Sir Teacher
Senior Member
- Nov 16, 2015
- 111
- 99
joti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua maana ya genius kweli??? Kama hao uliowataja ni genius basi Tanzania inawajinga wengi SanaKwa mimi binafsi naona
1. Nikki Mbishi wa Tamaduni Muzik
2. Leonardo wa Cheka Tu
Wote ni wasomi wenye taaluma zao ambazo, zinahitajika kichwa Cha hesabu Nikki ana degree ya computer science huku Leonard yeye ana bachelor ya water resources engineering.
Kwenye interview zao utagundua wako smart wanafuatilia current issue. Na kwenye kazi zao ndo Balaa huyu wa stand up comedy yuko vizuri na Nikki yeye ni hatari.
Taja wa kwako
Hata hivyo niki mbishi Hana bachelor, ni diploma ya chuo gan sijui huko mbeyawaTz hopeless sana... Kwahio mtu akisoma course/bachelor za science maana yake ni genius...?
😂😅💩💩💩 Mapoyoyo sana nyie, ndio maana mpo nyuma ya dunia...
Lack of exposure
Mbona Mwijaku ana degree mbili?Kwa mimi binafsi naona
1. Nikki Mbishi wa Tamaduni Muzik
2. Leonardo wa Cheka Tu
Wote ni wasomi wenye taaluma zao ambazo, zinahitajika kichwa Cha hesabu Nikki ana degree ya computer science huku Leonard yeye ana bachelor ya water resources engineering.
Kwenye interview zao utagundua wako smart wanafuatilia current issue. Na kwenye kazi zao ndo Balaa huyu wa stand up comedy yuko vizuri na Nikki yeye ni hatari.
Taja wa kwako
Washabiki wa Nikki mbishi huwa ni mazezeta flan hiviNikki Ana diploma mzee,sio degree na sio computer science,ni Computer Engineering..
Sijaona tatizo la mtoa mada,labda hakua na taarifa sahiiWashabiki wa Nikki mbishi huwa ni mazezeta flan hivi
Hapo wanasema ana degree, wakati ana diploma tu tena ya chuo gan sijui mbeya huko.
Ndio wanamfanya anavimba kichwa ikiwa hamna kitu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]1.Chid benz
2. Lucas mwashambwa
Naomba mwongozo wasanii unaoona wewe kuwa ni genious lo!
ZuchuKwa mimi binafsi naona
1. Nikki Mbishi wa Tamaduni Muzik
2. Leonardo wa Cheka Tu
Wote ni wasomi wenye taaluma zao ambazo, zinahitajika kichwa Cha hesabu Nikki ana degree ya computer science huku Leonard yeye ana bachelor ya water resources engineering.
Kwenye interview zao utagundua wako smart wanafuatilia current issue. Na kwenye kazi zao ndo Balaa huyu wa stand up comedy yuko vizuri na Nikki yeye ni hatari.
Taja wa kwako
Kwa hivyo tu ndo ma genius,!!?....daKwa mimi binafsi naona
1. Nikki Mbishi wa Tamaduni Muzik
2. Leonardo wa Cheka Tu
Wote ni wasomi wenye taaluma zao ambazo, zinahitajika kichwa Cha hesabu Nikki ana degree ya computer science huku Leonard yeye ana bachelor ya water resources engineering.
Kwenye interview zao utagundua wako smart wanafuatilia current issue. Na kwenye kazi zao ndo Balaa huyu wa stand up comedy yuko vizuri na Nikki yeye ni hatari.
Taja wa kwako
Define u geniousKwa mimi binafsi naona
1. Nikki Mbishi wa Tamaduni Muzik
2. Leonardo wa Cheka Tu
Wote ni wasomi wenye taaluma zao ambazo, zinahitajika kichwa Cha hesabu Nikki ana degree ya computer science huku Leonard yeye ana bachelor ya water resources engineering.
Kwenye interview zao utagundua wako smart wanafuatilia current issue. Na kwenye kazi zao ndo Balaa huyu wa stand up comedy yuko vizuri na Nikki yeye ni hatari.
Taja wa kwako
dk mbili nakupa maua, dk moja nakupokonya.😂😂😂😂Babu tale() na Christina shusho😂
Hahahaahadk mbili nakupa maua, dk moja nakupokonya.😂😂😂😂