Natafuta sana hii hotuba ya Nyerere aliyotoa India pale alipoalikwa kama mgeni rasmi katika sherehe za India kuwa Jamhuri, tarehe 26 January, 1971.
Kuna jambo kubwa sana alilisema ambalo tunapaswa tuliandike katika herufi za dhahabu katika historia ya Tanzania na India
Nimeuliza ubalozi wa India wanasema ni zamani sana hawana rekodi.
View attachment 2389074
..hiyo hotuba haipatikani ktk vitabu vya hotuba za Mwalimu Nyerere.
..nakumbuka kulikuwa na vitabu vitatu vyenye collection ya hotuba zake.