"Nitakufanyia Umafia" Nini maana ya neno Mafia? Kwanini Mafia?

"Nitakufanyia Umafia" Nini maana ya neno Mafia? Kwanini Mafia?

Mafia ni UJAMBAZI uliostaarabika na kwenda shule. Ni kama DINI ambayo huwa kuna miiko yake migumu sana kuifuata.

Ili uingie humo, basi labda uwe umezaliwa au wakuchunguze kwa miaka mingi sana.

Mwanao akifanya makosa na kuongea na POLISI au Wazazi wako, wewe mwenyewe unapewa kazi ya kusafisha uchafu.

Wengi walishauwa Watoto wao baada ya kuwa wamesaliti familia.

Mafia kama Mafia, ilianza kutokana na umasikini uliokithiri huko kusini mwa Italia na France.

Ndiyo maana kuna makundi mawili ya kutisha ya Mafia huko: Sicilian mafia (Camorra ya Napoli, Italy) na Corsican Mafia ya Ufaransa ambacho ni kisiwa kilicho karibu na Italy.

Hawa jamaa hutumia mabavu kufanya biashara zao zote na hufanya kama Serikali yao ndogo kwa kuchukua kodi kwa kila mfanya biashara anayefanya biashara kwenye maeneo yao.

Walijiingiza pia kwenye biashara ya ukahaba, madawa ya kulevya, silaha nk.

Ila siku hizi wamebadili style kwa kujiingiza kwenye biashara ya vitu FEKI kama madawa. Hufanya wizi wa bidhaa mbalimbali kama makontena bandarini, fedha nk. Pia ndiyo watu wanaomiliki vitu kama Casino nk.

Kutokana na kubwanwa sana na serikali duniani, wamebadili sana style zao za ujambazi.

Ila kwa ufupi ni watu Makatili walio tayari kuuwa mtoto wake mwenyewe

Wote Slogan yao huwa moja: COSTRA NOSTRA yaani "Mambo yetu" na kwa Kiingereza "Our thing".
 
Italian Mafia katika initation ceremony yao wanaapa mbele ya sanamu ya Bikira Maria. Hawa mafia wakati wa vita ya pili ya dunia General Patton aliwatumia kushinda vita Italy,kwa sababu wao ndio walikuwa wanazifahamu njia zote za vichochoro. Kwa hiyo wakapata ahadi ya serikali ya marekani ya kufanya umafia bila kuzuiwa. Edgar Hoover umesikia how he was cooperating with The Mob.

Mkuu, again uko sahihi to some extent, naomba nikusahishe kidogo kwa faida ya wengine. Tuanze na initiation ceremony au kama wenyewe wanavyoita "to be made". Hii maana yake ni kumuingiza rasmi mtu (induction) kwenye familia ya kimafia, ni hatua kubwa sana na ni heshima kubwa kwa wale ambao wamechagua maisha hayo. Maana yake ni kuwa sasa unakuwa rasmi sehemu ya familia na Boss anakutambua na anakulinda.

Sherehe zenyewe husimamiwa na Boss mwenyewe na viongozi wengine wa familia wanakuwepo. Kwa kuanza Boss anamuuliza mhusika kama anajua aina ya maisha anayotaka kuingia rasmi? Kwamba akishaingia humo hakuna kutoka mpaka kifo? Kwamba kuanzia sasa muda wote wa maisha yake ataitumikia familia hiyo na si kitu kingine? Kwamba atatunza kiapo cha ukimya au kama wenyewe wanavyoita "Omerta"? Mhusika akikubali kinachukuliwa kisu au sindano kisha anatobolewa kidogo kwenye kidole cha shahada (index finger) damu ikichuruzika inachukuliwa picha au sanamu ya mtakatifu yeyote kisha inachomwa moto kisha mhusika anapewa mikononi halafu anakuwa anairusha kutoka mkono mmoja hadi mwingine huku akisema "nikiisaliti familia hii niungue kama mtakatifu huyu anavyoungua" Baada ya hapo shughuli inakuwa imeisha.

Kuhusu Mafia kusaidia Marekani wakati wa World War II ni kweli waliwasaidia kwa kuwa Mafia walikuwa wanampinga Benito Mussolini ambaye naye alikuwa hawapendi Mafia. Kwamba Serikali Marekani iliwaruhusu kufanya uhalifu baada ya vita sio kweli kwani Mafioso maarufu kama Charles "Lucky" Luciano na Joseph "Joe Bananas" Bonano walikuwa deported kurudi kwao Italy kutokana na uhalifu wao.

Suala la Edgar J Hoover ambaye alikuwa Director wa kwanza wa FBI kujihusisha na Mafia ni tetesi ambazo zilikuwepo miaka mingi, ni kama vile inavyodhaniwa kuwa Mafia walihusika na kifo cha Rais John Kennedy. Tetesi hizo zilizidi baada ya Hoover kukataa kuwa kuna Mafia baada ya vyombo vya habari kuripoti juu ya kuwepo kwao na kutaka FBI wawafuatilie.
 
Mafia ni UJAMBAZI uliostaarabika na kwenda shule. Ni kama DINI ambayo huwa kuna miiko yake migumu sana kuifuata.

Ili uingie humo, basi labda uwe umezaliwa au wakuchunguze kwa miaka mingi sana.

Mwanao akifanya makosa na kuongea na POLISI au Wazazi wako, wewe mwenyewe unapewa kazi ya kusafisha uchafu.

Wengi walishauwa Watoto wao baada ya kuwa wamesaliti familia.

Mafia kama Mafia, ilianza kutokana na umasikini uliokithiri huko kusini mwa Italia na France.

Ndiyo maana kuna makundi mawili ya kutisha ya Mafia huko: Sicilian mafia (Camorra ya Napoli, Italy) na Corsican Mafia ya Ufaransa ambacho ni kisiwa kilicho karibu na Italy.

Hawa jamaa hutumia mabavu kufanya biashara zao zote na hufanya kama Serikali yao ndogo kwa kuchukua kodi kwa kila mfanya biashara anayefanya biashara kwenye maeneo yao.

Walijiingiza pia kwenye biashara ya ukahaba, madawa ya kulevya, silaha nk.

Ila siku hizi wamebadili style kwa kujiingiza kwenye biashara ya vitu FEKI kama madawa. Hufanya wizi wa bidhaa mbalimbali kama makontena bandarini, fedha nk. Pia ndiyo watu wanaomiliki vitu kama Casino nk.

Kutokana na kubwanwa sana na serikali duniani, wamebadili sana style zao za ujambazi.

Ila kwa ufupi ni watu Makatili walio tayari kuuwa mtoto wake mwenyewe

Wote Slogan yao huwa moja: COSTRA NOSTRA yaani "Mambo yetu" na kwa Kiingereza "Our thing".

Mkuu, mtazamo kuwa Mafia ni majambazi kama wengi wanavyodhani sio sahihi. Katika vitu ambavyo Mafia hawapendi ni attention, hasa kutoka kwa Polisi. Kwa hiyo uhalifu wao ni ule ambao Polisi hawawezi kuushtukia kirahisi, na ujambazi sio aina hiyo ya uhalifu.

Labda nitoe mfano. Aina ya uhalifu ambao ni classic kwa Mafia ni kitu kinaitwa "loan sharking". Hii ni kama ambavyo huku kwetu siku hizi watu wanakopeshana mitaani kwa riba. Tofauti ni kwamba riba ya Mafia inazaa kila baada ya kipindi fulani kupita kama hujalipa. Na Mafia huwa wanawalenga wale watu ambao wana uhakika kuwa watashindwa kulipa "on time" kama wacheza kamari n.k. Maana yake ni kuwa ikifika siku ya kulipa kama huna hela, unapewa "offer" ya kulipa riba peke yake, maana yake ni kuwa deni linabaki bado pale pale, tofauti kuwa riba inapanda. Ikifika tena muda mwingine huna hela tena unalipa riba, deni linabaki pale pale, riba inapanda. Matokeo yake unakuwa mtumwa wa deni yaani unalipa maisha yako yote.

Huo ni mfano mmoja tu. Aina nyingine maarufu za uhalifu wa Kimafia ni kama magendo (ingawa hii ni ya zamani, siku hizi haipo tena), utekaji nyara magari yenye bidhaa "hijacking", ukusanyaji wa "kodi" mitaani "extortion" na nyingine ambazo ningekuwa na muda ningezielezea.
 
Bado hakuna hata aliyempa jibu...labda jamaa mmoja hapo juu kidogo
Ni hivi Mafia ni kundi lililokuwa na nadhani bado lipo huko Italy lilikuwa maarufu Sana enzi hizo..lilikuwa linaendesha shughuli zake za uhalifu na kuuza madawa huko Italy. Linafanana kiasi na Yakuza LA Japan...but Mafia lilikuja kuenea mpaka USA kwa uhalifu coz waitaliano wengi walihamiaga huko ambao walkuwa kwenye hili Kundi na walifanya Sana uhalifu.
Na Kama mpenzi was Mpira utakumbuka kuwa Mario Balotelli alihojiwa na polisi huko Italy kwa kuhisiwa kuwa Ana uhusiano na hili kundi but alikanusha coz hawa jamaa wanawafuasi polisi,walimu,wafayakazi was sekta mbalimbali hata wabunge huko ....ingawa serikali ya Italy imejitahidi kuwaneutralize

Mkuu kwa hiyo hapa wewe ndo umemjibu jamaa? Nini maana ya kauli "nitakufanyia U-Mafia"? Msome The Boss hapo juu.
 
Last edited by a moderator:
Je wakuu bongo kuna mafia???
 
Mkuu kwa hiyo hapa wewe ndo umemjibu jamaa? Nini maana ya kauli "nitakufanyia U-Mafia"? Msome The Boss hapo juu.

Nitakufanyia umafia=nitakufanyia UBAYA/UNYAMA.

Inawezekana ni kukuibia,kukuulia,kukusingizia au chochote KIBAYA!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Umafia sio movies ni maisha halisi na kuna watu wanaishi hayo maisha hadi leo hii. Mimi nimebahatika kusoma vitabu na kuangalia sana documentaries za mambo yao hasa American Mafia. Halafu watu wengi huwa wanadhani sinema za action ndio za "Kimafia", kumbe ni tofauti kabisa. Mafia hawapendi kujionyesha wanachokifanya kwa hiyo hawawezi kuvamia mahali na mitutu eti wakaibe hela. Wao mambo yao wanafanya chini chini.

Ukitaka kujua umafia kupitia movies basi angalia The Godfather zote, Goodfellas, Casino na Mickey Blue Eyes ingawa ilikuwa ina elements za comedy. Au soma kitabu cha the Godfather, ndio utajua Mafia wanafanyaje uhalifu wao.

Uko sawa mkuu,kuna novel inaitwa rage of angels,imeelezea vizuri sana!Real mafias do exist,kuna mkuu wao alifungwa alcatraz,aliitwa alcapone,ali rise hadi kuwa capo di tutti cappi
 
Mkuu, again uko sahihi to some extent, naomba nikusahishe kidogo kwa faida ya wengine. Tuanze na initiation ceremony au kama wenyewe wanavyoita "to be made". Hii maana yake ni kumuingiza rasmi mtu (induction) kwenye familia ya kimafia, ni hatua kubwa sana na ni heshima kubwa kwa wale ambao wamechagua maisha hayo. Maana yake ni kuwa sasa unakuwa rasmi sehemu ya familia na Boss anakutambua na anakulinda.

Sherehe zenyewe husimamiwa na Boss mwenyewe na viongozi wengine wa familia wanakuwepo. Kwa kuanza Boss anamuuliza mhusika kama anajua aina ya maisha anayotaka kuingia rasmi? Kwamba akishaingia humo hakuna kutoka mpaka kifo? Kwamba kuanzia sasa muda wote wa maisha yake ataitumikia familia hiyo na si kitu kingine? Kwamba atatunza kiapo cha ukimya au kama wenyewe wanavyoita "Omerta"? Mhusika akikubali kinachukuliwa kisu au sindano kisha anatobolewa kidogo kwenye kidole cha shahada (index finger) damu ikichuruzika inachukuliwa picha au sanamu ya mtakatifu yeyote kisha inachomwa moto kisha mhusika anapewa mikononi halafu anakuwa anairusha kutoka mkono mmoja hadi mwingine huku akisema "nikiisaliti familia hii niungue kama mtakatifu huyu anavyoungua" Baada ya hapo shughuli inakuwa imeisha.

Kuhusu Mafia kusaidia Marekani wakati wa World War II ni kweli waliwasaidia kwa kuwa Mafia walikuwa wanampinga General Franco ambaye naye alikuwa hawapendi Mafia. Kwamba Serikali Marekani iliwaruhusu kufanya uhalifu baada ya vita sio kweli kwani Mafioso maarufu kama Charles "Lucky" Luciano na Joseph "Joe Bananas" Bonano walikuwa deported kurudi kwao Italy kutokana na uhalifu wao.

Suala la Edgar J Hoover ambaye alikuwa Director wa kwanza wa FBI kujihusisha na Mafia ni tetesi ambazo zilikuwepo miaka mingi, ni kama vile inavyodhaniwa kuwa Mafia walihusika na kifo cha Rais John Kennedy. Tetesi hizo zilizidi baada ya Hoover kukataa kuwa kuna Mafia baada ya vyombo vya habari kuripoti juu ya kuwepo kwao na kutaka FBI wawafuatilie.

Ni kweli mkuu,ila kuna mafia wengi ambao wali infiltrate ndani ya fbi,pia kuna fbi wengi walioingizwa ndani ya mafia group kufanya inside jobs!Kuna tetesi pia mafia walimuua pope aliyedumu kwa siku 33,yote hufanywa kwa siri sana!Je unamkumbuka alcapone??mafioso wengi waliishia gereza la alcatraz
 
Ni kweli mkuu,ila kuna mafia wengi ambao wali infiltrate ndani ya fbi,pia kuna fbi wengi walioingizwa ndani ya mafia group kufanya inside jobs!Kuna tetesi pia mafia walimuua pope aliyedumu kwa siku 33,yote hufanywa kwa siri sana!Je unamkumbuka alcapone??mafioso wengi waliishia gereza la alcatraz

Sasa watu huwa wanafahamu vipi mambo yao? kama hayo mauaji, viapo n.k
 
Mkuu, ndiyo maana niliandika kuwa hawa Mafia ni Ujambazi uliostaarabika. Neno kustaarabu uliliona au ulivaa miwani ya mbao? Huko kutokutaka atention ni moja ya ustaarabu wao. Kila kitu kipo chini ya ardhi.

Mafia wamegawanyika katika sehemu nyingi. Hao unaowasema wewe kuwa wanakopesha na deni haliishi ni vibaka wasio wastaarabu. Hao ni aina mpya ya Mafia ambao mara nyingi ni Watoto wa Kihuni na Vijambazi vijana waliovamia hiyo kazi. Hawa mara nyingi huwa hata hawadumu. Wajanja huwa wanabadili hizo biashara baada ya muda.

Tatizo la hao jamaa huwa linazuka pale mtu akikataa kulipa ambapo humpiga au kumuuwa. Sasa itokee kuwa kumbe jamaa naye ana ndugu kwa Vigogo, hapo moto huwaka. Mafiawa kweli hawawezi kufanya biashara ya risk namna hiyo. Mwenyewe nimesikia kesi nyingi za namna hiyo na hii hufanyika mara nyingi kwenye nchi za Asia au Miaka ya 90 huko Russia na Eastern Europe. Nchi nyingi wamewadhibiti tayari hawa Mafia.

Nchini Czech kuna Yugoslavian Mafia. Hawa jamaa unaweza kuwa na biashara unataka kufanya na huna mtaji, wao wanaweza kukupa huku wakichukua 60% ya mapato yako. Watakulinda, kukutafutia wateja nk ili ufanikiwe. Ila ukiwaibia, mziki wake sikiliza.

Hawa jamaa huibia pia Watalii. Hii ya kuibia Watalii, ipo zaidi nchi zenye Watalii wengi kama Praga-Czech, Istanbul-Turkey, Argentina, Mexico nk. Huibia watu kwa njia tofauti. Waturuki wanaibia watu kwa kuwauzia bia bei juu. Mtu anakuja na kukufanya wewe rafiki, mnaenda Bar mnaagiza bia moja moja, bili ikiletwa kumbe bia moja Euro 800.
Wengine huwaibia kwenye Taxi kwa kupandisha bei au kuchukua noti yako na kuibadilisha na anakupa feki na kudai wewe ndiyo umempa feki. Wengine huwa wanaleta vimwana vinaongea na Wateja na wao huja na kukupiga wakidai umeongea na Msichana wake. Hii niliiona kwenye Hidden camera na jamaa waliporudi na kujitambulisha baada ya kuwa wamelipa fedha, jamaa alisema mbele ya camera bila ya kujificha uso - ndiyo maana nawaita vibaka.

Mafia kama Mafia hasa hawa Camorra na Corsican, wengi sasa hivi ni Wafanya biashara worth Billions of Euros. Hao wakopeshaji na takataka nyingine, ni aibu hata kuwaita Mafia. Hao watakuwa ni vijambazi vinavyopata support ya Mkuu wa Polisi fulani au Usalama wa Taifa walioamua kuasi na kujitafutia pesa za ziada.

Ukweli ni kwamba, kila nchi ili iendelee, inahitaji Mafia. USA wana CIA...... Nigerian Mafia, Japanese Mafia, Chinese Mafia, Israel Mafia, Mexico Cartel, Argentina and Brazil Mafia, Russian Mafia, wapi Tanzanian Mafia?
Hawa Mafia mara nyingi ndiyo huwa Wafia nchi maana pesa zao zote wameziweka na kuwekeza kwao.

Mkuu, mtazamo kuwa Mafia ni majambazi kama wengi wanavyodhani sio sahihi. Katika vitu ambavyo Mafia hawapendi ni attention, hasa kutoka kwa Polisi. Kwa hiyo uhalifu wao ni ule ambao Polisi hawawezi kuushtukia kirahisi, na ujambazi sio aina hiyo ya uhalifu.

Labda nitoe mfano. Aina ya uhalifu ambao ni classic kwa Mafia ni kitu kinaitwa "loan sharking". Hii ni kama ambavyo huku kwetu siku hizi watu wanakopeshana mitaani kwa riba. Tofauti ni kwamba riba ya Mafia inazaa kila baada ya kipindi fulani kupita kama hujalipa. Na Mafia huwa wanawalenga wale watu ambao wana uhakika kuwa watashindwa kulipa "on time" kama wacheza kamari n.k. Maana yake ni kuwa ikifika siku ya kulipa kama huna hela, unapewa "offer" ya kulipa riba peke yake, maana yake ni kuwa deni linabaki bado pale pale, tofauti kuwa riba inapanda. Ikifika tena muda mwingine huna hela tena unalipa riba, deni linabaki pale pale, riba inapanda. Matokeo yake unakuwa mtumwa wa deni yaani unalipa maisha yako yote.

Huo ni mfano mmoja tu. Aina nyingine maarufu za uhalifu wa Kimafia ni kama magendo (ingawa hii ni ya zamani, siku hizi haipo tena), utekaji nyara magari yenye bidhaa "hijacking", ukusanyaji wa "kodi" mitaani "extortion" na nyingine ambazo ningekuwa na muda ningezielezea.
 
Ni kweli mkuu,ila kuna mafia wengi ambao wali infiltrate ndani ya fbi,pia kuna fbi wengi walioingizwa ndani ya mafia group kufanya inside jobs!Kuna tetesi pia mafia walimuua pope aliyedumu kwa siku 33,yote hufanywa kwa siri sana!Je unamkumbuka alcapone??mafioso wengi waliishia gereza la alcatraz

Mkuu, Mafia hawakuwahi ku-infltrate FBI. Kama ingekuwa hivyo basi FBI agent Joseph Pistone aka Donnie Brasco asingeweza kufanya kazi undercover kwa miaka sita ndani ya familia ya Kimafia ya Bonnano, wangemgundua na kumuua. Jamaa alifanikiwa kuwashawishi Mafia mpaka wakataka kumuingiza rasmi kwenye Umafia. Tatizo likawa kwanza alitakiwa kuchukua contract ya kuua mtu na FBI wasingeweza kuruhusu agent wao kuua mtu kijinai. Ndipo wakaamua kumtoa jamaa na kumjulisha Sonny "Black" Napolitano ambaye ndiye alikuwa Capo wa Crew ya Pistone kuwa jamaa sio mhalifu bali ni FBI agent.

Mafia walidata, wakatoa contract ya $500,000 (ipo mpaka leo) kwa yeyote atakayefanikiwa kumuua Pistone. Jamaa ikabidi awekwe chini ya "witness protection program" mpaka leo. Ukitaka kumuona tafuta series za Documentaries zinaitwa "The American Mob".

Ni kweli FBI agents kadhaa wamewahi kufanya kazi undercover ndani ya Mafia lakini walioleta impact kubwa na kutingisha mizizi ya Mafia ni wawili, Joseph Pistone na Joaquin Garcia.

Mafia wamekuwa wakihusishwa na vifo vya watu wengi maarufu kama Rais John Kennedy, Jimmy Hoffa na hata Pope Paul kama ulivyosema hapo juu. Lakini ni tetesi tu, hazina ushahidi.

Namfahamu vizuri sana Al Capone aka Scarface, Godfather wa "Chicago Outfit". Labda nikuambie kitu cha kustaajabisha kuhusu Al Capone ni kwamba pamoja na umaarufu wote aliokuwa nao hakuwahi kuingizwa rasmi ndani ya Mafia. Sababu? Ili kuingia rasmi kuwa Mafia ni lazima uwe na asili ya Sicily, Italy. Yaani wazazi wako wote lazima wawe wanatoka Sicily, ikitokea mzazi mmoja au wote hawatoki huko basi wewe hata uwe Boss wa family kama alivyokuwa Al Capone utaishia kuwa "associate" wa Maboss wengine "you can never be made".

Ni kweli Al Capone alifungwa kwenye gereza maarufu la Alcatraz mwaka 1932 ingawa baadaye alihamishwa baada ya kuanza kuumwa. Lakini sio Mafia wote walifungwa huko, wengine walifungwa kwenye magereza mengine kama Lewisburg, Marion etc. After all Alcatraz ilifungwa mwaka 1963.
 
Mkuu, ndiyo maana niliandika kuwa hawa Mafia ni Ujambazi uliostaarabika. Neno kustaarabu uliliona au ulivaa miwani ya mbao? Huko kutokutaka atention ni moja ya ustaarabu wao. Kila kitu kipo chini ya ardhi.

Mafia wamegawanyika katika sehemu nyingi. Hao unaowasema wewe kuwa wanakopesha na deni haliishi ni vibaka wasio wastaarabu. Hao ni aina mpya ya Mafia ambao mara nyingi ni Watoto wa Kihuni na Vijambazi vijana waliovamia hiyo kazi. Hawa mara nyingi huwa hata hawadumu. Wajanja huwa wanabadili hizo biashara baada ya muda.

Tatizo la hao jamaa huwa linazuka pale mtu akikataa kulipa ambapo humpiga au kumuuwa. Sasa itokee kuwa kumbe jamaa naye ana ndugu kwa Vigogo, hapo moto huwaka. Mafiawa kweli hawawezi kufanya biashara ya risk namna hiyo. Mwenyewe nimesikia kesi nyingi za namna hiyo na hii hufanyika mara nyingi kwenye nchi za Asia au Miaka ya 90 huko Russia na Eastern Europe. Nchi nyingi wamewadhibiti tayari hawa Mafia.

Nchini Czech kuna Yugoslavian Mafia. Hawa jamaa unaweza kuwa na biashara unataka kufanya na huna mtaji, wao wanaweza kukupa huku wakichukua 60% ya mapato yako. Watakulinda, kukutafutia wateja nk ili ufanikiwe. Ila ukiwaibia, mziki wake sikiliza.

Hawa jamaa huibia pia Watalii. Hii ya kuibia Watalii, ipo zaidi nchi zenye Watalii wengi kama Praga-Czech, Istanbul-Turkey, Argentina, Mexico nk. Huibia watu kwa njia tofauti. Waturuki wanaibia watu kwa kuwauzia bia bei juu. Mtu anakuja na kukufanya wewe rafiki, mnaenda Bar mnaagiza bia moja moja, bili ikiletwa kumbe bia moja Euro 800.
Wengine huwaibia kwenye Taxi kwa kupandisha bei au kuchukua noti yako na kuibadilisha na anakupa feki na kudai wewe ndiyo umempa feki. Wengine huwa wanaleta vimwana vinaongea na Wateja na wao huja na kukupiga wakidai umeongea na Msichana wake. Hii niliiona kwenye Hidden camera na jamaa waliporudi na kujitambulisha baada ya kuwa wamelipa fedha, jamaa alisema mbele ya camera bila ya kujificha uso - ndiyo maana nawaita vibaka.

Mafia kama Mafia hasa hawa Camorra na Corsican, wengi sasa hivi ni Wafanya biashara worth Billions of Euros. Hao wakopeshaji na takataka nyingine, ni aibu hata kuwaita Mafia. Hao watakuwa ni vijambazi vinavyopata support ya Mkuu wa Polisi fulani au Usalama wa Taifa walioamua kuasi na kujitafutia pesa za ziada.

Ukweli ni kwamba, kila nchi ili iendelee, inahitaji Mafia. USA wana CIA...... Nigerian Mafia, Japanese Mafia, Chinese Mafia, Israel Mafia, Mexico Cartel, Argentina and Brazil Mafia, Russian Mafia, wapi Tanzanian Mafia?
Hawa Mafia mara nyingi ndiyo huwa Wafia nchi maana pesa zao zote wameziweka na kuwekeza kwao.

Nimegundua kuwa wewe unaongelea "Modern Mafia" na mimi naongelea "Old Mafia". Umafia katika hizo nchi ulizozitaja hapo juu umekuja miaka ya karibuni na hauko katika mfumo ule wa zamani. Na ndio maana hata aina yao ya uhalifu ni tofauti.

Hiyo "loan sharking" nilitoa kama mfano rahisi ili watu wengi waelewe na unaposema eti ni biashara ya vibaka sio kweli kafanye utafiti, mpaka leo Mafia wanaifanya. Mafia walikuwa na aina nyingine za uhalifu ambao ulikuwa unawaingizia hela nyingi kama "Labour Racketeering", "Construction Manipulations", "Illegal Gambling", "Bookmaking" na "Prostitution".

Biashara ya drugs Mafia walikuja kuingia baadaye kwa sababu ilikuwa na pesa nyingi ingawa mwanzoni hawakuipenda na Maboss wengi waliwakataza watu wao kufanya kwa vile ilikuwa inaharibu vijana mitaani.

Kusema " ili kila nchi iendelee inahitaji Mafia" ndio nasikia kutoka kwako. Sijawahi kusikia nchi ambayo inahitaji wahalifu ili iendelee. CIA ni Mafia? Hiyo nayo ni habari mpya kwangu.
 
Uko sawa mkuu,kuna novel inaitwa rage of angels,imeelezea vizuri sana!Real mafias do exist,kuna mkuu wao alifungwa alcatraz,aliitwa alcapone,ali rise hadi kuwa capo di tutti cappi

Al Capone hakuwa mkuu wa Mafia, alikuwa Boss wa kundi la kihalifu la Chicago maarufu kama "The Outfit". Al Capone anajulikana kuliko Maboss wengine kwa sababu alikuwa katili kupita kiasi. As a matter of fact watu wengi hawajui kuwa Al Capone hata hakuwahi kuingizwa rasmi kwenye Umafia "he was never a made man" kwa sababu alikuwa hatoki Sicily, ambalo ni sharti kubwa kabisa ili kuwa "a made man".
 
Anyway, mengine hayo naona tumekubaliana ingawa kuna katofauti kadogo sana na si muhimu.

CIA ni Mafia Mkuu. Kama ulikuwa hujui basi habari ndiyo hiyo.

Clinton aliomba msamaha waziwazi kwa makosa ya CIA kuuza Drug nchini Marekani. Au na wewe hilo ulikuwa hulijui? Yaani CIA ni Mafia ndiyo kwanza unasikia kutoka kwangu? Kamuulize Rais wa zamani wa Nicaragua - Noriega au Carlos wa Columbia, upate maana ya CIA.

Kuna film alicheza Denzel Washington kama muuza madawa aitwaye Frank : American Gangster (film) - Wikipedia, the free encyclopedia

Huyo Frank Lucas kama sikosei hadi leo mzima. Jamaa alikuwa bonge la Gangster na unga wake aliuleta USA kwa kutumia ndege za jeshi. Hapo usiniambie CIA hawakujua.

Ukitaka kujua zaidi maana naona hujui mengi, soma hizi link mbili na angalia hiyo Video.

1. Key Figures In CIA-Crack Cocaine Scandal Begin To Come Forward

2. http://en.wikipedia.org/wiki/Allegations_of_CIA_drug_trafficking



Kila nchi inahitaji Mafia, YES. Nitalisema tena na tena. Hawa jamaa kwa Tanzania ndiyo walikuwa wanatakiwa kuwa wameshika biashara nyingi za nchi. Unafikiri wangeliruhusu hizi IMPORT tunafanya hadi chupi made in China? Mafia huwa wanawekeza sana kwenye nchi zao na hiyo hukuza uchumi wa nchi kwa ku-export zaidi. Watu kama Dangote usifikiri wametajirika kwa miujiza. Huyu jamaa alifanya Monopoly ya kuuza Cement na Sukari Nigeria. Nchi ya watu zaidi ya 150M, wewe lazima uwe tajiri.

Mafia wangelikuwepo, viwanda vingi vingelikuwa bado mali ya Watanzania maana mwisho wa siku, hao Mafia ni watu pia wa nchi hizo. Nchi kama Italy, family owner wa FIAT ni jamaa wazito sana maana ukiacha kuwa ndiyo owner wa Fiat na kiwanda cha magari cha Chrysler, pia ndiyo wenye share kubwa kwenye kiwanda cha mashine za ujenzi cha CASE na vingine kadhaa. Hivi viwanda ndiyo nguvu kubwa ya uchumi ya watu wa Ulaya.

Ila hawa ni MAFIA ambao kwa sasa wamefika stage ya juu sana na kwa hapa, sintaweza hata kuandika. Hizi family ni watu ambao hufanyiana ubabe na watu kama Ruthchilds maana huko wanakutana wababe kwa wababe. Nchi kama Tanzania wala hatuna ubavu wa kubishana au kupigana nao. Nigeria kwa leo kwa kutumia akina Dangote, wanaweza kabisa kusema NO, Thank You. Tanzania nani awabishie? Mengi? Azam? Mheshimiwa Mo? Chenge? Wote cha mtoto.

BTW: Casino nyingi za Las Vegas, owner ni nani vile? Walipataje hizo zao? Umesikia Meli za Maersk zinadaiwa kubeba silaha kupeleka Liberia na Sierra Leon? Umesikia NOKIA alikuwa akisaidia vita ya Congo ili wabebe Coltan (wanatumia kutengenezea Bettry za Simu na Laptop) kwa bei chee? Mafia Wastaarabu hao.
Kusema " ili kila nchi iendelee inahitaji Mafia" ndio nasikia kutoka kwako. Sijawahi kusikia nchi ambayo inahitaji wahalifu ili iendelee. CIA ni Mafia? Hiyo nayo ni habari mpya kwangu.
 
Last edited by a moderator:
Anyway, mengine hayo naona tumekubaliana ingawa kuna katofauti kadogo sana na si muhimu.

CIA ni Mafia Mkuu. Kama ulikuwa hujui basi habari ndiyo hiyo.

Clinton aliomba msamaha waziwazi kwa makosa ya CIA kuuza Drug nchini Marekani. Au na wewe hilo ulikuwa hulijui? Yaani CIA ni Mafia ndiyo kwanza unasikia kutoka kwangu? Kamuulize Rais wa zamani wa Nicaragua - Noriega au Carlos wa Columbia, upate maana ya CIA.

Kuna film alicheza Denzel Washington kama muuza madawa aitwaye Frank : American Gangster (film) - Wikipedia, the free encyclopedia

Huyo Frank Lucas kama sikosei hadi leo mzima. Jamaa alikuwa bonge la Gangster na unga wake aliuleta USA kwa kutumia ndege za jeshi. Hapo usiniambie CIA hawakujua.

Ukitaka kujua zaidi maana naona hujui mengi, soma hizi link mbili na angalia hiyo Video.

1. Key Figures In CIA-Crack Cocaine Scandal Begin To Come Forward

2. Allegations of CIA drug trafficking - Wikipedia, the free encyclopedia



Kila nchi inahitaji Mafia, YES. Nitalisema tena na tena. Hawa jamaa kwa Tanzania ndiyo walikuwa wanatakiwa kuwa wameshika biashara nyingi za nchi. Unafikiri wangeliruhusu hizi IMPORT tunafanya hadi chupi made in China? Mafia huwa wanawekeza sana kwenye nchi zao na hiyo hukuza uchumi wa nchi kwa ku-export zaidi. Watu kama Dangote usifikiri wametajirika kwa miujiza. Huyu jamaa alifanya Monopoly ya kuuza Cement na Sukari Nigeria. Nchi ya watu zaidi ya 150M, wewe lazima uwe tajiri.

Mafia wangelikuwepo, viwanda vingi vingelikuwa bado mali ya Watanzania maana mwisho wa siku, hao Mafia ni watu pia wa nchi hizo. Nchi kama Italy, family owner wa FIAT ni jamaa wazito sana maana ukiacha kuwa ndiyo owner wa Fiat na kiwanda cha magari cha Chrysler, pia ndiyo wenye share kubwa kwenye kiwanda cha mashine za ujenzi cha CASE na vingine kadhaa. Hivi viwanda ndiyo nguvu kubwa ya uchumi ya watu wa Ulaya.

Ila hawa ni MAFIA ambao kwa sasa wamefika stage ya juu sana na kwa hapa, sintaweza hata kuandika. Hizi family ni watu ambao hufanyiana ubabe na watu kama Ruthchilds maana huko wanakutana wababe kwa wababe. Nchi kama Tanzania wala hatuna ubavu wa kubishana au kupigana nao. Nigeria kwa leo kwa kutumia akina Dangote, wanaweza kabisa kusema NO, Thank You. Tanzania nani awabishie? Mengi? Azam? Mheshimiwa Mo? Chenge? Wote cha mtoto.

BTW: Casino nyingi za Las Vegas, owner ni nani vile? Walipataje hizo zao? Umesikia Meli za Maersk zinadaiwa kubeba silaha kupeleka Liberia na Sierra Leon? Umesikia NOKIA alikuwa akisaidia vita ya Congo ili wabebe Coltan (wanatumia kutengenezea Bettry za Simu na Laptop) kwa bei chee? Mafia Wastaarabu hao.


Kuita CIA ni Mafia ni upotoshaji wa concept nzima ya neno "Mafia". Kuuza drugs hakukufanyi kuwa Mafia, kama ni hivyo basi hata Tanzania tuna Mafia. CIA kujihusisha na drugs kila mtu anajua lakini haiwafanyi kuwa Mafia labda kama hujui maana yake.

Mkuu naona unachanganya Umafia na concepts nyingine za economics ambazo hazihusiani kabisa na Umafia. Kwa mtazamo wako ni kuwa uhalifu wowote ni Umafia, that is not true. Kwa nini unadhani Mafia wanapaswa kushika njia za uchumi? Unajua kwamba huwa hata hawalipi kodi? Huo uchumi watauinuaje? Kwa hiyo Dangote naye ni Mafia? Ku-monopolize soko la bidhaa ni umafia? Basi Bill Gates naye ni Mafia maana ali-monopolize soko la software mpaka akashitakiwa kwa sheria ya US anti trust.

Nani kakudanganya kwamba Mafia huwa wanajali kuhusu uchumi kukua? Kwa hiyo Familia ya Agnelli ya Italy ambayo ni wamiliki wa Kampuni ya Fiat ni Mafia na Familia ya Rothchilds ni Mafia? Unaposema Nigeria inaweza kusema NO kwa sababu ya Dangote, wanaweza kumwambia nani NO na kwa nini?

Baadhi ya Casino za Las Vegas kama vile Flamingo ambayo ilijengwa na Benjamin "Bugsy" Siegel kwenye miaka ya 1940 kweli zilimilikwa na Mafia zamani lakini sasa hivi zinamilikiwa na makampuni ambayo ni publicly traded na watu wengine, unless of course kama kawaida yako uanze kutuambia kuwa MGM Hotels, Casinos and Resorts Inc. ni kampuni ya Mafia na pia Steve Wynn, mmiliki wa Wynn Las Vegas, Encore na Wynn Macau pamoja na Sheldon Adelson, mmiliki wa The Venetian Las Vegas, The Pallazo na The Venetian Macau nao ni Mafia.

Hapo kwenye Nokia na Maersk ndio nimechoka kabisa, conclusion yangu ni kuwa hujaelewa concept halisi ya "Mafia".
 
Last edited by a moderator:
Mafia ni kundi linalofanya organized crime,chimbuko ni visiwa vya sicily italy,wao wanasema ' costra nostra'' yaani mafia ni kitu walichobuni wao,ingawa kuna American mafia,Japanese mafia etc!Member wa kundi hili anaitwa mafioso,mkuu wao ni godfather su capo fi tutti capi!Mie huwa siwaogopi mafia,huwa wakizingua nawapa vitasa tu

Panya tu unamwogopa itakuwa Mafia.....
 
Mkuu, nimekuwekea mifano mingi sana na kama hutaki kuelewa au unajiondoa uelewa kwa makusudi ili ushinde, sawa.

Mafia wote malengo yao ni FEDHA au Uchumi kwa ujumla. CIA hufanya kazi ya Umafia na wamejiweka waziwazi.

Pana wakati nilishuhudia Mafia wakiwalazimisha Macdonalds walipe ushuru kwao. Jamaa walipogoma, wakawawekea bomu. Basi CIA walitua na kuwaambia kuwa wanawasamehe ila wakirudia tena kusumbua biashara za USA popote pale hapo nchini, watawafuata na kuwafanyia mbaya.

Hebu tuje kwenye zile JELA za CIA ambazo walikuwa wakiziweka nje ya nchi yao au kuzifanyia angani kwenye ndege, unataka kusema kuna sheria hapo ilifuatwa? Wanajua kabisa wakiwatesa kwao USA, moto utawaka. Wanajenga hata kambi nje ya USA yaani Cuba/Guantanamo. Hili la kutesa washukiwa wa Kigaidi najua umelishasikia.
Rais wa USA wakati anaapa huwa anasema wazi kabisa, atatetea Interest za USA popote pale na ikibidi kutumia nguvu basi atatumia. Sasa basi kabla JESHI halijaenda, kumbuka UNYAMA wote na utemi hufanywa na CIA.

Najua una uelewa mzuri na akili nzuri tu. Tafadhali sana, tulia na tafakari mambo mengi yanayofanywa na CIA na walinganishe na MAFIA. Nafikiri utakuja na solution hiyohiyo kuwa CIA ni Mafia Wastaarabu.

Mkuu, Maersk no bonge la Mafia. Ila hawa jamaa ni WALIPA kodi wakubwa sana Denmark. Wangeliweza kwenda kusajili kampuni lao kwenye visiwa fulani na wasilipe kodi. Ila kwa usalama wao na kampuni, wanabaki huko kwao na kulipa kodi.

Roman Abrahmovich alikuwa bonge la Mafia. Ukitaka kujua ubabe wake ni kuwa biashara zozote alizokuwa akiingia, mauwaji yalitulia. Biashara iliyouwa watu sana Russia ni kumiliki viwanda vya Aluminium. Huyu jamaa alipoingia na mauwaji yakaisha. Yeye mwenyewe utajiri wake ni U-Mafia mtupu alitumia. Ila leo hii uliza kocha wa timu ya Russia ni nani anamlipa mshahara. Jamaa anasaidia sana nchini kwake ingawa anaishi UK. Anajua kabisa mambo yakienda ovyo usalama wake ni Putin/KGB. Wote wanajua kuwa usimguse jamaa kwani Serikali ya Russia watauwa hadi Panya wa nyumbani kwenu. Mcheza kwao hutuzwa.

Hata hao Ruthchilds si ndiyo inasemekana walikuwa wakipindua hadi serikali? Sarah wa Russia inasemekana ni hawa jamaa walimfanyizia. Familia nzima waliuawa na kuteketezwa kabisa.
Hata Mengi wetu hapa Tanzania, amekuwa mtu wa kesi nyingi tu. Ila mwisho wa siku, amewekeza sana Tanzania na kupunguza kwa kiasi kikubwa baadhi ya bidhaa kuwa Imported. Rostam Azziz na Wahindi wengine, wanakomba na wanakwenda kwao. Hiyo ndiyo inakuwa tofauti. MAFIA WANAWEKEZA KWAO.

Mafia Boss families wengi wa zamani, wameshahalisha kabisa biashara zao na wanaishi maisha ya kimya kabisa huku wakiwa wamejificha kwenye majina ya kampuni. Ila si kuwa wameshaacha kabisa UJAMBAZI wao. Sema tu ujambazi wao unafanywa kwenye scale nyingine kabisa kama Lobbying.

Kuita CIA ni Mafia ni upotoshaji wa concept nzima ya neno "Mafia". Kuuza drugs hakukufanyi kuwa Mafia, kama ni hivyo basi hata Tanzania tuna Mafia. CIA kujihusisha na drugs kila mtu anajua lakini haiwafanyi kuwa Mafia labda kama hujui maana yake.

Mkuu naona unachanganya Umafia na concepts nyingine za economics ambazo hazihusiani kabisa na Umafia. Kwa mtazamo wako ni kuwa uhalifu wowote ni Umafia, that is not true. Kwa nini unadhani Mafia wanapaswa kushika njia za uchumi? Unajua kwamba huwa hata hawalipi kodi? Huo uchumi watauinuaje? Kwa hiyo Dangote naye ni Mafia? Ku-monopolize soko la bidhaa ni umafia? Basi Bill Gates naye ni Mafia maana ali-monopolize soko la software mpaka akashitakiwa kwa sheria ya US anti trust.

Nani kakudanganya kwamba Mafia huwa wanajali kuhusu uchumi kukua? Kwa hiyo Familia ya Agnelli ya Italy ambayo ni wamiliki wa Kampuni ya Fiat ni Mafia na Familia ya Rothchilds ni Mafia? Unaposema Nigeria inaweza kusema NO kwa sababu ya Dangote, wanaweza kumwambia nani NO na kwa nini?

Baadhi ya Casino za Las Vegas kama vile Flamingo ambayo ilijengwa na Benjamin "Bugsy" Siegel kwenye miaka ya 1940 kweli zilimilikwa na Mafia zamani lakini sasa hivi zinamilikiwa na makampuni ambayo ni publicly traded na watu wengine, unless of course kama kawaida yako uanze kutuambia kuwa MGM Hotels, Casinos and Resorts Inc. ni kampuni ya Mafia na pia Steve Wynn, mmiliki wa Wynn Las Vegas, Encore na Wynn Macau pamoja na Sheldon Adelson, mmiliki wa The Venetian Las Vegas, The Pallazo na The Venetian Macau nao ni Mafia.

Hapo kwenye Nokia na Maersk ndio nimechoka kabisa, conclusion yangu ni kuwa hujaelewa concept halisi ya "Mafia".
 
Beefinjector, Sikonge na the boss mmeelezea vizuri kuhusu haya makundi ya uhalifu wa kupanga 'organized crime' ambayo sio rahisi kujua moja kwa moja kwani hawa jamaa hatampora mtu wasiyemjua bali aliyedhulumiana naye katika biashara zao.

makundi haya hufanya biashara ambayo serikali yoyote duniani imekataza mfano madawa ya kulevya, umalaya kwa kuwatumikisha watoto na wanawake kingono nk, pia hata biashara ya pembe za ndovu, pombe haramu, utakatishaji wa fedha haramu, utoroshaji madini ( minerals smuggling) kusafirisha wahamiaji haramu (migrant smuggling) nk.

mtu akikuambia ntakufanyia umafia ni kuwa atatekeleza hukumu kama wanayotekeza hawa mafia pale mnapokosana katika shughuli hizo haramu kwani hana pa kukushitaki ni sawa na leo unachukua bangi mahali kwa kukopa halafu unagoma kulipa then unamwambia kashitaki polisi;

muuzaji bangi hawezi kwenda polisi bali kukuua kwa siri au kuharibu mali zako kwa kuchoma moto au aina yoyote ya hujuma.
 
Al Capone hakuwa mkuu wa Mafia, alikuwa Boss wa kundi la kihalifu la Chicago maarufu kama "The Outfit". Al Capone anajulikana kuliko Maboss wengine kwa sababu alikuwa katili kupita kiasi. As a matter of fact watu wengi hawajui kuwa Al Capone hata hakuwahi kuingizwa rasmi kwenye Umafia "he was never a made man" kwa sababu alikuwa hatoki Sicily, ambalo ni sharti kubwa kabisa ili kuwa "a made man".

Kwa maana hivyo bado wanashikilia msemo wao wa costra nostra!!
 
Back
Top Bottom