatizo hata katika kumfikisha kwenye tendo kwako ni rahisi sana na yeye kufurahia zaidi na husikia raha pale tu unapoonyesha dalili za kumtaka kimwili hata kama kakasirika utaona anaanza kulegeza uzi,

Nae pia ni mwenye kukutamani na hakuna kitu wewe unapenda kama kutamaniwa na yule uliyenae kwenye mahusiano yaani akionyesha tu hata kukutizama kwa jicho la huba wewe hoi.

Kama ilivyo kwa nyota yako kuwa na kutambulika ni nyota ya watu wa serikalini au viongozi basi ndivyo ulivyokiongozi mzuri kwake ambaye yeye hata ikitokea kampoteza hujihisi kuchanganyikiwa na huona maisha yake yameharibika kama kapoteza mzazi, ndio maana wengine utakuta wanakuwa wagumu kuingia kwenye mahusiano kwa kuhofia siku ya kuachana. Lakini yeye anakuwa na nia ya dhati ya kukufuata kwa yale unayomuongoza.

Ingawaje mtasumbuka sana kwenye malezi ya watoto na matatizo ya uzazi lakini ikitokea hili limeenda sawa basi katika watu ambao watakao tamba kwamba oeni mpate kutulia na kufarijika wewe utakuwa ni mmoja wao.

Ladha yake ya ajabu katika mapenzi inaweza kukuathiri kisaikolojia pale mnapogombana ukaona mambo hayaendi ni vile utamu wake utakugusa sana rohoni kuliko kimwili. Mapenzi yake ukarimu na hisia zako kali za uaminifu vinachanganyika na kufanya kila mmoja ajisikie yuko salama na analindwa katika mapenzi na mwenza wake.

Hakika nyinyi ni watu wawili tofauti ambao mtakuwa mmekutana na mwenza sahihi kwa maana kila mmoja atakuwa ni mwenye kuvutika na kujiona kapata kwa mwenzie mtu sahihi.

Rakims
Me 07/12 A
Ke 11/08 k
 
Me 07/12 A
Ke 11/08 k
Katika mahusiano yenu wewe unaonekana ni mwenye asili ya moto wa nyasi na yeye ni moto wa mkaa mnaendana vema kila mmoja kati yenu anamuona mwenzie anamfaa zaidi.

Kuna mambo mengi ya kusisimua yatakayo kuja kuwatokea kwenye mahusiano yenu, yeye mwenye kujiamini inatoa uhakika kabisa kwamba atafungua hisia zako zote za tamaa ulizonazo katika mapenzi, na mapenzi yenu ni ya maajabu sana, nyote mnafurahia kusafiri pamoja, kukutana na watu wapya, na kila mmoja kati yenu anafurahika kuwa karibu na mwenzie yeye ni mwenye kupenda uhuru sana ikiwa ni pamoja na wewe,

Hivyo katika mahusiano yenu kutakuwa hakuna matatizo ya wivu ikiwa ni pamoja na kutawaliana ni couple moja nzuri sana mkipatana.

Wewe una mwanga mzuri wa kuendana nae kimazungumzo na vile vile ni mwenye uwezo mkubwa wa kukabiliana na Gubu lake.

Hakuna maelezo mengi kuhusu mausiano yenu isipokuwa jambo kubwa moja ni kwamba nyie ni Grand mating.

Ukimpoteza huyo kumpata wa hivyo huwa kazi.

Rakims
 
Katika mahusiano yenu wewe unaonekana ni mwenye asili ya moto wa nyasi na yeye ni moto wa mkaa mnaendana vema kila mmoja kati yenu anamuona mwenzie anamfaa zaidi.

Kuna mambo mengi ya kusisimua yatakayo kuja kuwatokea kwenye mahusiano yenu, yeye mwenye kujiamini inatoa uhakika kabisa kwamba atafungua hisia zako zote za tamaa ulizonazo katika mapenzi, na mapenzi yenu ni ya maajabu sana, nyote mnafurahia kusafiri pamoja, kukutana na watu wapya, na kila mmoja kati yenu anafurahika kuwa karibu na mwenzie yeye ni mwenye kupenda uhuru sana ikiwa ni pamoja na wewe,

Hivyo katika mahusiano yenu kutakuwa hakuna matatizo ya wivu ikiwa ni pamoja na kutawaliana ni couple moja nzuri sana mkipatana.

Wewe una mwanga mzuri wa kuendana nae kimazungumzo na vile vile ni mwenye uwezo mkubwa wa kukabiliana na Gubu lake.

Hakuna maelezo mengi kuhusu mausiano yenu isipokuwa jambo kubwa moja ni kwamba nyie ni Grand mating.

Ukimpoteza huyo kumpata wa hivyo huwa kazi.

Rakims
Ahsante mkuu
 
Katika mahusiano haya ni baina ya Moto wa jaha na mchanga wa fungu,

Kitaalamu nyie ni baina ya moto na ardhi vitu ambavyo haviendani yaani wewe ni moto na yeye ni udongo,

Mahusiano yenu yapo hivi:

Kwanza kabisa ujasiri ulionao mara nyingi humpelekea kuwa na aibu yeye ambaye mara nyingi kitaalamu tunamuita binti maringo haijarishi jinsia yake,

Nyote wawili ni wenye mawazo tofauti yaani kila mmoja na nguvu zake tofauti linapokuja katika suala la mawazo na utendaji vile vile, hasa linapokuja suala la chumbani bila shaka hili ndio kubwa hubeba na kuharibu mahusiano mengi, kila mmoja kati yenu utakuta ni mwenye mawazo tofauti na mwenzie katika kitanda jinsi ya utendaji na jinsi ya kufurahia tendo zima sote tunafahamu kwamba katika tendo la ndoa kwa upande wako ni kama vile uwanja wa vita tukirejea kwake yeye chumbani ni kama vile uwanja wa maonyesho, haiishii hapo tofauti yenu pia inatoka hadi nje ya kitanda kwenda kwenye maisha ya kila siku.

Mapenzi na mihemko yako wewe imejaa msukumo na moja kwa moja bila kupinda wala ubabaishaji.

Kwake yeye ngono zaidi ni suala gumu sana kugawa hata pia huchukua muda kuweza kumvulia nguo mwanaume au mwanamke.

Kwenye maeneo mengine utakuta wewe ni mwenye shauku na mipango mipya na mawazo mapya. Na vile vile ni mwenye kulazimisha kuwa boss wa mahusiano hata kama utaficha mwanzoni.

Tukija kwa bi maringo nimekwambia haijarishi jinsia yake utakuta ni mtu mwenye kukosoa na kusumbua, na hupenda mambo yaende jinsi yeye anavyotaka.

Huyu hawezi kuheshimu au kukubaliana na matakwa yako haijarishi atakuigizia vipi mwanzo.

Na yeye atakutoa kasoro kila siku zinavyoenda hadi utajihisi zuzu.

Na wewe utamuona ni mwenye mgomo baridi na asiyewezekana kufurahisha.

Niamini wawili nyie mwisho wa siku ni wenye kufanya vita sio mapenzi.

Rakims

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Aiseee Asante
 
Mahusiano haya ni sawa na watu wawili waliokosa uelekeo hawa ndio ukiskia mtu kakosea kuoa au kuolewa.
Wewe ni mchanga wa bahari na yeye ni upepo wa juu licha ya kutokuendana hata kukaribiana hamkaribiani,
hili utajionea maana ya ile kauli kwamba unaweza kukaa kwenye uhawara miaka 10 lakini mwaka mmoja wa ndoa ukakushinda.

Mtizamo upo hivi:
Wewe ni mtu mwenye kuvutiwa na yeye kwa sababu ana mvuto ambao wewe unajikuta ni mtu wa kumbembeleza pamoja na kubembelezea mapenzi. Upendo mlionao unaweza kukuokoa kwa kipindi fulani lakini hizi ndio ndoa ambazo wenza huwa wanarushiana ngumi maana ni uvumilivu hadi una fikia hatua ya kukata tamaa.
Japo mtafanikiwa kupata watoto kirahisi na mtazaa watoto wazuri kwa kuwa tu mnaingia mlango wa 5 kwenye ndoa yaani kizazi na mali lakini mateso ni makubwa kuliko mapenzi.

Yeye ni mtu mwenye tamaa na wewe kwenye mahusiano kwa muda huo ambao utakuwa nae au mtakao kuwa pamoja.
Elewa ya kwamba mahitaji yake katika mapenzi kuna jinsi na hali atakazo kuwa anataka uwe na wewe hutakuwa na uwezo wa kumpatia, Kikubwa wapo ni hisia haijarishi utafanya nini kwake hataona ukweli wa hisia zako kumpenda na ataona ni maneno tu.
Pia kutoshelezana kwenu ni kwa uchache sana yeye anapenda sana mauno na wewe magoti kidogo itafikia sehemu itakuwa ni mtihani kipindi hiki kwanza utakua huelewi elewi utakuwa unaona kama ni mtu asiyesomeka,
Baadae mwezi wa 9 hadi wa 10 kama hujamuoa anaweza kukwambia anaona uelekeo wa maisha hauoni na kuna uwezekano mkubwa mwezi huo wa mwaka huu akaanza kujihusisha na mtu mwingine na pia utapata habari kupitia mawasiliano yake kwa hivi sasa.

Atapenda mambo ambayo hutaweza kumtimizia kwa wakati anaoutaka sio kwamba huna uwezo wa kutimiza na akiwa tofauti na mtu mwingine utaona hiyo tabia hana atakuwa nayo kwako.

Na katika hali za kujionyesha na kuwaonyesha watu kuwa ana jambo fulani ni tabia ambayo wewe huna kitu ambacho yeye hupenda mtu aliyenae awe hivyo
Na utakuwa ukimuheshimu kwenye mahusiano na yeye atakuwa anakuchukulia kama ni mpuuzi atakuona mbinafsi na unakosea na mapenzi hayapo hivyo na utatolewa kasoro kila mara.

Baada ya hapo kwenye mahusiano hukugeuka na kuanza
kuangalia mahali pengine na kukuweka uwe na wivu nae kwake ni starehe yake japo ni jambo litakalo kuwa linakutesa.

Japo kuwa ni mtu mzuri kwa watu wengine kwako wewe mahusiano haya ni Kichocheo cha maafa (Sijataka kwenda deep sana kwenye case ya wazazi ambayo ndio inanifanya nikwambie ni mtu asiyekufaa.

SEHEMU YA HISIA:
Kiuno chake ndio sehemu inapotawala hisia yake utaona analalama kiuno kinasumbua ili tu kupata kupapaswa na kukandwa eneo hilo.

Rakims
Asante sana mkuu.. yaani kila kitu ulichoongea nakiona kinafanana na maisha tulonayo..sijui nifanyeje maana tumeishi miaka mitano na tayari tuna watoto wawili wazuri kwelikweli. Hatujafunga ndoa kila tukipanga linatokea jambo la kuahirisha. Sijui nifanyeje
 
Katika mahusiano yenu wewe unaonekana ni mwenye asili ya moto wa nyasi na yeye ni moto wa mkaa mnaendana vema kila mmoja kati yenu anamuona mwenzie anamfaa zaidi.

Kuna mambo mengi ya kusisimua yatakayo kuja kuwatokea kwenye mahusiano yenu, yeye mwenye kujiamini inatoa uhakika kabisa kwamba atafungua hisia zako zote za tamaa ulizonazo katika mapenzi, na mapenzi yenu ni ya maajabu sana, nyote mnafurahia kusafiri pamoja, kukutana na watu wapya, na kila mmoja kati yenu anafurahika kuwa karibu na mwenzie yeye ni mwenye kupenda uhuru sana ikiwa ni pamoja na wewe,

Hivyo katika mahusiano yenu kutakuwa hakuna matatizo ya wivu ikiwa ni pamoja na kutawaliana ni couple moja nzuri sana mkipatana.

Wewe una mwanga mzuri wa kuendana nae kimazungumzo na vile vile ni mwenye uwezo mkubwa wa kukabiliana na Gubu lake.

Hakuna maelezo mengi kuhusu mausiano yenu isipokuwa jambo kubwa moja ni kwamba nyie ni Grand mating.

Ukimpoteza huyo kumpata wa hivyo huwa kazi.

Rakims
Msaada
Me 7/2 A
Ke 7/7 F
 
Mahusiano haya ni sawa na watu wawili waliokosa uelekeo hawa ndio ukiskia mtu kakosea kuoa au kuolewa.
Wewe ni mchanga wa bahari na yeye ni upepo wa juu licha ya kutokuendana hata kukaribiana hamkaribiani,
hili utajionea maana ya ile kauli kwamba unaweza kukaa kwenye uhawara miaka 10 lakini mwaka mmoja wa ndoa ukakushinda.

Mtizamo upo hivi:
Wewe ni mtu mwenye kuvutiwa na yeye kwa sababu ana mvuto ambao wewe unajikuta ni mtu wa kumbembeleza pamoja na kubembelezea mapenzi. Upendo mlionao unaweza kukuokoa kwa kipindi fulani lakini hizi ndio ndoa ambazo wenza huwa wanarushiana ngumi maana ni uvumilivu hadi una fikia hatua ya kukata tamaa.
Japo mtafanikiwa kupata watoto kirahisi na mtazaa watoto wazuri kwa kuwa tu mnaingia mlango wa 5 kwenye ndoa yaani kizazi na mali lakini mateso ni makubwa kuliko mapenzi.

Yeye ni mtu mwenye tamaa na wewe kwenye mahusiano kwa muda huo ambao utakuwa nae au mtakao kuwa pamoja.
Elewa ya kwamba mahitaji yake katika mapenzi kuna jinsi na hali atakazo kuwa anataka uwe na wewe hutakuwa na uwezo wa kumpatia, Kikubwa wapo ni hisia haijarishi utafanya nini kwake hataona ukweli wa hisia zako kumpenda na ataona ni maneno tu.
Pia kutoshelezana kwenu ni kwa uchache sana yeye anapenda sana mauno na wewe magoti kidogo itafikia sehemu itakuwa ni mtihani kipindi hiki kwanza utakua huelewi elewi utakuwa unaona kama ni mtu asiyesomeka,
Baadae mwezi wa 9 hadi wa 10 kama hujamuoa anaweza kukwambia anaona uelekeo wa maisha hauoni na kuna uwezekano mkubwa mwezi huo wa mwaka huu akaanza kujihusisha na mtu mwingine na pia utapata habari kupitia mawasiliano yake kwa hivi sasa.

Atapenda mambo ambayo hutaweza kumtimizia kwa wakati anaoutaka sio kwamba huna uwezo wa kutimiza na akiwa tofauti na mtu mwingine utaona hiyo tabia hana atakuwa nayo kwako.

Na katika hali za kujionyesha na kuwaonyesha watu kuwa ana jambo fulani ni tabia ambayo wewe huna kitu ambacho yeye hupenda mtu aliyenae awe hivyo
Na utakuwa ukimuheshimu kwenye mahusiano na yeye atakuwa anakuchukulia kama ni mpuuzi atakuona mbinafsi na unakosea na mapenzi hayapo hivyo na utatolewa kasoro kila mara.

Baada ya hapo kwenye mahusiano hukugeuka na kuanza
kuangalia mahali pengine na kukuweka uwe na wivu nae kwake ni starehe yake japo ni jambo litakalo kuwa linakutesa.

Japo kuwa ni mtu mzuri kwa watu wengine kwako wewe mahusiano haya ni Kichocheo cha maafa (Sijataka kwenda deep sana kwenye case ya wazazi ambayo ndio inanifanya nikwambie ni mtu asiyekufaa.

SEHEMU YA HISIA:
Kiuno chake ndio sehemu inapotawala hisia yake utaona analalama kiuno kinasumbua ili tu kupata kupapaswa na kukandwa eneo hilo.

Rakims
KE 22/7
ME 29/12
 
Msaada
Me 7/2 A
Ke 7/7 F
Utangamano
Mahusiano haya ni baina ya Nyota ya maji ya bahari na upepo wa kimbunga, Kiasili wawili hawa wakiwa pamoja kwa upole basi utaona kila mtu anapenda mapenzi yao ya awali na kila mtu atawaonea tamaa mahusiano yao.
Lakini ukweli ni kwamba upepo wa kimbunga na bahari siku zote mapenzi yakitaka kuwa moto moto basi Dhoruba hutokea.
Ukiwatizama wawili hawa wewe mwenye nyota ya Kaa unakuwa na tabia za uchangamfu, kujituma basi utaona ni mwenye kupatiana sana na Ndoo ambaye ni mwenye tabia ya kujitawala.

Kwa upande mwingine utaona wewe ni mwenye kung'ang'ania vitu ni tabia ambayo itamuonyesha waziwazi na humfanya yeye (Aquarius) ajisikie amebanwa na anakosa uhuru binafsi kama awali.

Na kwa kuwa yeye ni mwenye akili ya haraka, asiyetabirika, utamuona anaanza kupapatika na tabia yako ya kung'ang'ania vitu, wewe (Kaa) una ubishi na ujeuri wa asili na pia huwa ni king'ang'anizi.

Na kwa wewe mwenye roho ndo ni rahisi sana kuumizwa na masihara yake ya kutaka kukucheka yaani unaweza kuleta hisia na yeye akawa anakiucheka ama kuonyesha kutokujali,
Wewe binafsi ni mtu ambaye utajikuta humuelewi yeye hasa ukizingatia kwamba wewe ni mwenye kupenda kujihisi umelindiwa mapenzi yako na upo karibu na mwenza wako, lakini yeye ambaye ni mtu wa ajabu na matukio hukufanya ukihisi kukosa ukaribu nae kulingana na visa vyake.

Yeye kwako ni sawa na mbwa mwitu, kwenye sex mnaendana sana isipokuwa kuna kitu kinakosekana kikubwa kwenye mahusiano haya.

Rakims
 
KE 22/7
ME 29/12
Mahusiano:

Kati yenu kuna mvuto mkubwa sana wa kingono na pia mnaendana vizuri na kimtizamo mnaendana vema sana kwa maana yeye ni mchanga wa bahari na wewe ni maji ya bahari hivyo mna mtizamo mmoja katika mambo yenu mengi na mnaendana kwa asilimia nyingi

Kama mtaweza tu kuwezana tabia zenu basi moja kwa moja mtakuwa na mahusiano yenye bahati na mafanikio makubwa kindoa mfano wake utasikia watu huyu kaoa leo nyota yake imeng'aa au mafanikio yake yamefunguka yupo vizuri kwa kila sekta hii ni kwa maana kuwa hata mkiingia kindoa mnapatikana katika mlango wa 12 yaani mzunguko mzima wa nyota 12 unakuwa pamoja na nyinyi bega kwa bega na kila mmoja wenu anakuwa kayapatia maisha na hakuja haja ya kuhofia riziki kwa maana kwenu mkiwa pamoja kila jambo huenda vizuri na kwa ufasaha zaidi.

Lakini kwenye mlango wa kazi pia unatakiwa sana ujitahidi kumuachia yeye pia afanye kazi na kama ni biashara mpe nafasi ya yeye kuisimamia utaona maajabu ya Mungu kwa maana wewe asili yako ni mazingira ya nyumbani na yeye ni mtafutaji mzuri na ana nyota ya mafanikio na ndio bahati yako imelalia kwake usije kumvuruga wala kumuharibia muelekeo,
kwani huyu unaweza kutembelea nyota yake pindi utakapofunga nae ndoa na ukitaka kuthibitisha hapa kwa watu kwamba haya mambo sio kubahatisha basi muoe siku ya jumatatu kama sio saa 1 asubuhi saa 8 mchana na kama sio hapo basi saa 3 usiku.

Ukizingatia hayo unaweza kujiuliza ulichelewea wapi kwa maana usiku wa kwanza tu mmeanza kuitumikia ibada ya ndoa matunda yake siku inayofuata hadi kuingia usiku utaona matokeo na hapa nazungumzia ndoa sizungumzii uhawara.
Ni mtu sahihi kwako na ana maslahi mengi na hutaamini ukiwa nae na pia ni mtu ambaye anaweza kukukamilishia all the attention you need.

Na vile wewe ni mtu wa aibu na mwenye hisia kali na kupenda kukosoa basi huyu kwako ni sahihi;-
Mtizamo unaonyesha wewe ni mtu wa aibu,hisia na mwenye kutaka affection wakati yeye ni mtu wa kuondoa aibu,kuponya maumivu ya hisia na kutawala ndio sifa zake basi popote utakapo hisi you are down she will lift you up haijarishi kipesa mawazo au hisia.

Tofauti zenu zinaweza kuwa kubwa sana ambazo zitaleta furaha za muda mrefu, yaani hapo ni mfano wewe ni hasi na yeye ni chanya. Perfect Match.

Rakims
 
Back
Top Bottom