Nitajie wachezaji watatu waliokuhamasisha kuupenda mchezo wa soccer

Nitajie wachezaji watatu waliokuhamasisha kuupenda mchezo wa soccer

Haha golikipa Petr Cech anaifahamu shughuli ya David Beckham
Alikuwa kipa wa Timu gani akakutana na Beckham? Kimsingi zamani ndio kulikuwa na soka na kulikuwa na wanaume wanaopiga mpira achana na hawa akina Havert and Co's
 
Wapo wengi sana
Ronaldo de Lima
Zinedine Zidane
David Bekham
Taribo West
Dennis Begkamp
Roberto Carlos
Ryan Giggs
Thiery henry
Paulo Maldini
Dida wa brazil
Peter schemechel (Enzi hizo tunamuita smaiko no.1)
Lilian Thuram
Alan Shearer(huyu sticker yake kwenye Big G tulikuwa tunaigombania)
Michael Owen
N.k
 
Yaani mi na unazi wangu wote wa mpira yaani kuanzia nikiwa mdogo let say kuanzia 2000 nipo la 3 huko nafatilia mpira sana hasa chama langu man u ambalo sa ivi ni tia tia maji.... Ila sikuwahi kushabikia Mpira wa bongo kabisa... Yaani nilikua siuelewi kabisa Wala Sina timu


Mzee wangu alikua mnazi wa Simba, nilianza kuwachukia Simba nikiwa mdogo siku Mzee Simba imebamizwa huko akaja home na hasira zake kosa kidogo tu tukatembezewa stick, ndo Maza badae anatuambia Leo Simba kafungwa mkileta utundu huyu Mzee Leo atawaua

Miaka kama mitatu nyuma ndo nimeanza kushabikia yanga, eti sa ivi wameniingia siwezi kukosa mechi zao wakati man u msimu huu sijaangalia hata mechi Moja nishawapotezea kabisa
Mimi ni shabiki wa kutupwa wa Barca ila kwa sasa siwezi kuikosa Yanga, Barca sijaitazama kwa miaka sasa.
 
Berbatov
Rooney
Van Persie
CR7 Ronaldo
Ferguson's
Messi
Drogba
Lampard
Balotelli
Wengi sana.
Lkn football ni kitu Mungu kaleta kizuri
 
1. Thierry Henry
2. Jose Antonio Reyes
3. Samuel Etoo Fils
4.Austin JJ Okocha
5. Nwanko Kanu
6. Patrick Mbona
7. Khalilou Fadiga
8. Henry Camara
9. Mustapha Hadji
10. Patrick kluvert
11. Ruud van Nistelrooy
12. Pavel Nedved
13. Kaka
14. Gaucho
15. Messi
16. Ronaldo De Lima
17. Cristiano Ronaldo
18. Michael Barak
19. Michael Essien
20. Emmanuel Gabriel Mwakyusa
 
didier drogba alinifanya niupende mpira na niipende chelsea nlkua na picha zake kama zote katika picha amabauo siisahau ni ile ya 2012 kipindi nipo la saba 🤣🤣 nmekuja kuitupa meaka jana aisee nlkua nayo miaka yote 🔵
 
LIONEL MESSI HAS SHAKEN HANDS WITH PARADISE

MESSI NI MCHEZAJI KUWAHI KUTOKEA ANAKUAMINISHA HAKUNA MCHEZO RAHISI ZAIDI YA MPIRA WA MIGUU.

KIUKWELI KUANZIA MOVIES ZAKE, ANAVYOKOKOTA MPIRA, DRIBBLING ANAVYOSHUTI ANAKUAMINISHA MPIRA NI MCHEZO MWEPESI SANA TOFAUTI NA UHALISIA
MESSI IS BEST OF ALL TIME
Peter alisema hivi fainaly world cup “scaloni will be fated, Messi will be sainted” A boy from Rosario, acha kabisa alooh hatari sana huyu jamaa me sijaanzia kwa Messi ila nasema ivi huyu ndio GOAT wangu ….
 
Back
Top Bottom