Nitakosea nikiendelea na huyu Binti? Roho inaniuma sana


Sawa...

Lakini najiuliza tu hapa, ina maana unaogopa kuharibu kwa boss wako zaidi kuliko kwa mkeo!!

(usijibi)
 
Aseee..........ni ndefu, aliyesoma naomba anihadithie kwa ufup tafadhal.
 
Stori yako inatufundisha kuwa unaweza kula kimasihara mtoto ya supervisor 😎
 
Mwanaume ambaye ameoa na anahangaika na wanawake wengine ni mzinzi na muasherati wala hilo sio tusi.
Daaah! Kuna sehemu nimeenda kununua kahaba? Hili tukio its only by coincidence ru
 
Nimeuliza hilo swali kwa mshangao pia. Inamaana huyu mwamba wife akijifungua inakuaje?

Mbona na sie tunasafiri sana tu lakini huko ugenini hatulazimiki kutafuta masuria?
😅😅😅😅Eti anawaringishia jamaa Ni liongo kinoma waweza kuta hata hii story limeitunga tu
 
Nimekuelewa vizuri sana, na nikiwa kama mwanaume
Lakini nnachomshauri apime mwenyewe mahusiano yataathiri vipi ukaribu wa yeye na Boss wake? Je, kumtafuna huyo binti ni kitu cha thamani kuhatarisha mazingira ya kazi?

Lakini ukikisoma hiki kisa kwa makini, hakuna mahali panaonesha binti kamtambulisha jamaa kwa babaye wala baba kamtambulisha binti kwa jamaa...hivyo jamaa ndiye wa kuchagua kusuka au kunyoa

Yaani maji yakijamwagika, hakuna mahali baba ataanza mlaumu jamaa kwa kutembea na bintiye huku akijua ni bintiye 😁...

Maana ukisoma stori kwa makini inaonesha hata boss naye wamo kwenye kufukuzia vidosho
 
Daaah! Kuna sehemu nimeenda kununua kahaba? Hili tukio its only by coincidence ru
Hamna coincidence hapo. Na kuwa mwasherati sio lazima ununue malaya.
 
Yaani naonaga kulala na MTU mwezi au mwaka nachoka. Nikipata mwanya kama huu wa kulala alone na kutafakkari mambo yangu nafurahi sana
Big up.
Nikikaa nje au mbali na mke wangu wiki mbili, lazima nitahangaika sana.
Sijui hizi mbususu nazipendea nini yani
 
Kwa hiyo mkuu unataka usema umepoteza 200k imepotea kizembe hivyo?
 
Mwambie ukwel tu kuwa umegundua unafahamiana na baba ake na umueleze ni kwajins gan baba ake ni mtu wa mhumu kwako ni sawa na mzazi wako pia so kwa heshima ya baba ake ungependa mahusiano yenu yabadirike yawe ya kaka na dada bas ili kulinda heshima ya baba ake.
Had hapo atakuelewa na ataona umetumia busara na ww upunguze uzinzi
 
Big up.
Nikikaa nje au mbali na mke wangu wiki mbili, lazima nitahangaika sana.
Sijui hizi mbususu nazipendea nini yani

Haujamwelewa Bwana PGO , anatamani itokee mara mojamoja apate nafasi ya kuwa peke yake, awe na utulivu wa kutafakari maisha, kupanga mipango na kupumzika pia. Yaani awe mbali na wife na asiwe ns bughudha ya bidhaa yeyote ile, awe na muda wa peke yake tu.

Sasa naona umempa big up huku unasifia maradhi yako. Soma tena umwelewe vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…