Nitajie wasanii wawili Tanzania ambao ni genius sana

Nitajie wasanii wawili Tanzania ambao ni genius sana

Kwa mimi binafsi naona
1. Nikki Mbishi wa Tamaduni Muzik
2. Leonardo wa Cheka Tu

Wote ni wasomi wenye taaluma zao ambazo, zinahitajika kichwa Cha hesabu Nikki ana degree ya computer science huku Leonard yeye ana bachelor ya water resources engineering.

Kwenye interview zao utagundua wako smart wanafuatilia current issue. Na kwenye kazi zao ndo Balaa huyu wa stand up comedy yuko vizuri na Nikki yeye ni hatari.

Taja wa kwako
Unajua maana ya genius kweli??? Kama hao uliowataja ni genius basi Tanzania inawajinga wengi Sana
 
waTz hopeless sana... Kwahio mtu akisoma course/bachelor za science maana yake ni genius...?
😂😅💩💩💩 Mapoyoyo sana nyie, ndio maana mpo nyuma ya dunia...
Lack of exposure
Hata hivyo niki mbishi Hana bachelor, ni diploma ya chuo gan sijui huko mbeya
 
Kwa mimi binafsi naona
1. Nikki Mbishi wa Tamaduni Muzik
2. Leonardo wa Cheka Tu

Wote ni wasomi wenye taaluma zao ambazo, zinahitajika kichwa Cha hesabu Nikki ana degree ya computer science huku Leonard yeye ana bachelor ya water resources engineering.

Kwenye interview zao utagundua wako smart wanafuatilia current issue. Na kwenye kazi zao ndo Balaa huyu wa stand up comedy yuko vizuri na Nikki yeye ni hatari.

Taja wa kwako
Mbona Mwijaku ana degree mbili?
 
Nikki Ana diploma mzee,sio degree na sio computer science,ni Computer Engineering..
Washabiki wa Nikki mbishi huwa ni mazezeta flan hivi
Hapo wanasema ana degree, wakati ana diploma tu tena ya chuo gan sijui mbeya huko.

Ndio wanamfanya anavimba kichwa ikiwa hamna kitu
 
Mkuu usichanganye mtu genius, mtu smart na mtu intelligent. Kwani tumepima IQ zao kujua kiwango chake hadi tuseme ni genius?

Hao jamaa kweli ni smart vichwani hasa ukiangalia mambo wanayoyaongelea unaongezea ni intelligent pia. Ila u genius haupimwi hivyo.

Kuna watu ni genius alafu wanaonekana ni bogaz kinoma au hata vichaa. Ila ukipima IQ yake itakushangaza.
 
Genius....? Genius sana! Naona uchambuzi wako umehusianisha kozi ya shahada kama kigezo cha kuwa genius, i doubt kama umeelewa vema maana ya neno genius na genius sana.
 
Kwa mimi binafsi naona
1. Nikki Mbishi wa Tamaduni Muzik
2. Leonardo wa Cheka Tu

Wote ni wasomi wenye taaluma zao ambazo, zinahitajika kichwa Cha hesabu Nikki ana degree ya computer science huku Leonard yeye ana bachelor ya water resources engineering.

Kwenye interview zao utagundua wako smart wanafuatilia current issue. Na kwenye kazi zao ndo Balaa huyu wa stand up comedy yuko vizuri na Nikki yeye ni hatari.

Taja wa kwako
Zuchu
 
Kwa mimi binafsi naona
1. Nikki Mbishi wa Tamaduni Muzik
2. Leonardo wa Cheka Tu

Wote ni wasomi wenye taaluma zao ambazo, zinahitajika kichwa Cha hesabu Nikki ana degree ya computer science huku Leonard yeye ana bachelor ya water resources engineering.

Kwenye interview zao utagundua wako smart wanafuatilia current issue. Na kwenye kazi zao ndo Balaa huyu wa stand up comedy yuko vizuri na Nikki yeye ni hatari.

Taja wa kwako
Kwa hivyo tu ndo ma genius,!!?....da
 
Tambua mtu akiwa msanii tayari anakuwa na talent......bongo wasanii karibu wote wana talent nzuri kinacho haribu ni bad reputation kama Aslay alivo trend.
 
Kwa mimi binafsi naona
1. Nikki Mbishi wa Tamaduni Muzik
2. Leonardo wa Cheka Tu

Wote ni wasomi wenye taaluma zao ambazo, zinahitajika kichwa Cha hesabu Nikki ana degree ya computer science huku Leonard yeye ana bachelor ya water resources engineering.

Kwenye interview zao utagundua wako smart wanafuatilia current issue. Na kwenye kazi zao ndo Balaa huyu wa stand up comedy yuko vizuri na Nikki yeye ni hatari.

Taja wa kwako
Define u genious
 
Back
Top Bottom