Kiungopunda
JF-Expert Member
- Oct 24, 2023
- 1,349
- 3,145
Alikuwa kipa wa Timu gani akakutana na Beckham? Kimsingi zamani ndio kulikuwa na soka na kulikuwa na wanaume wanaopiga mpira achana na hawa akina Havert and Co'sHaha golikipa Petr Cech anaifahamu shughuli ya David Beckham
Umeona ushirikina uliofanyika kwenye ufunguzi wa AfriconInasemekana France walifanyaga ushirikina
Mpira haswa sio mpira VARWalikuwa wanakutana na wagumu wenzake. Kimsingi, zamani watu walikuwa wanapiga mpira bro.
Enzi za kujaza stika za wachezaji kwenye daftariAlan Shearer(huyu sticker yake kwenye Big G tulikuwa tunaigombania)
Mimi ni shabiki wa kutupwa wa Barca ila kwa sasa siwezi kuikosa Yanga, Barca sijaitazama kwa miaka sasa.Yaani mi na unazi wangu wote wa mpira yaani kuanzia nikiwa mdogo let say kuanzia 2000 nipo la 3 huko nafatilia mpira sana hasa chama langu man u ambalo sa ivi ni tia tia maji.... Ila sikuwahi kushabikia Mpira wa bongo kabisa... Yaani nilikua siuelewi kabisa Wala Sina timu
Mzee wangu alikua mnazi wa Simba, nilianza kuwachukia Simba nikiwa mdogo siku Mzee Simba imebamizwa huko akaja home na hasira zake kosa kidogo tu tukatembezewa stick, ndo Maza badae anatuambia Leo Simba kafungwa mkileta utundu huyu Mzee Leo atawaua
Miaka kama mitatu nyuma ndo nimeanza kushabikia yanga, eti sa ivi wameniingia siwezi kukosa mechi zao wakati man u msimu huu sijaangalia hata mechi Moja nishawapotezea kabisa
Nkamia alikuwa muongo muongo sana yule. Akitaja line up za Simba na Yanga utahisi ni Barca na Madrid zinacheza.Lunyamila na Mtangazaji Juma Mkamia
mzee wa kagame cupSaid Bahanuzi
Nilikua nafatilia match za yanga ili nimuone yeye tu!
Peter alisema hivi fainaly world cup “scaloni will be fated, Messi will be sainted” A boy from Rosario, acha kabisa alooh hatari sana huyu jamaa me sijaanzia kwa Messi ila nasema ivi huyu ndio GOAT wangu ….LIONEL MESSI HAS SHAKEN HANDS WITH PARADISE
MESSI NI MCHEZAJI KUWAHI KUTOKEA ANAKUAMINISHA HAKUNA MCHEZO RAHISI ZAIDI YA MPIRA WA MIGUU.
KIUKWELI KUANZIA MOVIES ZAKE, ANAVYOKOKOTA MPIRA, DRIBBLING ANAVYOSHUTI ANAKUAMINISHA MPIRA NI MCHEZO MWEPESI SANA TOFAUTI NA UHALISIA
MESSI IS BEST OF ALL TIME
Hata mimi ndio hivyo hivyo, baba T anaanza hapo, kwanza Henry ndio mchezaji mwenye speed kuliko wote kuwah kutokea kwenye mpira wa miguu, ananikumbushaga “The invisibles “ …Gunners for everybody.Thiery Henry
Ronaldinho Gaucho
Lionel Messi
Huyo ndio niliwahi mshuhudia vyema kabisa akicheza miaka hiyo.Hata mimi ndio hivyo hivyo, baba T anaanza hapo, kwanza Henry ndio mchezaji mwenye speed kuliko wote kuwah kutokea kwenye mpira wa miguu, ananikumbushaga “The invisibles “ …Gunners for everybody.