Sitafanya hivyo. Jamaa tunaheshimiana sana!! Comment yake kwenye kazi zangu inamaana kubwa sana.
Nachofanya nikumpotezea huyu binti kimapenzi, kama mdau alivyoshauri hapo juu! Nitamweleza kuhusu Baba yake hata hiyo kazi niliyoenda kuifanya hadi nikakutana nae nilipangiwa na Baba yake.
Yaani naonaga kulala na MTU mwezi au mwaka nachoka. Nikipata mwanya kama huu wa kulala alone na kutafakkari mambo yangu nafurahi sanaHongera sana mkuu. Aisee uko vizuri
😅😅😅😅Eti anawaringishia jamaa Ni liongo kinoma waweza kuta hata hii story limeitunga tuNimeuliza hilo swali kwa mshangao pia. Inamaana huyu mwamba wife akijifungua inakuaje?
Mbona na sie tunasafiri sana tu lakini huko ugenini hatulazimiki kutafuta masuria?
Nimekuelewa vizuri sana, na nikiwa kama mwanaume
Lakini nnachomshauri apime mwenyewe mahusiano yataathiri vipi ukaribu wa yeye na Boss wake? Je, kumtafuna huyo binti ni kitu cha thamani kuhatarisha mazingira ya kazi?
Hamna coincidence hapo. Na kuwa mwasherati sio lazima ununue malaya.Daaah! Kuna sehemu nimeenda kununua kahaba? Hili tukio its only by coincidence ru
Big up.Yaani naonaga kulala na MTU mwezi au mwaka nachoka. Nikipata mwanya kama huu wa kulala alone na kutafakkari mambo yangu nafurahi sana
Tulia na mke wako.Unanishauri nini sasa hapa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mie kazi yangu ni kutunza pesa tu, mengine Evelyn Salt na Heaven Sent ndio vitengo vyao.
Nakusalimia[emoji23][emoji23][emoji23]Mpeni huo ushauri sasa, wengine tumeshastaafu tunafanya mambo mengine kabisa. Matukio ya rejareja sio sehem yetu tena.
Big up.
Nikikaa nje au mbali na mke wangu wiki mbili, lazima nitahangaika sana.
Sijui hizi mbususu nazipendea nini yani