Cryptographer
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 376
- 737
Hapa nnavokwambia nampa michapo ntakavochepuka kesho kutwa,ili asintafute sanaWewe ukichepuka huwa unamsimulia mkeo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa nnavokwambia nampa michapo ntakavochepuka kesho kutwa,ili asintafute sanaWewe ukichepuka huwa unamsimulia mkeo?
Mtazamo mzuri, kuna haja yakumuelezea kuhusu Baba yake kweli?
Kumuacha for good inawezekana kabisa.
Tena nikiwaza 200k niliyompa nafurahi sana, haijapotea bure.
Baba yake alinisaidia sana kucatch up na kazi.
Naipenda sana kazi yangu mkuu, nimepanda kitengo hivi majuzi tu hapa na ndio napata pata visafari vya maana sasa!Achana na huyo binti, Kwanza umeoa hakuna ulazima huo wa kuwa nae kimahusiano.
Kama hupendi kazi yako mkuu endelea nae...
Utakuja kunishukuru baadae..
Duh. Mbona mimi Niko mbali na Wife week ya sita sasa lakini sina mzuka wa kufanya hayo? Mimi nikisafiri mikoani nafurahi sana sana kukaa alone niwapo safarini! Nikijitahidi sana ni Wine ndio anakua rafiki yangu wa kwelisasa sijui ni kwasababu niko mbali na mke kwa hizo siku kazaa
Hongera sana mkuu. Aisee uko vizuriDuh. Mbona mimi Niko mbali na Wife week ya sita sasa lakini sina mzuka wa kufanya hayo? Mimi nikisafiri mikoani nafurahi sana sana kukaa alone niwapo safarini! Nikijitahidi sana ni Wine ndio anakua rafiki yangu wa kweli
Nimeishia hapo alipotamani kuongea nae nikahisi tu mwisho wa story[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tutafanya uchaguzi tukuvue vyeo...kamati inakushinda.Furushi.
Hebu tulale...Waiiiii...Nimeishia hapo alipotamani kuongea nae nikahisi tu mwisho wa story[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanajiendekezaga tu kwa hicho kigezo cha kipuuzi[emoji706][emoji706][emoji706]Duh. Mbona mimi Niko mbali na Wife week ya sita sasa lakini sina mzuka wa kufanya hayo? Mimi nikisafiri mikoani nafurahi sana sana kukaa alone niwapo safarini! Nikijitahidi sana ni Wine ndio anakua rafiki yangu wa kweli
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tutafanya uchaguzi tukuvue vyeo...kamati inakushinda.
Kwamba hauwezi kusoma hii nusu ukurasa?
Tukalale tu dada.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mie kazi yangu ni kutunza pesa tu, mengine Evelyn Salt na Heaven Sent ndio vitengo vyao.
Wadau wanaweza wasiwe na ushauri mzuri,ebu mshirikishe mkeo kwanza.
200k tu!! Hebu aache ubahili. Aongezepo kamilioni ndio iwe goodbye.Hao umewataja sijui ndio walezi wenyewe wa chama?
Wakija hapa kwenye huu uzi utashangaa.
Sawa mhasibu.
Ndio mpeni mwenzenu ushauri sasa. Ametoa 200k, kabla apate alichokusudia amegundua baba wa huyo binti ni boss wake.