"Nitakufanyia Umafia" Nini maana ya neno Mafia? Kwanini Mafia?

"Nitakufanyia Umafia" Nini maana ya neno Mafia? Kwanini Mafia?

JF jukwaa la wataalamu. Wengi wetu hatupendi kusoma kazi kufuata mkumbo na kusikiliza majungu na uzushi.
 
Bado hakuna hata aliyempa jibu...labda jamaa mmoja hapo juu kidogo
Ni hivi Mafia ni kundi lililokuwa na nadhani bado lipo huko Italy lilikuwa maarufu Sana enzi hizo..lilikuwa linaendesha shughuli zake za uhalifu na kuuza madawa huko Italy. Linafanana kiasi na Yakuza LA Japan...but Mafia lilikuja kuenea mpaka USA kwa uhalifu coz waitaliano wengi walihamiaga huko ambao walkuwa kwenye hili Kundi na walifanya Sana uhalifu.
Na Kama mpenzi was Mpira utakumbuka kuwa Mario Balotelli alihojiwa na polisi huko Italy kwa kuhisiwa kuwa Ana uhusiano na hili kundi but alikanusha coz hawa jamaa wanawafuasi polisi,walimu,wafayakazi was sekta mbalimbali hata wabunge huko ....ingawa serikali ya Italy imejitahidi kuwaneutralize
 
Pia tukiacha kuhusianisha na maswala ya kiuhalifu ambayo wanajamvi wengi wamechangia,mwanahip hop nguli wa marekani ambaye ni marehemu Notorious B.I.G au big poppa aliitumia M.A.F.I.A(Masters At Finding Intelligent Attitude) kama miradi wake wa kutafuta vipaji na kuwainua wasanii ambao hawakujulikana(underground),mf.lil kim etc.
 
cosa nostra.
kitu chetu.
underworld.
the family.

any organised crime can be refered as mafia.
ntakufanyia umafia simply means he will organise a crime against you
 
Mkuu wewe ndio umetoa maana halisi ya kumfanyia mtu "Umafia". Mafia wakitaka kukuua hawatakuonyesha dalili hata siku moja. Watajifanya wajinga ili uwadharau na kudhani kuwa hawawezi kukudhuru. Tena kama ni mtu wa karibu watajifanya marafiki zako kweli kweli.

Siku ambayo huitegemei kabisa ndio utashangaa anakuja mmoja anakualika mwende mkale chakula cha jioni ukipanda kwenye gari utakuta kuna mtu kakaa siti ya nyuma, utatambulishwa kuwa huyo ni cousin wa huyo aliyekualika dinner. Mkifika sehemu ambayo imekaa vizuri na wewe ume-relax ndio utashitukia kamba ipo shingoni, jamaa aliyekaa siti ya nyuma anakunyonga mpaka unakufa.

Wakishakuuwa wana jinsi yao ya kupoteza mwili wako usipatikane tena; Wanaweza kuweka mwili wako kwenye pipa wakalijaza zege kisha wakaenda kulitupa baharini, wanaweza kuweka mwili wako kwenye gari bovu kisha wakalipeleka kwenye compacter, mashine ambayo italisaga na kuliminya hilo gari mpaka liwe dogo kama box, wanaweza kukukatakata kisha wakatumbukiza vipande vya mwili wako kwenye acid na nyingine nyingi ambazo huzitumia kuhakikisha mwili wako haupatikani tena. Huo ndio "Umafia".

Mkuu inaonekana hukai mbali na movie za Action
 
In brief Mafia ni makundi ya organized crime ambayo Serikali haina nia ya kuyateketeza,badala yake ina co-exist nao.
 
Mafia ni kundi linalofanya organized crime,chimbuko ni visiwa vya sicily italy,wao wanasema ' costra nostra'' yaani mafia ni kitu walichobuni wao,ingawa kuna American mafia,Japanese mafia etc!Member wa kundi hili anaitwa mafioso,mkuu wao ni godfather su capo fi tutti capi!Mie huwa siwaogopi mafia,huwa wakizingua nawapa vitasa tu
 
Italian Mafia katika initation ceremony yao wanaapa mbele ya sanamu ya Bikira Maria. Hawa mafia wakati wa vita ya pili ya dunia General Patton aliwatumia kushinda vita Italy,kwa sababu wao ndio walikuwa wanazifahamu njia zote za vichochoro. Kwa hiyo wakapata ahadi ya serikali ya marekani ya kufanya umafia bila kuzuiwa. Edgar Hoover umesikia how he was cooperating with The Mob.
 
Mafia kibongo bongo ni kama wale "panya road" au wamarekani weusi.. nadhani mtoa mada umenielewa.
 
Wakuu habari zenu ....kichwa cha habari kinajieleza ningependa kufahamishwa kwa nini mtu akitaka kufanya jambo baya utasikia akisema NITAKUFANYIA UMAFI AU utasikia akisema MIMI NI MAFIA NITAKUUA
Je kuna uhusiano wowote na kisiwa cha mafia?

Mwenye kujua kiini cha neno hili ningefurahi kufahamishwa kwani nina trip ya kwenda mafia so nikikumbuka maneno hayo juu naishiwa hamu kabisa ya safari.

Kama kuna uhusiano na watu wa mafia chanzo kilikuwa nini?

Msaada tafadhali

Mafia;
1.jambazi anayetumia silaha k.v bunduki na panga.
Umafia kwa Hiyo ni UBAYA.

2.jina la kisiwa kilichopo Tanzania katika mkoa wa pwani.
 
Mkuu wewe ndio umetoa maana halisi ya kumfanyia mtu "Umafia". Mafia wakitaka kukuua hawatakuonyesha dalili hata siku moja. Watajifanya wajinga ili uwadharau na kudhani kuwa hawawezi kukudhuru. Tena kama ni mtu wa karibu watajifanya marafiki zako kweli kweli.

Siku ambayo huitegemei kabisa ndio utashangaa anakuja mmoja anakualika mwende mkale chakula cha jioni ukipanda kwenye gari utakuta kuna mtu kakaa siti ya nyuma, utatambulishwa kuwa huyo ni cousin wa huyo aliyekualika dinner. Mkifika sehemu ambayo imekaa vizuri na wewe ume-relax ndio utashitukia kamba ipo shingoni, jamaa aliyekaa siti ya nyuma anakunyonga mpaka unakufa.

Wakishakuuwa wana jinsi yao ya kupoteza mwili wako usipatikane tena; Wanaweza kuweka mwili wako kwenye pipa wakalijaza zege kisha wakaenda kulitupa baharini, wanaweza kuweka mwili wako kwenye gari bovu kisha wakalipeleka kwenye compacter, mashine ambayo italisaga na kuliminya hilo gari mpaka liwe dogo kama box, wanaweza kukukatakata kisha wakatumbukiza vipande vya mwili wako kwenye acid na nyingine nyingi ambazo huzitumia kuhakikisha mwili wako haupatikani tena. Huo ndio "Umafia".

Hiyo ya zege ni nzuri sana. Mtu hapatikani milele.
 
Mafia ni kundi linalofanya organized crime,chimbuko ni visiwa vya sicily italy,wao wanasema ' costra nostra'' yaani mafia ni kitu walichobuni wao,ingawa kuna American mafia,Japanese mafia etc!Member wa kundi hili anaitwa mafioso,mkuu wao ni godfather su capo fi tutti capi!Mie huwa siwaogopi mafia,huwa wakizingua nawapa vitasa tu

Mkuu uko sahihi to some extent. "Mafia" huwa linatumika zaidi kuelezea American organized crime ambayo asili yake ni Sicily, Italy. Kule Sicily hawatumii neno "Mafia" bali "La Cosa Nostra" maana yake "our thing" kwa kiswahili "kitu chetu". Vikundi hivyo huwa vimegawanyika kwenye "family" au kama wenyewe wanavyoita "La familia". "Godfather au Boss" ni mkuu wa "Family", chini yake anakuwepo "Underboss" kisha "Consigliere" au "Counselor" kisha Caporegimes au maarufu kama "Capos" au "Captains", hawa ndio wanaongoza vikundi vya watu wachache wanaojulikana kama "Crews".Ndani ya Crews ndio kuna daraja la chini kabisa la "Soldiers" ambao ndio wachakarikaji kitaa kutafuta hela kwa ajili ya family.

Muungano wa familia zote ndio unakuwa chini ya "Boss of all Bosses" au "Capo Di Tutti Capi".
 
Mkuu inaonekana hukai mbali na movie za Action

Mkuu Umafia sio movies ni maisha halisi na kuna watu wanaishi hayo maisha hadi leo hii. Mimi nimebahatika kusoma vitabu na kuangalia sana documentaries za mambo yao hasa American Mafia. Halafu watu wengi huwa wanadhani sinema za action ndio za "Kimafia", kumbe ni tofauti kabisa. Mafia hawapendi kujionyesha wanachokifanya kwa hiyo hawawezi kuvamia mahali na mitutu eti wakaibe hela. Wao mambo yao wanafanya chini chini.

Ukitaka kujua umafia kupitia movies basi angalia The Godfather zote, Goodfellas, Casino na Mickey Blue Eyes ingawa ilikuwa ina elements za comedy. Au soma kitabu cha the Godfather, ndio utajua Mafia wanafanyaje uhalifu wao.
 
From: http://www.themost10.com/10-most-dangerous-gangs-in-the-world/

In fact the word ''Gang'' was just used to express a group or band of people like a club. But nowadays it has more negative tone. Today ''Gang'' means a group of people coming together for some criminal actions or other antisocial purpose. Check out 10 most dangerous gangs in the world .
10 – Cosa Nostra

Cosa Nostra
The word ''Cosa Nostra'' is an Italian word which means '' our thing'' in english. Cosa Nostra finds its roots in New York's lower east side with the start of Italian immigration to the States. They are one of the most famous Sicilian Mafia in world. It is told that they have approximately 25,000 members total, with 250,000 affiliates worldwide. They are also known to collaborate with other international organized crime groups from all over the world, especially for drug traffic.
09 – Crips

Crips
Crips is an african-american gang which were founded in Los Angeles, California, in 1969. They started as a local gang and turned into one of the biggest crime groups in the world. They are known for wearing blue clothes and carrying blue bandanas. It is believed that they have 30,000 to 35,000 members. They are extremely bitter rivals towards the Bloods gang. They are known to be involved in murders, robberies, and drug dealing. Also with famous ''Crib Walk'' dance.
08 – Wah Ching

Wah-Ching.jpg
Wah Ching
They are Chinese gang and also known as ''Dub C'' which is founded in San Francisco during the early 1960s. Wah Ching is composed mainly of young men. Most of their operations are focused around money laundering and financial crimes in Los Angeles and eastern Asia. And for real they are good at making money.
07 – Yakuza

Yakuza.jpg
Yakuza
Traditional Japanese gang. Members of yakuza gang are required to cut all ties with their family to prove their loyalty to their gang boss. It is told that they have more than 102,000 members in the world.
06 – Bloods

Bloods
Famous Los Angeles gang founded in 1972 as a club. Also known as the biggest rivals of Cribs. They are known with their ''red'' clothes and bandanas. . The gang is separated into "sets," which have their own tactics, especially when it comes to recruiting. Their members identify themselves through various gang indicators such as colors, clothing, symbols, tattoos, jewelry, graffiti, language, and also hand signs.
05 – 18th Street Gang

18th-Street-Gang.jpg
18th Street Gang
18th Street Gang also known as M18 is a ruthless criminal organization started in Los Angeles California. It is believed that they have more than 65.000 members in 120 cities. They are rivals with Bloods,MS13 and Cribs. They have brutal rules like ''18 seconds beating'' by their gang fellows to show proper respect to gang.
04 – Los Zetas

Los Zetas
It is a Mexican origin gang and one of the most powerful drug cartels in the world. Killing people is daily routie for Los Zetas members. As of 2012, Los Zetas has control over 11 states in Mexico, making it the drug cartel with the largest territory in the country. They are generally located and active in Mexico but they also have connections with United States.
03 – Aryan Brotherhood

Aryan Brotherhood
Also known as The Brand, the AB, or the One-Two. They are responsible for 1/4 of prison murders in the United States. If you want to be a member, you should kill someone they wanted. They have about 20,000 members in and out of prison in the United States.
02 – Latin Kings

Latin Kings
They are the best organized latin gang in the world. Latin Kings street gang was formed in Chicago in the 1940s. At first members were mostly Puerto Rican. But today gang is dominated by Mexicans. Although they aren't as violent as many of the other gangs they do engage in a fair share of illegal money making activities including contract killings.
01 – Mara Salvatrucha (MS-13)

Mara Salvatrucha
Without doubt, MS-13 is the most ruthless and deadliest gang in the world. They were started in California. Today they have more than 70.000 members. Mara Salvatrucha makes all of these other gangs seem like foolish people selling drugs. Mara Salvatrucha known for drug smuggling, black market gun sales, theft, contract killing, human trafficking, and assault, especially on law enforcement. They don't care about any kind of victims even kids and women.
 
A mafia is a type of organized crime syndicate whose primary activities are protection racketeering, the arbitration of disputes between criminals, and the organizing and oversight of illegal agreements and transactions. Secondary activities may be practiced such as drug-trafficking, loan sharking and fraud.

Tafsiri mzee wengine CNN haishiki ni TBC tu
 
hawa jamaa ndio waliomkamata carlos the jackal 1993 kule sudan na kumuachia baada ya uingereza kuleta longo longo
 
Back
Top Bottom