"Nitakufanyia Umafia" Nini maana ya neno Mafia? Kwanini Mafia?

"Nitakufanyia Umafia" Nini maana ya neno Mafia? Kwanini Mafia?

Asili ya mafia ni huko italia.. Sio mafia ya huku kwetu yakhee
 
Bado hakuna hata aliyempa jibu...labda jamaa mmoja hapo juu kidogo
Ni hivi Mafia ni kundi lililokuwa na nadhani bado lipo huko Italy lilikuwa maarufu Sana enzi hizo..lilikuwa linaendesha shughuli zake za uhalifu na kuuza madawa huko Italy. Linafanana kiasi na Yakuza LA Japan...but Mafia lilikuja kuenea mpaka USA kwa uhalifu coz waitaliano wengi walihamiaga huko ambao walkuwa kwenye hili Kundi na walifanya Sana uhalifu.
Na Kama mpenzi was Mpira utakumbuka kuwa Mario Balotelli alihojiwa na polisi huko Italy kwa kuhisiwa kuwa Ana uhusiano na hili kundi but alikanusha coz hawa jamaa wanawafuasi polisi,walimu,wafayakazi was sekta mbalimbali hata wabunge huko ....ingawa serikali ya Italy imejitahidi kuwaneutralize

Alionekana katka mji wa napoli kama sikosei.. Muda mrefu umepita toka nisome hio habar
 
Mkuu Sikonge naona unaleta stori za vijiweni. Hujui hata juristiction ya CIA. Toka lini CIA wakashughulika na uhalifu kama huo ndani ya USA, FBI walikuwa wapi? Halafu kali zaidi baada ya kuwakamata hao "Mafia" tena mbele ya macho yako, wakawasamehe "on the spot". Sijawahi kusikia vyombo vya usalama vya nchi yoyote vikifanya kazi namna hiyo, unaleta stori za kwenye movies. Sitaki kupoteza muda zaidi, nimegundua kuwa uelewa wako kuhusu neno "Mafia" ni tofauti na ninavyoelewa mimi. Kila mtu abaki na uelewa wake.
 
Last edited by a moderator:
Deo Corleone umenikumbusha hiyo code yao ya kutambulishana . Mafia akiwa na mtu mwingine ambaye sio Mafia na hapaswi kujua kinachoendelea kuhusu Mafia halafu akakutana na Mafia mwenzake, basi atamtambulisha yule asiye Mafia kwa kusema "this is a friend of mine". Hapo anamtonya Mafia mwenzake asiongee business. Kinyume chake Mafia mmoja akiwa na Mafia mwingine halafu wakakutana na Mafia wa tatu ambaye hamfahamu mmoja kati ya wale wawili. Yule mtambulishaji atasema "this is a friend of ours". Maana yake wako free kuongea business kwani wote ni Mafiosi. Dah jamaa walikuwa makini sana kwenye mambo yao.
 
Last edited by a moderator:
Ref ya shughuli za kimafia tafuta movie inaitwa The God father
 
Mkuu, hiyo ni habari niliambiwa na mtu mkubwa tu na sababu hasa ilikuwa ni kwamba mie ni mgeni wa nchi hiyo, habari sintaisambaza. Sababu ya kuwaacha ni kuwa hata hao Mafia walikuwa wameungana na Vigogo wa Serikali

Sikukuambia ilițokea USA maana hata US kwenyewe sijafika.

Kwa sababu walishambulia Mcdolnads nje ya nchi, ulitegemea FBI waje kushughulika na vibaka? Mbona unaleta vituko?

Walau ungelisema Secrety Service. Ila hata wao, hii si kazi yao.

Ubabe wote wa USA nje ya nchi wanaufanya kwa kutumia CIA. Au na nwewe ndiyo wale mnasema Tanzania walikuja FBI? Heheheee...... Unaanza kuleta vituko. FBI wafanye kazi Ulaya, lohhhh!??????

Mkuu Sikonge naona unaleta stori za vijiweni. Hujui hata juristiction ya CIA. Toka lini CIA wakashughulika na uhalifu kama huo ndani ya USA, FBI walikuwa wapi? Halafu kali zaidi baada ya kuwakamata hao "Mafia" tena mbele ya macho yako, wakawasamehe "on the spot". Sijawahi kusikia vyombo vya usalama vya nchi yoyote vikifanya kazi namna hiyo, unaleta stori za kwenye movies. Sitaki kupoteza muda zaidi, nimegundua kuwa uelewa wako kuhusu neno "Mafia" ni tofauti na ninavyoelewa mimi. Kila mtu abaki na uelewa wake.
 
Sikonge, acha kuwa defensive, nimeku-expose kuwa hujui kitu. Unachoongea ni stori za vijiweni tu. Umesema ulishuhudia, mara jamaa yako alikwambia. Oh mara ilikuwa sio US ilikuwa Ulaya, huko ulaya hawana vyombo vyao vya usalama mpaka CIA wakawafanyie hiyo kazi? Yaani huelewi hata kazi ya CIA ni nini. Secret Service? Kama hujui kitu usiwe unadandia mambo, matokeo yake ukibanwa unaanza kubwabwaja.
 
Last edited by a moderator:
Siyo kwamba niliambiwa kuhusu jengo la Macdonalds, nililiona kwa macho yangu likiwa tayari limelipuliwa.

Ila wahusika wa kulipua yaani Mafia na kilichofanywa na CIA, nilikuja kuambiwa baadaye. Hapo huelewi nini?

Jana umenishambulia, nimekujibu kifasaha, leo unakuja na vijitusi vya rejareja. Eti kubwabwaja, unajua hata maana yake?

Nilifikiri tupo kueleweshana, kumbe wewe upo kushindana? Sawa Mkuu, umeshinda na umeni-expose.

Soccer-World-Cup-image-preview.jpg


Sikonge, acha kuwa defensive, nimeku-expose kuwa hujui kitu. Unachoongea ni stori za vijiweni tu. Umesema ulishuhudia, mara jamaa yako alikwambia. Oh mara ilikuwa sio US ilikuwa Ulaya, huko ulaya hawana vyombo vyao vya usalama mpaka CIA wakawafanyie hiyo kazi? Yaani huelewi hata kazi ya CIA ni nini. Secret Service? Kama hujui kitu usiwe unadandia mambo, matokeo yake ukibanwa unaanza kubwabwaja.
 
CIA in watu hatari sana kama mambo yapo hivi
 
Back
Top Bottom